Mpaka Tido Danstan Mhando akafukuzwa kazi TBC wakati Jakaya ndiye alimfata aludi nchini kuongoza shirika la utangazaji.Nikikumbuka kitu kikiitwa mchakato majimboni jinsi walivyokaaibika CCM mpaka wakajitoa sina hamu
Siku zote hujitayarisha kuuliza maswali ya kupinga na hata anapojibiwa huwa na kiburi fulani kwa yule anayemuuliza maswali. Hana skills za kutosha za uandishi wa habari.Ameshakula hela za chadema kwa hiyo anawaza atazirudishaje, imagine maswali ya kuuliza anapewa na Boniphace Jackob na Martin Maranja Masese, pamoja na Mnyika. Na wanafanya vikao vya siri kabisa. Atafutwe mwandishi mwingine, huyu Odemba ni kada nguli wa Chadema tangu anasoma chuo kikuu
KabisaSiku zote hujitayarisha kuuliza maswali ya kupinga na hata anapojibiwa huwa na kiburi fulani kwa yule anayemuuliza maswali. Hana skills za kutosha za uandishi wa habari.
aachane na ushirikina kwenye taaluma 🐒Nilijua katibu angekimbia , Ondemba sio wa mchezo ,
bora biden alijikaza na uzee wake,dah nchimbi katuaibisha sana wanaume,ccm ni dhaifuNasikia Nchimbi kalala mbele.
haya mambo yenu mimi siyajui; ndiyo maana nilipo soma mada ilivyo wasilishwa, tena kishabiki, halafu haielezi chochote nikaona ni upuuzi mtupu.Sasa nini kilimliza?
Nilikuwa simuelewi kabisa, nimezidi kutokumuelewa!!
Au ni plan, nimemskia alivyoanza kusema hizo sababu za hao wengine kutoshiriki huo mdahalo.
Huo mpangilio wake haujakaa sawa
Ni sawa na kusema yule mama hajazaa bali ametoa mtoto tumboni kupitia uke
Kawakimbia CHADEMA.Nasikia Nchimbi kalala mbele.