Edward Snowden: Jasusi wa Kimarekani alivyopania kumdhalilisha Obama

Ukiangali kwa umakini hapa, utaelewa ni uhuni tu wala hakuna kingine.

Snowden hawezi nakataa, kuwa na uchungu na siri za watu, tena wa mataifa mengine ilhali anajua juhudi za taifa lake katika masuala ya kiusalama.huu anaojalibu kuuita yeye ujasiri na kuumizwa ni sarakasi.

Nikashaanga warusi kumpokea, na kumpa hifadhi.
 
usama alifariki kitambo na ugonjwa wake wa figo na ama kuwa anapokea payroll kwa america sijui anaishi bahamas hapana sio kwl yy kwao peke ktk familia yao wana utajiri mkubwa kuliko hicho tunachoaminishwa kwenye makala
 
Snowden kwanza alitoa Siri zake akiwa Hong Kong na kulikuwepo jitihada kubwa sana kumkamata na kumpeleka marekan lakin china walikataa kumkamata ndio urusi ikatoa ofa ya kumpa hifadhi ya muda na c kwamba alitorokea urusi kutoka marekan nilikuwepo Hong Kong wakat wa hilo saga. Na kwa kipande hicho kidogo cha uongo siiamin tena story yako yote.
 
Mkuu sidhani kama ni kweli kuwa leak ya Snowden kuhusu kifo cha Osama ilitokea kwenye blog ya uchochoroni. Mimi nahisi Marekani iliingilia kati utata huo usisambae sana, kwasababu ukifuatilia kwa karibu vituo vikubwa vya matangazo kama cnn, snopes, world daily news, daily mail, independent, huffpost, bbc nk walireport, lakini baada ya Marekani kuintervene haikusambaa.
 
Ila kunukuu habari yote hiyo ni uhuni.
 
upo vizuri mkuu....
the bold
complex
mnanichkulia muda wangu mwingi,kunipa manufaa ya ulimwengu wa kijasusi....nawakubali sana..
 
tatizo hadi mifumo na logistic za kijasusi za ufuatiliaji wa kina kwa anaehitajiwa na US kwa udi na uvumba....zipo kwa kichwa chake....
maana yake hapo...mitego na mbinu zote edo anazujua....kumbuka jamaa ni most genious ktk vijana wa hivi karibuni waliowahi kutokea marekani...!!..NSA.. walimbaini wakamuongezea maujuzi zaidi......kapita cia,fbi,nas na secret service kote huko tena idara zote ni nyeti......ni kazi kdg ifanyike mpaka wamtie mikononi hao us....
 
MKUU hongera kwa uzi mtamu, umetoa maelezo yanayoeleweka

Ila ktk haya mambo kiukweli naona kuujua undani inakuwa kitendawili hasa kwa mtu wa nje. Unapogusa suala la USALAMA wa taifa flani, operations za kijeshi/usalama + siasa haya ni mambo yanayobeba usiri wa hali ya juu sana. Kuna operations nyingi sana za kiusalama zinaweza kuandaliwa ila hata hao wanajeshi wanaoenda ktk hiyo operations wasijue kitu mpaka siku ya tukio.

Maana yangu nin nin basi..
Kuna vitu vinawezafanyika ktk Taifa na vikahusisha idara nyeti sana lakini nyuma yake ni vitu ambavyo vinafanywa kwa maslahi ya Taifa, inawezekana pia ikawa ni kwa maslahi ya kiongozi flani au hata chama flani ila waliopewa order wasijue au wakajua wachache sana.

Unaweza kujiuliza kama ulimwengu umeaminishwa kuwa aliyeaminika ni Gaidi tishio OSAMA BIN LADEN aliuwawa ktk Operation Neptune Spear then mtu wa ndani kabisa aje na vielelezo kuwa yu hai, huoni kama kuna maswali mengi na ukweli umefichika..!?

Kitu kingine Edward Snowden alikuwa kijana mdogo sana ndani ya Intelligencer ya marekani na alikuwa nacheo ktk upande wa IT, alikuwa analipwa vizuri sana na alipelekwa course tofauti tofauti kumjengea uwezo wa kazi kwa maslahi ya Taifa so unadhani ni rahisi tu kuasi na marekani itulie tu!??

NOTE:
Taifa kama marekani linataka kujiimarisha katika kila idara kila kukicha
Marekani pia inawapinzani kila pande ya dunia...
Je haiwezekani kuwa kuasi kwa Snowden pia ikawa ni mpango wa marekani kumtumia ktk nchi anazokuwepo aweze kuchukua information na kuzituma marekani?
(Usisahau kuhusu double Agent, sleepers Agent nk)

HITIMISHO
Siri ya mtungi aijuaye Kata..!!
 
daahh...nimekuelewa sana mkuu....yawezekana edo anawafanyia counterintell warusi..??....inawezekana pia edo alitumwa na warusi mapema kabisa...!!..hii vita ni ya kiufundi sana....
ngoja tuendelee kufuatilia haya mabandiko..... naenjoy sana..
 
Ila hata mimi nliwah kusoma article flan inaelezea kuwa osama alikufa kwa ugonjwa wa figo mwaka 2001,tena akiwa chini usimamizi wa maafisa wa marekani kwenye kambi ya kijeshi ya marekani nchin saudia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…