Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Taifa liko kwenye majonzi mazito ya ndugu yetu Ruge. Kama haitoshi mzee wetu na Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa Leibniz mwana CCM. Yote ni kheri lakini tusisahau kuwa

1 US$ = 2,344.95 Tshs.

Kule Mtwara ndugu zetu wamerudishiwa korosho mwezi February huu hawajui soko watalipata wapi.

View attachment 1035567

Leo Mwenyekiti wa Chadema Mheshimiwa Freeman Aikaeli Mbowe yuko uraiani.

Shukrani

Mtiifu Sky Eclat.
Mimi nahisi kama kuna kamari imechezeka hapa.
 
Siasa hazitabiliki sio vya kushangaa,MBONA Mugabe anasapoti upinzani hali ye ndie aliyetunga Sera za kubinya upinzani. Si ajabu mbeleni jp akawa MWALIMU mzuri sana wa kufundisha demokrasia. Hata speech nzuri nyingi za Nyerere ni baada ya kustaafu.
 
Watu wa Mungu habari zenu..

Tetesi za ndani za CDM ni maumivu makali baada ya Mh Lowassa kurudi nyumbani kumenoga..!! Yaani ni sawa kuvunjika kwa uti wa mgongo, haiwezi tena kujitutumua hata kidogo kisiasa..!! Poleeeeni..!

CCM haishindwi chochote huwa nasema hivi kila mara.. Sasa mmeona na kudhibitisha..! Chezea kitu kingine sio CCM..!! CHADEMA leo bado wako ktk maruweruwe hawajui nini kimetokea, hawaamini bado..!! Siasa mchezo mchafu sana..!! 😜😂😂
Mkuu wenye uelewa ndani ya Chadema wanasema 'finally ameondoka'
Amevunjwa yule aliyebadilisha gear angani
 
Ccm nadhani bado wana miaka 100 ya kutawala Tanzania maana wanajua saana kucheza na wapinzani aise

Naanza kuamini kuna mpango kabambe wa kuhakikisha hakuna mbunge wa upinzani kurudi bungeni

Sent using my iPhone using jamiiforum app
Then wasiporudi bungeni wewe na jamii yako mtapata maendeleo gani??
 
Watu wa Mungu habari zenu..

Tetesi za ndani za CDM ni maumivu makali baada ya Mh Lowassa kurudi nyumbani kumenoga..!! Yaani ni sawa kuvunjika kwa uti wa mgongo, haiwezi tena kujitutumua hata kidogo kisiasa..!! Poleeeeni..!

CCM haishindwi chochote huwa nasema hivi kila mara.. Sasa mmeona na kudhibitisha..! Chezea kitu kingine sio CCM..!! CHADEMA leo bado wako ktk maruweruwe hawajui nini kimetokea, hawaamini bado..!! Siasa mchezo mchafu sana..!! 😜😂😂

Lowassa kurudi ccm ni sawa na mshale kwenda porini sio umepotea bali umerudi nyumbani. Na kwa cdm kuondoka kwa Lowassa ni kuvuja kwa pakacha. Kwa taarifa yako Lowassa hajawahi kuwa msaada wowote ndani ya cdm na asingekaa awe msaada wowote, kwani hakuna mabadiliko yanayoletwa na mzee dunia hii. Ccm ndio wanajidanganya wakidhani Lowassa alikuwa muhimu ndani ya cdm. Ukweli ni kuwa kura alizozipata Lowassa ndani ya cdm hata asingekuja zingepatikana na haiba ya cdm ingebaki. Katika hili viongozi wa cdm ndio wakulaumiwa kwa kumpokea Lowassa. Kwa sasa cdm itapata muda wa kujipanga upya kwani kirusi kimeondoka.
 
"CCM sio mama yangu wala baba yangu"

Watakaohudhuria mikutano ya kampeni za upinzani mwaka 2020 inabidi wapimwe marinda.Mimi mwaka 2020 siku ya uchaguzi nitakuwa nampa mke wangu haki yake ya ndoa na kama atakuwa kwenye siku zake basi nitahakikisha mche wa sabuni ya JAMAA unaisha pamoja na maji Simtank la lita 5000
Comment ya kisingeli na kitoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna haja ya kuukimbia ukweli, mzee wa watu kafilisiwa vya kutosha kisabet watanzania ( maboya ). Mi namuunga mkono kuhamia kule ili maisha yake yaendelee. Najua kabisa hajarudi kwa mapenzi yake bali kuna kitu binafsi kimemrudisha MCC.
NAMPA PONGEZI KWA UVUMILIVU ALIOUONYESHA.
Ila LISSU nae kachangia kwa namna nyingine
Cjalalamika wala silaumu mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom