Edward Snowden: Jasusi wa Kimarekani alivyopania kumdhalilisha Obama

Edward Snowden: Jasusi wa Kimarekani alivyopania kumdhalilisha Obama

una kiwango cha juu mnoo cha jelous mkuu....
ktk kuhabarika na kujiongezea maarifa ya ufahamu,usichague wa kukupa habari....sio lazima useme..we kausha tuu.....
basi samahani mkuu.... nalichukia hilo neno la jelous kuelekezwa kwangu hasa kwenye masuala ya kujengana kiuweledi.....
niwie radhi bhana....[emoji120] [emoji120]
 
bonge la uzi daaaah we mkuu ni kichwa ningekuwa rais ningekupa uwaziri wa mawasiliano aseee vip balali wng wa mafinga luganga yupo au alifia usa
 
Asante kwa makala yako, kuna mamb nimefaham kuhusu snowden vzur

Next time njoo na makala kahusu julian assange as a founder of wikileaks. Thanks
 
Nichelewa sana kuiona Hii kitu Hivi ni vitu muhimu hupaswi kuvikosa sema tu notification sipati aidha shida ikawa ni simu yangu ama ni utaratibu wa JF haina huduma hii ya kumfikishia mlengwa taarifa ya notification.
Asante mkuu tuko Pamoja
 
Nichelewa sana kuiona Hii kitu Hivi ni vitu muhimu hupaswi kuvikosa sema tu notification sipati aidha shida ikawa ni simu yangu ama ni utaratibu wa JF haina huduma hii ya kumfikishia mlengwa taarifa ya notification.
Asante mkuu tuko Pamoja
Nahisi team ya JF watafanya updates katika App yao hasa kwa wanaotumia iOS.

Tuko pamoja sana mkuu.
 
Nimekuelewa japo nna mashaka kidogo juu ya huyo bwana snowden at least angekuwa na ushahidi mkubwa zaidi
 
Nahisi team ya JF watafanya updates katika App yao hasa kwa wanaotumia iOS.

Tuko pamoja sana mkuu.
prove me wrong if you and your friend The bold are not Humanoid
i dought for your facts and things you bring to us.. [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22]
i think you are an Alliens from somewhere and you land on we who are under 70 IQ..[emoji3][emoji3]
nafuatilia sana inshu za Ki intelijensia lakini bado sijapata kujilinganisha na nyie...[emoji39]
i think you belong from the same ancestor...real???
prove me wrong bro....
 
[emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] thank you hny!

Kumbe ulikuwa unafuatilia [emoji85] nilidhani umesahau.!!
bro are you not Alliens ..? you with yo frind ONTARIO.??
pruv me wrong[emoji2] [emoji22]
 
Sasa kwetu hapa tanzania serikali inawasaidia vipi vijana ambao wana vipaji vya kipekee vya kucheza na vyombo kama hivyo? Au ndiyo mwisho wake tukienda kuchukua elimu nje wenzetu wakiona tuna uthamani wa hali ya juu wanatupa uraia wao? Tanzania tunao wakina Snowden wengi tu wa kuliendeleza taifa letu na siyo kwa kulisaliti. Tatizo linakuja hwathaminiwi.
 
prove me wrong if you and your friend The bold are not Humanoid
i dought for your facts and things you bring to us.. [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22]
i think you are an Alliens from somewhere and you land on we who are under 70 IQ..[emoji3][emoji3]
nafuatilia sana inshu za Ki intelijensia lakini bado sijapata kujilinganisha na nyie...[emoji39]
i think you belong from the same ancestor...real???
prove me wrong bro....
Hahaaa I've never laughed this hard for a long time.

We're humans, just that our quest for learning never exhaust our brains. Spending a lot of hours reading and rereading nonfictious books, biographies, articles, reports, watching documentaries. All that makes one's mind healthier and wealthier.
 
Sasa alivo huko Russia kwa Putin na urafiki wa Putin na Mzee Trump kwnn mpk sasa hv wapo kwenye good terms hawa maraisi wakati Trump anajua Putin kashikilia mtu aliyeichafua Marekani.Kuna nini hapa kinaendelea wadau?
 
Back
Top Bottom