Edward Snowden: Jasusi wa Kimarekani alivyopania kumdhalilisha Obama

Edward Snowden: Jasusi wa Kimarekani alivyopania kumdhalilisha Obama

Kifo cha bin Laden si serekali ya marekani kwa maana ya mashirika ya ujasusi na usalama ama huyu snowden wanazungumza ukweli. Inaweza ikawa ni kweli aliuliwa na c.i.a. lakini wao walitakiwa waionyeshe dunia ushahidi wa picha ya maiti ya Osama.

Snowden naye kwa kuwa alishaamua kuiharibia serekali ya marekani naye alete ushahidi kuthibitisha osama yu hai. Vinginevyo kwa wote wawili inabaki kuwa cospirancy theory.

Mkuu umeandika vizuri na umeeleweka .

Pamoja
Miaka michache nyuma Marekani walimkamata Saddam Hussein akiwa katika harakati za kutoroka, picha zake zilisambaa dunia nzima. Picha zake akiwa ananyongwa zilichukuliwa na Wamarekani na wakazisambaza kwa maksudi kinyume na sheria. Pia hata mwili wake baada ya kunyongwa uligaiwa kwa ndugu kwajili ya mazishi. Na kama hiyo haitoshi mtoto wa Saddam naye aliuwawa na picha zake zikasambaa kote ulimwenguni. Tukiacha hilo naamini Marekani alikuwa anahusika kifo cha Gaddafi, picha za kuuwawa kwake zilisambaa kote duniani.

Kwanini Marekani walishindwa kusambaza picha za mwili wa adui yao namba moja. Walishindwaje kuutoa mwili wake kwajili ya mazishi. Kama hiyo ilikuwa ngumu walishindwaje japo kutoa DNA proofs za kufo cha Osama.

Bado naamini Osama yupo hai, na kama amekufa basi alikufa kwa sababu za kibaolojia.
 
Ila taarifa znasema Osama aliuliwa na nevyseals team 6. Na sio FBI!
Na nyumba yake ilkua karib na kambi ya mafunzo ya Pakistani na sio Palestine!
 
...Tunaambiwa makazi ya Osama yalikuwa ya ghali zaidi ya $1 million, ukweli ni kwamba kilikuwa ni kakibanda cha ovyo hata hakifiki robo ya huyo pesa.
Taarifa alizotoa Obama na afisa wa FBI zilikuwa zinapishana sana...


Sijaelewa FBI anahusikaje kutoa taarifa za operation zilizofanyika nje ya marekani
Nakubaliana na wewe mkuu Kileghe nahisi ni kule kupitiwa nikiwa naandika kutumia simu, na pia sikupata muda wa kupitia kilichoandikwa.
 
Kifo cha bin Laden si serekali ya marekani kwa maana ya mashirika ya ujasusi na usalama ama huyu snowden wanazungumza ukweli. Inaweza ikawa ni kweli aliuliwa na c.i.a. lakini wao walitakiwa waionyeshe dunia ushahidi wa picha ya maiti ya Osama.

Snowden naye kwa kuwa alishaamua kuiharibia serekali ya marekani naye alete ushahidi kuthibitisha osama yu hai. Vinginevyo kwa wote wawili inabaki kuwa cospirancy theory.

Mkuu umeandika vizuri na umeeleweka .

Pamoja
Comment bora kwenye uzi huu! Big up
 
Hapa kama vile naangalia movie napenda sana issue za kiintelijensia ila mimi nina maswali zaidi wakuu wangu....Hivi huyu kijana Snowden Urusi ndio inampa kiburi au?Je anauza information anzotoa na kama anauza basi atakuwa millionaire...Sijajua mwisho wake utakuwa ni nini na sipati picha makazi yake yalipo dahhh labda pangoni au keshafanya plastic surgery......wakuu tuekimishane
 
Miaka michache nyuma Marekani walimkamata Saddam Hussein akiwa katika harakati za kutoroka, picha zake zilisambaa dunia nzima. Picha zake akiwa ananyongwa zilichukuliwa na Wamarekani na wakazisambaza kwa maksudi kinyume na sheria. Pia hata mwili wake baada ya kunyongwa uligaiwa kwa ndugu kwajili ya mazishi. Na kama hiyo haitoshi mtoto wa Saddam naye aliuwawa na picha zake zikasambaa kote ulimwenguni. Tukiacha hilo naamini Marekani alikuwa anahusika kifo cha Gaddafi, picha za kuuwawa kwake zilisambaa kote duniani.

Kwanini Marekani walishindwa kusambaza picha za mwili wa adui yao namba moja. Walishindwaje kuutoa mwili wake kwajili ya mazishi. Kama hiyo ilikuwa ngumu walishindwaje japo kutoa DNA proofs za kufo cha Osama.

Bado naamini Osama yupo hai, na kama amekufa basi alikufa kwa sababu za kibaolojia.
Uko sawa kabisa Osama alitumiwa na USA ili kujustfy uvamiz wa Afghan so sishangai kusikia akitumiwa tena kwa hali yeyote ile
 
Hapa kama vile naangalia movie napenda sana issue za kiintelijensia ila mimi nina maswali zaidi wakuu wangu....Hivi huyu kijana Snowden Urusi ndio inampa kiburi au?Je anauza information anzotoa na kama anauza basi atakuwa millionaire...Sijajua mwisho wake utakuwa ni nini na sipati picha makazi yake yalipo dahhh labda pangoni au keshafanya plastic surgery......wakuu tuekimishane
Hizi story za ki spy ni za ajabu kweli. Inawezekana akawa kaambiwa na C.I.A/FBI atorokee huko Russia nao Russia bila kujua wakampokea na sasa yupo kazini kwa ajili ya marekani.

Au Russia wao ndio waliomwandaa na kumwezesha kujiunga na mashirika ya kijasusi ya marekani. Na sasa baada ya kupata taarifa zote muhimu kuhusu marekani kakimbilia kwa jamaa waliomtuma kufanya aliyotakiwa kuyafanya.

jamaa ataishi kwa shida sana aisee.
 
Kipindi sisi tunawaza kujikwamua na tatizo la kula,wenzetu wanafikiria mbali,mtazamo wangu ,huu ni mpango wa kujua urusi na uchina wana uwezo upi. Miaka michache ijayo tukionacho ni kudharirishwa kwa taifa imara kutageuka uimara kwa taifa hilo. Hv twajuaje kama alifanya na dell hakusaidia sehemu ya dell kuwa hacking device? Mfano kama ndani ya boards za dell kukiwa na device zenye kutuma taarifa kwenye sattellite maalumu na device hizo ziwe shielded ,Edward hawezi kuwa amesaidia udukuzi kwa waliomtuma kwa mfumo wa mtorokaji na mropokaji, kama alichukizwa na rushwa je fedha kwa hao watumishi wa WB ilikuwa lazima wapewe cash?
Pia haiwezi kuwa njia ya kuhalalisha watumishi katika mataifa mengine kutowa kile binadamu aaminicho ni siri mahala pasipotakiwa na wenye mataifa wakilalamika wanapigwa na kuambiwa mbona US alivumilia? Ni mtamo wangu.
 
Back
Top Bottom