johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hii kauli ya Lowassa imenitafakarisha kidogo.
Ina maana pale Chadema hakuna siasa za amani?.........au yale ya Kubenea na Komu kutaka kumteka meya wa ubungo?
Au ni siasa gani hizo za vurugu alizozikimbia Lowassa pale Ufipa!!!
Maendeleo hayana vyama!
Ina maana pale Chadema hakuna siasa za amani?.........au yale ya Kubenea na Komu kutaka kumteka meya wa ubungo?
Au ni siasa gani hizo za vurugu alizozikimbia Lowassa pale Ufipa!!!
Maendeleo hayana vyama!