Msela89
Member
- Mar 16, 2016
- 96
- 53
sure mwambie bana...kama kaja leo humu banaMkuu uzi mrefu kama huu ukiuQuote unatutesa tunaotumia simu. Ni kero sana ndugu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sure mwambie bana...kama kaja leo humu banaMkuu uzi mrefu kama huu ukiuQuote unatutesa tunaotumia simu. Ni kero sana ndugu.
dah jamaa umeongea fact..walete uzi wa mzee ilimeres sanchez carlos the jackalUzi mzuri sana .pia nakuomba tuwekee maisha ya CARLOS mwenyewe
Naomba nitofautiane nawewe Uislamu upo Mara mbili kuna waislam wamelimbuka kidunia na tamaa za Dunia hii kuna waislamu wapo kiroho imani Kali wapo tayali kufa kwa ajiri ya kutetea Mungu wanaye muamini hawana mambo ya kichawi wala ujinga wowote hawaamini inje ya Mungu mmoja.hakuna uislam wa msimamo mkali, msimamo wa kati wala msimamo baridi. uislamu ni mmoja tu:
hao wanaofanya uharibifu kwa kutumia mgongo wa uislam ni magaidi kama magaidi wengine.
LAkini pia na urusi nao sio wajinga kiasi kwamba washindwe ku smell kama jamaa anafanya espionage..mpaka putin aamue kuwa jamaa apewe immunity sio kwamba kaamua mwenyewe lazima intelijensia yake impe uhakika kama jamaa ni kweli ameasi au anafanya blufing tu..kumbuka putin hata yeye alikuwa ni intelijensia kwahiyo hii issue hii kwa ninavyoona mimi posibility ya jamaa snowden alikuwa implanted pia inawezekana..kumbuka kuna uzi jamaa aliweka wa sleeper cell agent..inawezekana state walichelewa kwamba jamaa alipandikizwa muda mrefu ndo mana hata hawaoneshi kama kuna harakat wanafanya kumpata isipokuwa wamepigwa na butwaa tu..nomaaMtoa Uzi upo sawa 100%,inasemekana hata bush aligoma kwenda kwenye sherehe ya kuuwawa kwa Osama,pia warusi wasisahau kuwa snowden katumwa na marekan Huyo yawezakuwa ni double agent, JAMAA ana IQ kubwa sana, saluti kwake
INAWEZEKANA JAMAA WALIPANGA IONEKANE HIVYO KWAMBA ANAPIGANIA FREEDOM YA WATU ILA KWA UPANDE MWINGINE AWE ANAFANYA BLUFFING KWA KUWAACHA WATU WAJADILI HILO NAYEYE ANAFANYA YAKE MENGINE...KUNA SECONDARY TARGET NADHANI IPO AIMED ILA NDO BADO HATUJAELEWA HUU...KUVUJISHA INFO NI PRIMARY TARGET KWAMBA INAHAMISHA MAWAZO YETU WOTE SEHEMU MOJA WAKATI WAO WANAFANYA MENGINESnowden namfuatilia saana na twitter namfuatilia daily na kwenye blog yke
Snowden anaamini kwenye privacy na NSA walikuwa wana monitor watu wote waishio USA simu zao na wa nje ya nchi,snowden jambo lile alikuwa analichukia ndio akavujisha siri kwa RAIA na alivujisha siri pia NSA walikuwa wanawa spy viongozi wakubwa wa nchi
Yaani CIA warisk uhusiano wao na Germany, France nk ili snowden wamtumie urusi??haingii akilini
Kama unamfuatilia snowden basi utajua anachopigania ni privacy kwa watu
Bila yy watu wasingejua
-Tails
-Qubes
-whoinex
Na njia zingine za kujilinda
Ndio maana wananchi wa usa wanamuona shujaa kwa kuwapa siri na namna wanavyochunguzwa
Naamini 100% snowden siyo double agent ni mpiganaji wa freedom of speech
Saizi serikali ya Obama inalaumiwa sana na mwenendo wake wa kuchunguza RAIA..ss CIA wamtumie snowden kudhoofisha na kuleta chuki baina ya serikali yake na wananchi!?
Pia snowden yupo chini ya supervision ya kgb hotelininchipy ataufanya vp?
Mkuu,
Naona hizi conspiracy zinakupofusha inafika mda mpaka unashindwa kuwa Objective..
Niseme, yes Navy Seals Team 6 ni secretive Task force lakini sio 'the most' secretive.. Nahisi ni vile tu baada ya hii mission na kufanya Navy Seals kuandikwa sana watu wanadhani labda ndio the only elite task force kwenye majeshi ya marekani..
Vipo vikosi vingine pia ndani ya marekani ambavyo navyo shughuli zake zipo classified kama Navy Seals.. Mfano; Force Recon, 24TH STS, Combat Controllers, Delta Force etc.. Kwahiyo nikusahihishe hapo Seals sio "the most" secretive..
Kama CIA ingekuwa idara ya kijeshi basi operatives wao wa SAG ndio tungesema the most secretive military unit.. Ila ni vile CIA sio sehemu ya jeshi but hakuna kikosi kinachofikia usiri na ufanisi wa SAG.
Kingine O'Neil na mwenzake nimemkumbuka jina anaitwa Matt hawawezi kushtakiwa kwa treason!! Daaaahh Mkuu hivi unajua mpaka mtu ashtakiwe kwa treason inakuwaje???
Kosa pekee walilolifanya kureveal identity zao wao binafsi lakini hakuna kitu kipya walichokisema ambacho hakikusemwa katika taarifa rasmi ya serikali. Na wamefanya hivyo kwasababu wao wwnyewe pia wanajua kuwa kuna mipaka ya taarifa za kuweka wazi. Taarifa zote ambazo ni classified hawajazisema mpaka Leo na wakiropoka hizi ndio utaona sasa watakavyo wekwa ndani..
Kwahiyo kijeshi wamefanya kosa la kinidhamu na hawawezi kuruhusiwa tena kulitumikia jeshi la marekani! But sio treason, not even close to that..
Ni kama hapa Nyumbani Afisa mstaafu wa idara ya Usalama wa Taifa aandike kuhusu mambo ya idara. Kama ni Afisa aliyeiva atazingatia kuacha taarifa zote za siri na sensitive na ataandika tu generally kupanua ufahami wa watu kuhusu idara (mfano Evarist Chahal afisa wa usalama wa taifa 'mstaafu' huwa anaandika kiasi kuhusu idara yetu ya Usalama)
Nadhani umenielewa, unatakiwa kuacha classified info! Ndio maana O'Neil au Matt hawajawai hata kuwataja makomando wengine walioshiriki operation Neptune spear..
Kingine mkuu, mimi ni muumini wa facts! Naomba tujadili kwa facts, sio simulizi ambazo hazina sources au evidence kuziback up..
Mfano; kinachokufanya usiamini O'Neil alishiriki Operation Neptune Spear ni nini (jeshi limethibitisha alishiriki na limemkemea vikali kwa kitendo chake cha kujitwalia utukufu binafsi na amepigwa marufuku kutumikia jeshi tena)
Pia, kinachokufanya uamini hao Seals waliodunguliwa kwenye chopa ndio walioshiriki Neptune spear ni nini?? Kwanini uwe mwepesi namna hiyo kuamini stori ambazo hazina evidence za kuback up??
Kama nilivyosema mimi muumini wa facts na evidence! Nipe facts na evidence kumpinga O'Neil na kukubali hii conspiracy unayonieleza.!! Tukikubali tu kila simulizi na conspiracy bila vidhibiti ndio utashangaa kesho wanaibuka watu wanakwambia Gaddafi yuko hai.. Nipe hoja zenye evidence Mkuu ONTARIO nimesikia sana hizi theory lakini sijawahi kusikia evidence yoyote zaidi ya simulizi..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kero yangu kwako ni ku quote uzi mzima hii ni kero kwa mtumiaj wa simu[emoji17]
what if kama hao wanawake walinunuliwa kwa ajili ya ku-falsify ionekane kwamba madai hayo ni ya kweli..nikajua utakuja na hoja nzito yani kumbe kahoja ndo haka ka wake zake..?tafuta hoja nzito banaKm uko online tujadili kitu kimoja baada ya kingine.
Tuanze Na swala LA wake za Osama Bin Laden.
Wake za Osama bin Laden baada ya mume wao kuuwawa wilishikiliwa Na serikali ya Pakistan pamoja Na makachero Wa US kwa muda Wa mwaka mzima then wakaja kuachiwa huru Na kuruhusiwa kurudi ktk nchi zao. Sasa km ni tukio LA kupangwa ilikuaje hawa wake zake wazuiriwe Na wao walikua wakikiri kuvamiwa Na majeshi ya USA Na mume wao kuuwawa. Hili liko wazi na ni moja ya ushahidi kutoka kwa wake zake kua mume wao aliuwawa. Hakuna ushahidi mwingine waweza kupatikana kwa karibu km huu Wa wake zake
you are wrong too...he was fake too..kama alivyo mtu anayeitwa joseph of arabi kama sikoseiSio kweli.
Osama alikufa Na Osama hana impact yoyote Ata akiwa hai ktk maswala ya kiusalama ya taifa LA USA.
Anachofanya Snowden ni kutoa siri za USA kuhusu udukuzi Wa taifa LA USA kwa mataifa mengine kitu ambacho ktk mfumo Wa usalama kila taifa hufanya hivyo kuyafatilia mataifa mengine.
Osama atabaki kua ni muslam Mwenye itikadi Kali aliekua akipinga udhalimu Na Sera kandamizi za USA Na washirika wake. Lkn ktk swala LA ulinzi hana lolote.
mkuu upo sahihi...unaambiwa kiuhalisia hakuna gaidi huru duniani..vitu vyote ni vya kutengeneza..kuna kitu kinaitwa FALSE FLAG TERROR ATTACK hii ndo njia ya kwanza ya kuaminisha au kupandikiza ugaidi sehem yeyote duniani..kwahiy hata bin laden alikuwa anafanya kazi ya hawa jamaa lakini kwa mgongo wa imani kali ya kiislamu ili kuweza kuteka au kukonga nyoyo za waislamu ambayo marekani imekuwa ni target yake kuu kwa ajil ya kupata resources hasa za mafuta...wataalamu wanakwambia huwezi kukata mti bila kuwa na mti kwahiyo jamaa walimtumia jamaa ili wapate urahisi wa kupenya kwa kupitia kivuli cha kwamba osama ni mujahidinaTambua kuwa watu wanatumia akili nyingi kuliko ww ufikiriavyo
Ili kuutawala dunia kwa hyo kwan yawezekana kabisa mafunzo ya kigaidi ni garama kubwa
kwa hyo kutengenza watu kama akina osama si kazi lahisi
kwa hiyo marekan wanafanya mchezo ili kuwaaminisha watu kuwa kuna makundi fulani
ya kigaidi na wanatuma watu wakajenge hvyo vikundi na kuviuzia silaha sasa ukiuwa wanaowatumia kesho nan? Atakubali aende mahali alafu aje afe
Na ndio maana leo marekan wameamua kuzalisha watu wasiokuwa na ndg
Mwanangu wewe huwa unaamini katika vitu direct kabisa sijui kwanini..tafuta series moja ya mtu mmoja wa kuitwa kiefer sutherland au ukipenda anaitwa jack bauer..movie inaitwa DESIGNATES SURVIVOR..ukiangalia hiyo movie kuna sehemu baada ya jamaa kuwa rais alikuwa anapata upinzani kutoka kwa senator fulani kwamba senator huyo alikuwa anadai hamtambui jamaa kama raisi..akatumwa dada fulani aende lakini kabla hajatoka airport ndege yake ikazingirwa na wanajeshi wakimtaka yule dada arudi washington kwamba senator hataki kusikia lolote kutoka D.C..raisi akaamua amwambie yule dada arudi lakini yule dada akamwambia raisi amruhusu kwamba ana plan yake inaweza ikamfanya akarudi na senator D.C....raisi akamruhusu BASI YULE DADA AKAMPIGIA SIMU JAMAA FULANI ANA ASILI KAMA YA KIARABU KWAMBA ALIANZISHE..UNAAMBIWE HAIKUPITA HATA MUDA LIKATOKEA BONGE LA KUNDI LA WATU BARABARANI WAKIANDANA KWAMBA SENATOR ANAKANDAMIZA WANANCHI...kwahiyo nachotala kukwambia hapo mkuu ni kwamba sio kwa sababu wapakistani waliandamana kupinga kwanini viongozi wao wamewaruhusu wamarekani kuingia na kumchukua osama basi ndo ina justify kwamba basi osama aliuliwa hapana..kumbuka jamaa wakitaka kutengeneza conspiracy lazima watengeneze kitu ambacho kitaonekana ni kweli katika kila nyanja na hata ikitokea ni kidogo sana ndo unaweza kupata kasoro fulani fulani ambazo kama hizi ambazo bwana ONTARIO kazisema..crime scene yeyote lazima iache maswali mzee..kwahiyo posibility ya hao wapakistani kuwa maandamano yao yalikuwa engineered kwajili ya kuja kuzika fikra kama zako ni kubwa pia mkuu..Ivi yale maandamana makubwa huko Pakistan kuilamu serikali yao Na kutaka Rais Wa Pakistan Na viongozi Wa vyombo vya usalama wajiuzuru baada ya kushindwa kugundua au kuwazuia waamerca kuingia ndani ya Pakistan Na kumuuwa Osama haya nayo yalikua yametengenezwa lkn Osama hakufa siku hiyo?
Mkuu The Bold kuna sehemu unasema jeshi lilimkemea na hawezi pata nafasi tena ya kulitumikia...Swali je kwa muktadha huo huo kwanini tusiweze kuamini jeshi limemkemea mtu ambaye amepandikizwa na CIA ili kutuaminisha alikuwepo na alishiriki.Mkuu,
Naona hizi conspiracy zinakupofusha inafika mda mpaka unashindwa kuwa Objective..
Niseme, yes Navy Seals Team 6 ni secretive Task force lakini sio 'the most' secretive.. Nahisi ni vile tu baada ya hii mission na kufanya Navy Seals kuandikwa sana watu wanadhani labda ndio the only elite task force kwenye majeshi ya marekani..
Vipo vikosi vingine pia ndani ya marekani ambavyo navyo shughuli zake zipo classified kama Navy Seals.. Mfano; Force Recon, 24TH STS, Combat Controllers, Delta Force etc.. Kwahiyo nikusahihishe hapo Seals sio "the most" secretive..
Kama CIA ingekuwa idara ya kijeshi basi operatives wao wa SAG ndio tungesema the most secretive military unit.. Ila ni vile CIA sio sehemu ya jeshi but hakuna kikosi kinachofikia usiri na ufanisi wa SAG.
Kingine O'Neil na mwenzake nimemkumbuka jina anaitwa Matt hawawezi kushtakiwa kwa treason!! Daaaahh Mkuu hivi unajua mpaka mtu ashtakiwe kwa treason inakuwaje???
Kosa pekee walilolifanya kureveal identity zao wao binafsi lakini hakuna kitu kipya walichokisema ambacho hakikusemwa katika taarifa rasmi ya serikali. Na wamefanya hivyo kwasababu wao wwnyewe pia wanajua kuwa kuna mipaka ya taarifa za kuweka wazi. Taarifa zote ambazo ni classified hawajazisema mpaka Leo na wakiropoka hizi ndio utaona sasa watakavyo wekwa ndani..
Kwahiyo kijeshi wamefanya kosa la kinidhamu na hawawezi kuruhusiwa tena kulitumikia jeshi la marekani! But sio treason, not even close to that..
Ni kama hapa Nyumbani Afisa mstaafu wa idara ya Usalama wa Taifa aandike kuhusu mambo ya idara. Kama ni Afisa aliyeiva atazingatia kuacha taarifa zote za siri na sensitive na ataandika tu generally kupanua ufahami wa watu kuhusu idara (mfano Evarist Chahal afisa wa usalama wa taifa 'mstaafu' huwa anaandika kiasi kuhusu idara yetu ya Usalama)
Nadhani umenielewa, unatakiwa kuacha classified info! Ndio maana O'Neil au Matt hawajawai hata kuwataja makomando wengine walioshiriki operation Neptune spear..
Kingine mkuu, mimi ni muumini wa facts! Naomba tujadili kwa facts, sio simulizi ambazo hazina sources au evidence kuziback up..
Mfano; kinachokufanya usiamini O'Neil alishiriki Operation Neptune Spear ni nini (jeshi limethibitisha alishiriki na limemkemea vikali kwa kitendo chake cha kujitwalia utukufu binafsi na amepigwa marufuku kutumikia jeshi tena)
Pia, kinachokufanya uamini hao Seals waliodunguliwa kwenye chopa ndio walioshiriki Neptune spear ni nini?? Kwanini uwe mwepesi namna hiyo kuamini stori ambazo hazina evidence za kuback up??
Kama nilivyosema mimi muumini wa facts na evidence! Nipe facts na evidence kumpinga O'Neil na kukubali hii conspiracy unayonieleza.!! Tukikubali tu kila simulizi na conspiracy bila vidhibiti ndio utashangaa kesho wanaibuka watu wanakwambia Gaddafi yuko hai.. Nipe hoja zenye evidence Mkuu ONTARIO nimesikia sana hizi theory lakini sijawahi kusikia evidence yoyote zaidi ya simulizi..
Kwel wajinga hamuishi dunianimuachie the bold ndo mbobezi wa hiz makala