getrusa
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 2,150
- 1,822
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida makapi mengine ni pumba yakikuingia machoni husababisha upofu, ambao utakupotezea muelekeoMakapi hupeperushwa na upepo huku na huko
Nasikia mkwewe kaachiwa leo jumapili, looh kwanza mahakama hatuna, kwani walishikwa ransom akiwa lowassa, pole tanzaniaMm binafsi najisikia furaha sana kama viongozi wetu waandamizi wa nchi wanajenga mahusiano mema kwa mustakabala wa taifa letu.
Pale ambapo kunatokea migawanyiko ndipo mwovu shetani naye anaingia bila kupiga hodi na kusambaratisha kile kilichojengwa kw a muda mrefu.
Hongereni viongozi wetu kwa kuiona kasoro hiyo na kuirekebisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna asiejua CV ya lowasa ktk utendj wake hasa alipokuw PM na kashfa ya ufisad pia uchu wa madark uliopitiliza. Chadema hadi ccm walithibitisha hilo kila upande kw wakat wake. Hakuwa mtakatifu hata kidog na kila mtu alifaham hivyo ila upepo tu wa siasa ulimuelekea. Magufuli hakuw na mvuto kisiasa na hakuna aliyejua chama kingempitisha kama mgombea wake ila yy alibebwa na kukubalika kwake kiutendaj akiwa wazirE
Hakuwa akikubalika Ila alikuwa na mvuto tu wa kisiasa? How? Ukishakuwa a mvuto wa kisiasa si ndo kukubalika huko? Nisaidie hapa.
Kwa maoni yangu Lowasa na tuhuma zake za ufisadi angekuwa raisi, kibiashara Tz ingepiga hatua. Huyu mtu ni mzuri kwenye makubaliano na ushawishi. Imagine mtu wa aina yake alivyopokelewa na Mbowe na Raisi/katibu mkuu kwenye vyama. Nikikumbuka TL na msemo wake huwezi mpuuza tembo aliye kati kati ya uwanja ndo nazidi kuamini huyu mtu hajatumika nchini kwa kiwango kinachohitajika.Hakuna asiejua CV ya lowasa ktk utendj wake hasa alipokuw PM na kashfa ya ufisad pia uchu wa madark uliopitiliza. Chadema hadi ccm walithibitisha hilo kila upande kw wakat wake. Hakuwa mtakatifu hata kidog na kila mtu alifaham hivyo ila upepo tu wa siasa ulimuelekea. Magufuli hakuw na mvuto kisiasa na hakuna aliyejua chama kingempitisha kama mgombea wake ila yy alibebwa na kukubalika kwake kiutendaj akiwa wazir
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama zipo lakini it's in a very limited scale.Si unamuona mzee wa vimwana alipoishia.Kule wala haitaji huo ujanja ujanja maana tayari ni billionaire. Business safi kabisa.
Lakini South Africa kuna akina Gupta. Dili kama Bongo
Hii ni enzi nyingine,aishi kwa adabu na afanye biashara halali.Akileta za kuleta akae mkao wa kula.Kwanza si alisema anahamisha biashara zake,kasahau nini Tanzania?
Nyau babaako na mamaako.
Baba alikuwa anahuzunika na majonzi ya PamelaTegemea kesi ya Sioi itamalizwa muda si mrefu.
Makamanda wamechanganywa kabisa. Rais wa mioyo yao kawaacha kwenye mataaYaaani leo nacheka sana cdm wote wameamua kumuachia muumba hahahahahaha yaani kila nna msoma naona kaandika kimajonzi hahahhaa lowasa nyoko sana
Baba alikuwa anahuzunika na majonzi ya Pamela
kwani lipumba alimkataa lowassa at the first place?? au badaye?
You said very well, mimi sikutegemea jipya kutoka kwake. Na hata kisiasa ameshakwama
Ahahahaaaaa , . . . . . .hapo ndio patamu ssSasa Fisadi kuu yupo na Dr. Slaa. Hadi raha. Sijui Slaa na Lipumba watarudi kwenye vyama vyao!