Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Kazi ipo kwa wale wafia siasa 😀
 
😁😁😁😁😁shikamoo Siasa,Japo dirisha la usajili lilifungwa na TFF wameibeba timu yangu ya Yanga na kufungua TMS kwaajili ya former Pm kuupdate kadi yake
 
😁😁😁Hii nchi raha sana,alipokuwa upande ule alifutwa Kwenye list of shame,kaondoka upande ule wameupdate list ya mafisadi,akirudi tena huko?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hao uliowataja kabisaaa ndo wawe first families,unaota mkuu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Beshe ana simama upande wa aliye mlea ndio maana leo Rostam kaonekana Lumumba


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Haa,Kumbe hata Hama ya Kingu ilikua kuzima kifo Cha Mzee wa "APEDOMIA"!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

na bado CDM ya Lissu na mbowe ikamchukua

kaa kimya
 
Broo ban***gi haijawahi kukuacha salama
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…