Edward Snowden: Jasusi wa Kimarekani alivyopania kumdhalilisha Obama

hakuna uislam wa msimamo mkali, msimamo wa kati wala msimamo baridi. uislamu ni mmoja tu:

hao wanaofanya uharibifu kwa kutumia mgongo wa uislam ni magaidi kama magaidi wengine.
Naomba nitofautiane nawewe Uislamu upo Mara mbili kuna waislam wamelimbuka kidunia na tamaa za Dunia hii kuna waislamu wapo kiroho imani Kali wapo tayali kufa kwa ajiri ya kutetea Mungu wanaye muamini hawana mambo ya kichawi wala ujinga wowote hawaamini inje ya Mungu mmoja.
 
Mtoa Uzi upo sawa 100%,inasemekana hata bush aligoma kwenda kwenye sherehe ya kuuwawa kwa Osama,pia warusi wasisahau kuwa snowden katumwa na marekan Huyo yawezakuwa ni double agent, JAMAA ana IQ kubwa sana, saluti kwake
LAkini pia na urusi nao sio wajinga kiasi kwamba washindwe ku smell kama jamaa anafanya espionage..mpaka putin aamue kuwa jamaa apewe immunity sio kwamba kaamua mwenyewe lazima intelijensia yake impe uhakika kama jamaa ni kweli ameasi au anafanya blufing tu..kumbuka putin hata yeye alikuwa ni intelijensia kwahiyo hii issue hii kwa ninavyoona mimi posibility ya jamaa snowden alikuwa implanted pia inawezekana..kumbuka kuna uzi jamaa aliweka wa sleeper cell agent..inawezekana state walichelewa kwamba jamaa alipandikizwa muda mrefu ndo mana hata hawaoneshi kama kuna harakat wanafanya kumpata isipokuwa wamepigwa na butwaa tu..nomaa
 
INAWEZEKANA JAMAA WALIPANGA IONEKANE HIVYO KWAMBA ANAPIGANIA FREEDOM YA WATU ILA KWA UPANDE MWINGINE AWE ANAFANYA BLUFFING KWA KUWAACHA WATU WAJADILI HILO NAYEYE ANAFANYA YAKE MENGINE...KUNA SECONDARY TARGET NADHANI IPO AIMED ILA NDO BADO HATUJAELEWA HUU...KUVUJISHA INFO NI PRIMARY TARGET KWAMBA INAHAMISHA MAWAZO YETU WOTE SEHEMU MOJA WAKATI WAO WANAFANYA MENGINE
 

Mkuu The bold sijui kama umesoma post yangu vizuri, ningetamani sana uisome taratibu, uelewe kisha ujibu hoja zangu basing on concerns nilizoraise. Naona reply yako iko too much subjective on fixed opinions kiasi kwamba unaishia kuzungumza vitu vingine ambavyo kiuhalisia sikua na shida navyo na wala havijibu chochote. Naomba mkuu urudie upya kusoma post yangu ya juu.
 
fanya mpango ucheki documentary moja inaitwa CITIZEN FOUR...utamuelewa mleta uzi..unaweza kuipata putlockers.ch au viooz.com then search for citizen four
 
Kinachonichanganya mimi hapa ni kwanini snowden ana uhusiano mzuri na mtu wa kuitwa ASANGYE?...Asangye ni raia wa wapi kwanza..na asange anafanya kazi kwa maslahi ya nani...yani katika mada pasua kichwa ambayo imewahi kunifikirisha mpaka naamua kulala hii nayo ipo tena ndo ya kwanza
 
Kero yangu kwako ni ku quote uzi mzima hii ni kero kwa mtumiaj wa simu[emoji17]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
what if kama hao wanawake walinunuliwa kwa ajili ya ku-falsify ionekane kwamba madai hayo ni ya kweli..nikajua utakuja na hoja nzito yani kumbe kahoja ndo haka ka wake zake..?tafuta hoja nzito bana
 
you are wrong too...he was fake too..kama alivyo mtu anayeitwa joseph of arabi kama sikosei
 
Habari za Osama zinakanganya sana ila ukweli wa mtukio yote yanayohusu huyu jamaa wanaufahamu wamarekani wenyewe kupitia Agency zao (CIA, FBI na NSA)
 
mkuu upo sahihi...unaambiwa kiuhalisia hakuna gaidi huru duniani..vitu vyote ni vya kutengeneza..kuna kitu kinaitwa FALSE FLAG TERROR ATTACK hii ndo njia ya kwanza ya kuaminisha au kupandikiza ugaidi sehem yeyote duniani..kwahiy hata bin laden alikuwa anafanya kazi ya hawa jamaa lakini kwa mgongo wa imani kali ya kiislamu ili kuweza kuteka au kukonga nyoyo za waislamu ambayo marekani imekuwa ni target yake kuu kwa ajil ya kupata resources hasa za mafuta...wataalamu wanakwambia huwezi kukata mti bila kuwa na mti kwahiyo jamaa walimtumia jamaa ili wapate urahisi wa kupenya kwa kupitia kivuli cha kwamba osama ni mujahidina
 
Mwanangu wewe huwa unaamini katika vitu direct kabisa sijui kwanini..tafuta series moja ya mtu mmoja wa kuitwa kiefer sutherland au ukipenda anaitwa jack bauer..movie inaitwa DESIGNATES SURVIVOR..ukiangalia hiyo movie kuna sehemu baada ya jamaa kuwa rais alikuwa anapata upinzani kutoka kwa senator fulani kwamba senator huyo alikuwa anadai hamtambui jamaa kama raisi..akatumwa dada fulani aende lakini kabla hajatoka airport ndege yake ikazingirwa na wanajeshi wakimtaka yule dada arudi washington kwamba senator hataki kusikia lolote kutoka D.C..raisi akaamua amwambie yule dada arudi lakini yule dada akamwambia raisi amruhusu kwamba ana plan yake inaweza ikamfanya akarudi na senator D.C....raisi akamruhusu BASI YULE DADA AKAMPIGIA SIMU JAMAA FULANI ANA ASILI KAMA YA KIARABU KWAMBA ALIANZISHE..UNAAMBIWE HAIKUPITA HATA MUDA LIKATOKEA BONGE LA KUNDI LA WATU BARABARANI WAKIANDANA KWAMBA SENATOR ANAKANDAMIZA WANANCHI...kwahiyo nachotala kukwambia hapo mkuu ni kwamba sio kwa sababu wapakistani waliandamana kupinga kwanini viongozi wao wamewaruhusu wamarekani kuingia na kumchukua osama basi ndo ina justify kwamba basi osama aliuliwa hapana..kumbuka jamaa wakitaka kutengeneza conspiracy lazima watengeneze kitu ambacho kitaonekana ni kweli katika kila nyanja na hata ikitokea ni kidogo sana ndo unaweza kupata kasoro fulani fulani ambazo kama hizi ambazo bwana ONTARIO kazisema..crime scene yeyote lazima iache maswali mzee..kwahiyo posibility ya hao wapakistani kuwa maandamano yao yalikuwa engineered kwajili ya kuja kuzika fikra kama zako ni kubwa pia mkuu..
am out
 
Hii article nimeisoma yote ni hatari kama ndio hivi!! Ila pale pa Obama kukaa na jopo lake kucheki mapigano na kumuua Osama mmmh hayo ni mazingaombwe [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mkuu The Bold kuna sehemu unasema jeshi lilimkemea na hawezi pata nafasi tena ya kulitumikia...Swali je kwa muktadha huo huo kwanini tusiweze kuamini jeshi limemkemea mtu ambaye amepandikizwa na CIA ili kutuaminisha alikuwepo na alishiriki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…