Mimi nahisi kama kuna kamari imechezeka hapa.Taifa liko kwenye majonzi mazito ya ndugu yetu Ruge. Kama haitoshi mzee wetu na Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa Leibniz mwana CCM. Yote ni kheri lakini tusisahau kuwa
1 US$ = 2,344.95 Tshs.
Kule Mtwara ndugu zetu wamerudishiwa korosho mwezi February huu hawajui soko watalipata wapi.
View attachment 1035567
Leo Mwenyekiti wa Chadema Mheshimiwa Freeman Aikaeli Mbowe yuko uraiani.
Shukrani
Mtiifu Sky Eclat.
We knew kabla hata ya tetesi nina wasiwasi ndio atakua mgombea wao 2020
Kwanza bora umenikataa... demu wenyewe mshamba na mbaya..... Ntapata mwingineKwa kuwa lowasa karudi ccm na ilitegewa kwa vyovyote vile agombee urais kupitia chadema na asingekubali kumuachia Lissu agombee ,sasa njia nyeupe kwa Lissu ,Mungu ni mwema .
Mm mzima kabisa hofu kwako,habari za siku mingi?Mzima weye mrembo?
Ccm ndio inazalisha uchafu wote ndani ya chamaKutokana na umri mkubwa wa chama cha CCM, watu wengi wenye kasoro wamejiingiza kwenye chama hiki. Sasa kimekuwa kama dodoki ambalo linabeba vitu visafi na vichafu. Sasa tumekuwa na watu wa ajabu sana ndani ya chama
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinyesi kimerudi sebule ileMkuu mzee slaaa alimfananisha lowasa na Choo cha kiafrika, Sasa alichoo kiita Choo boss wake slaa (jiwe)anakiita lulu.
Swali ni slaaa alikikimbia choooo leo choo kimemfuata mzee slaa.atakikimbia Tena hicho choooo. ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wenye uelewa ndani ya Chadema wanasema 'finally ameondoka'Watu wa Mungu habari zenu..
Tetesi za ndani za CDM ni maumivu makali baada ya Mh Lowassa kurudi nyumbani kumenoga..!! Yaani ni sawa kuvunjika kwa uti wa mgongo, haiwezi tena kujitutumua hata kidogo kisiasa..!! Poleeeeni..!
CCM haishindwi chochote huwa nasema hivi kila mara.. Sasa mmeona na kudhibitisha..! Chezea kitu kingine sio CCM..!! CHADEMA leo bado wako ktk maruweruwe hawajui nini kimetokea, hawaamini bado..!! Siasa mchezo mchafu sana..!! πππ
Then wasiporudi bungeni wewe na jamii yako mtapata maendeleo gani??Ccm nadhani bado wana miaka 100 ya kutawala Tanzania maana wanajua saana kucheza na wapinzani aise
Naanza kuamini kuna mpango kabambe wa kuhakikisha hakuna mbunge wa upinzani kurudi bungeni
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Watu wa Mungu habari zenu..
Tetesi za ndani za CDM ni maumivu makali baada ya Mh Lowassa kurudi nyumbani kumenoga..!! Yaani ni sawa kuvunjika kwa uti wa mgongo, haiwezi tena kujitutumua hata kidogo kisiasa..!! Poleeeeni..!
CCM haishindwi chochote huwa nasema hivi kila mara.. Sasa mmeona na kudhibitisha..! Chezea kitu kingine sio CCM..!! CHADEMA leo bado wako ktk maruweruwe hawajui nini kimetokea, hawaamini bado..!! Siasa mchezo mchafu sana..!! πππ
Comment ya kisingeli na kitoto"CCM sio mama yangu wala baba yangu"
Watakaohudhuria mikutano ya kampeni za upinzani mwaka 2020 inabidi wapimwe marinda.Mimi mwaka 2020 siku ya uchaguzi nitakuwa nampa mke wangu haki yake ya ndoa na kama atakuwa kwenye siku zake basi nitahakikisha mche wa sabuni ya JAMAA unaisha pamoja na maji Simtank la lita 5000