Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Sote runakumbuka Vividly wakati Lowassa alipogamia CHADEMA tuliambiwa huku watu wakiapa viapo vya Miungu yao bila hata ya aibu Usoni

Hayaaa hayo yalipita Ping imekuwa Pong je Lumumba nayo Karudi Kwa kiasi gani?

Huko nyuma tuliambiwa Ooh!! Mwenyekiti Mhe Freeman Aikaeli Mbowe Kavuta Billioni sita Kaenda kuzichimbia Dubai na kwamba Dubai ana akaunti kibao kwa hiyo CHADEMA ni SACCOs yake Binafsi...Mara Ooh!..yeye na BAmkwe wake.

Mambo yameshadhihirika kwa wananchi CCM ilikuwa ikiwalisha Shubiri Mwitu wakishushia na juisi ya Matango Pori..

CCM kimeishiwa Mbinu na Uongo na huwa wanaamini ili Upate Uongozi lazima uwe Muongo.

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kimesingiziwa mengi ila sasa ni zamu ya wananchi kutafakari kura zao walizipoteza kwa kuitumbukizia CCM mimi Binafsi najuuuta ba Kusaga Meno kwanini niliitumbukizia CCM

Ila Never Again!
Peoples Power
Azimio la Zanzibar 2 ni lini litafanyika tunalisubiri kwa hamu.
Time will tell

Sent using Jamii Forums mobile app
 
siasa ni fitina jinsi unavyoweza kucheza nazo ndo ushindi hivyo wanasiasa sio wa kuaminika wala kuwategemea katika maisha yako
 
NYIE MMELOGWA NA MBOWE YAANI ANAWAIBIA HUKU MNAONA HALAFU MNASEMA HANA KOSA RUZUKU ANA PELEKA WAPI??
Usituhamishie Goli,Upande wa Ruzuku CCM kuna Shimo kubwa Kuliko, turudi kwa Mzee LOWASSA na Mwanae FATUMA.
Pia Makonda alimtoa wapi FATUMA na Sasa kamficha wapi
Au Bashru Ally ni mkweli kuwa "CCM kuna Mitambo ya kutengeneza Uongo"
 
HUNA HOJA MTETEE MBOWE RUZUKU ANAPELEKA WAPI??? KASHINDWA HATA KUJENGA OFISI BORA AENDELEE KUKAA TU HUKO MAHABUSU HANA UMUHIMU HUKU URAIANI
Mbona Ruzuku hata CCM millioni800 haina Maelezo Kafu ya Professa na Mtungi wa Tume kuna Shimo.
 
Sote runakumbuka Vividly wakati Lowassa alipogamia CHADEMA tuliambiwa huku watu wakiapa viapo vya Miungu yao bila hata ya aibu Usoni

Hayaaa hayo yalipita Ping imekuwa Pong je Lumumba nayo Karudi Kwa kiasi gani?

Huko nyuma tuliambiwa Ooh!! Mwenyekiti Mhe Freeman Aikaeli Mbowe Kavuta Billioni sita Kaenda kuzichimbia Dubai na kwamba Dubai ana akaunti kibao kwa hiyo CHADEMA ni SACCOs yake Binafsi...Mara Ooh!..yeye na BAmkwe wake.

Mambo yameshadhihirika kwa wananchi CCM ilikuwa ikiwalisha Shubiri Mwitu wakishushia na juisi ya Matango Pori..

CCM kimeishiwa Mbinu na Uongo na huwa wanaamini ili Upate Uongozi lazima uwe Muongo.

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kimesingiziwa mengi ila sasa ni zamu ya wananchi kutafakari kura zao walizipoteza kwa kuitumbukizia CCM mimi Binafsi najuuuta ba Kusaga Meno kwanini niliitumbukizia CCM

Ila Never Again!
Peoples Power
Azimio la Zanzibar 2 ni lini litafanyika tunalisubiri kwa hamu.
Dr. Slaa alisema yeye wakati anashawishiwa na Mshenga wa Mh Lowasa alimuambia jamaa kaja na kitita cha fedha takribani Billion 15 ambazo mfadhili wake Rostam amemfadhili
 
44023564_404.jpg

Kila nikimtazama Katibu nacheka sana ati "CCM ina mitambo ya kutengeneza Uongo"
Na kweli penye Ukweli uongo hujitenga nduo Maana hakuwa kimbelembele katika "Kumpokea Mnunuzi wa Chama Chake"bila ya yeye kupokea senti..😂😂😂😂😂😂😊😊😊😊
 
hahahaha, SACCOS iwe na bei kubwa kuliko chama kikubwa cha siasa Afrika, tangu lini?
 
Back
Top Bottom