cyrustheruler
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 2,044
- 1,869
Atusaidie kueleza gavana wa zamani Daudi Balali yuko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaaaaa....halafu?Atusaidie kueleza gavana wa zamani Daudi Balali yuko wapi?
basi samahani mkuu.... nalichukia hilo neno la jelous kuelekezwa kwangu hasa kwenye masuala ya kujengana kiuweledi.....una kiwango cha juu mnoo cha jelous mkuu....
ktk kuhabarika na kujiongezea maarifa ya ufahamu,usichague wa kukupa habari....sio lazima useme..we kausha tuu.....
Niliwahi kusema kwenye ila makala ya the Bold kuhusu kifo cha osama...kwamba..every story has the other side of the story....!
Nichelewa sana kuiona Hii kitu Hivi ni vitu muhimu hupaswi kuvikosa sema tu notification sipati aidha shida ikawa ni simu yangu ama ni utaratibu wa JF haina huduma hii ya kumfikishia mlengwa taarifa ya notification.moolizy savius Nchi Kavu famicho Complex Ziroseventytwo @barbarasa wambura marwa mwajex kisu cha ngariba mkorinto Magazine Fire Mussolin5 DIVINE The bold The Boss Coolant STUNTER MO11 Ficus Bavaria amygdala kayaman KENZY Katavi Mkushi wa kusi MANCNOO ze-dudu Leonard Robert havanna mtimkav troublemaker gwankaja Chizi Maarifa vitangaye Ls man Ng'wanapagi BAFA
Nahisi team ya JF watafanya updates katika App yao hasa kwa wanaotumia iOS.Nichelewa sana kuiona Hii kitu Hivi ni vitu muhimu hupaswi kuvikosa sema tu notification sipati aidha shida ikawa ni simu yangu ama ni utaratibu wa JF haina huduma hii ya kumfikishia mlengwa taarifa ya notification.
Asante mkuu tuko Pamoja
Ni mara nyingi sana kama hauko online huwezi kupata notification iwapo ukiwasha data badayeNahisi team ya JF watafanya updates katika App yao hasa kwa wanaotumia iOS.
Tuko pamoja sana mkuu.
prove me wrong if you and your friend The bold are not HumanoidNahisi team ya JF watafanya updates katika App yao hasa kwa wanaotumia iOS.
Tuko pamoja sana mkuu.
bro are you not Alliens ..? you with yo frind ONTARIO.??[emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] thank you hny!
Kumbe ulikuwa unafuatilia [emoji85] nilidhani umesahau.!!
Hahaaa I've never laughed this hard for a long time.prove me wrong if you and your friend The bold are not Humanoid
i dought for your facts and things you bring to us.. [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22]
i think you are an Alliens from somewhere and you land on we who are under 70 IQ..[emoji3][emoji3]
nafuatilia sana inshu za Ki intelijensia lakini bado sijapata kujilinganisha na nyie...[emoji39]
i think you belong from the same ancestor...real???
prove me wrong bro....