Hapana manengelo usimlaumu mzee Lowasa hata kidogo, laiti ingewezekana kufungua yaliyo nyuma ya pazia ungemhurumia mzee wa watu, siasa za afrika ni ngumu sana hususani kwa mtu mzima kama mzee Edo ambae hata hali yake ya afya haiko sawa.Leo babangu kaona chozi langu[emoji23][emoji23]later akasema huyo ndo ashajimaliza kisiasa nijajihis nimekiwa mwepesi..nyoko sana..bora aende
Singh na Ruge wataachiwa kwa msamaha muda si mrefu. Bii pashenti.Leo ndio nimeamini kuwa shida kubwa iliyoko ndani ya CCM ni wizi wa kimfumo.
Si ni huyu Lowasa aliye sababisha mpaka zika anzishwa mahakama za mafisadi ?
Na si ni huko huko CCM ndio walipo akina Tibaijuka wa Escrow, Change au jina jingine nyoka wa makengeza, William mwana Ngeleja , au mahakama ya mafisadi ilikuwa kwa Abinda Singh, na Rugemalira.
Ama kweli CCM sasa leo nimeamini kuwa mchawi anaye iroga Tanzania ili isipate maendeleo ni Chama cha mafisadi CCM
Sent using Jamii Forums mobile app
Itapendeza sana kwa wabunge na madiwani wote wakitoka CCM.Ccm nadhani bado wana miaka 100 ya kutawala Tanzania maana wanajua saana kucheza na wapinzani aise
Naanza kuamini kuna mpango kabambe wa kuhakikisha hakuna mbunge wa upinzani kurudi bungeni
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Pole stress zitakuua mkuu.Nyumbani hakuwezi kunoga kwa kuwa na muongo mwizi fisadi katili na muuaji. Acha kuandika upuuzi wewe.
Hakuna ushahidi wa ufisadi wa lowasa lakini kuna ushahidi wa kujitwalia nyumba za serikali
Hakuna ushahidi wa Jambo lolote Lile. Ushahidi wa magazeti Ni Sawa na udaku tu.Hakuna ushahidi wa ufisadi wa lowasa lakini kuna ushahidi wa kujitwalia nyumba za serikali
Heeeee?????Wanataka kutuondolea concentration ya msiba wa kitaifa
Huwa nawahurumia sana wafia siasa na vyama, ni upumbavu mwingine wa kiwango kikubwa. Eti great thinkers wapo siasani, wanalishana matangopori ya akina Lowasa, Membe, Lissu na mzee baba.
Futseke!!!!
Hatari sana...πHuwa nawahurumia sana wafia siasa na vyama, ni upumbavu mwingine wa kiwango kikubwa. Eti great thinkers wapo siasani, wanalishana matangopori ya akina Lowasa, Membe, Lissu na mzee baba.
Futseke!!!!
i hate you bro... you made me laugh loud ππππππChahali mzee wa kubahatisha bahatisha, ukiona mtu amenunua sukari, majani ya chai na maji unasema unadhani leo atapika chai halafu unaita hiyo ndio intelijesia.
Chadema wao walimnunua kwa kiasi gani?? Mapovu tuu. Kwa taarifa yako Lowassa ameona hakuna faida ya kuendelea kukaa kwenye chama mfu ukitilia maanani sheria ya vyama vya siasa imepita hivyo ulaji wa ruzuku umebanwa sasa anakaa Chadema kwa lipi? Na 2020 kuna uwezekano Chadema wakupata wabunge wawili ama watatu tu. Amerudi nyumbani kumenoga!!Kumbuka kauli ya Chakubanga pole pole kuhusu kuongeza dirisha la usajili hadi December kwa dhana kwamba fisadi lowassa alikuwa tayari kusajili. Bila ya shaka hakukubali bei aliyopewa hivyo negotiations ziliendelea hadi hivi karibuni na bei aliyoitaka dhalimu na dikteta kakubali kuilipa bila pingamizi lolote.