Eeh kumepooza humu ndani ..Kulikoni?

Eeh kumepooza humu ndani ..Kulikoni?

Taratibu skuli mate wa project man! That needs my approval. Na akikosekana mtu nakamata usukani mwenyewe!
aaaah! ukikamata usukani natoa upepo matairi yote (hizo fitna zangu hata zile za JAngwani na Msimbazi hazioni ndani)
 
nimewapotezea!hawajibu.
unajua hizi shule zetu waseminari tulifundishwa kila kitu WE CAN DO ANYTHING

Acha uongo wote tutaishia kwenye udongo
Nenda kule kajibu shairi usijekimbila ubungo
 
hapa nina hangover za weekend kama mia hivi ,
kuna Topic moja kule naitafakari sipati majibu ..inahusiana na mambo yetu yaleeeeeeeee ya ulabu JS umeshaiona ?
 
naona kumechangamka sasa firstlady naona unamvuto wa kipekee umebip tu m2 kibao zimeanza kupiga big up mama
 
jamani hii thread naona ingefaa sana kungekuwa na chat room.....wenye kutaka mablanketi.... uswazi....sijui nini...haya kazi kwenu!
 
naona kumechangamka sasa firstlady naona unamvuto wa kipekee umebip tu m2 kibao zimeanza kupiga big up mama

hahaha lakini si kulikuwa kumeboa eeh unachungulia ..unachepuka kukimbilia supu kama Fidel ,unarudi mambo yale yale
 
hapa nina hangover za weekend kama mia hivi ,
kuna Topic moja kule naitafakari sipati majibu ..inahusiana na mambo yetu yaleeeeeeeee ya ulabu JS umeshaiona ?


Sijaiona hiyo iko pande zipi???
 
Muulize binamu Kaizer yeye ndo alidelegate hilo suala nikurudishie uongozi

well said binamu JS! Mi nakupendea hapo tu! sasa chrispin imekula kwake....kazi inaendelea!
 
leo mabosi wamekaba hadi penati, si unajua tena kesho kulala home, so lazima viporo viishe.
 
FL, tunatunga Sheria Mama. Subiri yatakayotoka kuanzia sasa
 
jamani hii thread naona ingefaa sana kungekuwa na chat room.....wenye kutaka mablanketi.... uswazi....sijui nini...haya kazi kwenu!


hahaha, shihi si una email ya jamiiforums? tukutane kule sasa....
 
leo mabosi wamekaba hadi penati, si unajua tena kesho kulala home, so lazima viporo viishe.

hahah hivi kesho ni sikukuu ya nini Carmel nimeshau mwenzio tangu primary tunasherehekea
 
Back
Top Bottom