EFM, imekuaje Scorpion (aliyemtoboa mtu macho) kuwa huru?

EFM, imekuaje Scorpion (aliyemtoboa mtu macho) kuwa huru?

stori ya huyu jmaa haikubalance,Makonda alifosi ionekane kama inavyoonekana lakini ukweli ni kwamba mtobolewa macho yule bwana ndio mhalifu mkubwa alistahili kwenda jela.....inasemekana eti Makonda alitaka jambo kwa scopion mwamba akachomoa ndo akaundiwa zengwe hadi akafungwa.
Jambo gani au kupelekewa moto
 
Ile story ilikuwa one sided! Jamaa alifanya ukatili ila palikuwa na sababu ya yeye kufanya huo ukatili..haikusemwa ama kuonekana wakati ule ila jamii inayowazunguka inatambua ukweli na siku zote anaeanza haonekani ila anayemaliza ndio huonekana mbaya.
Scorpion hakufanya tukio lile kwa makusudi

Mbona,alijua kwanini kafanya

Watu wa kupuyangapuyanga,kukutana na watu

Mbona walishapata kisa,sababu nzima kitambo tu

Ova
 
Alietobolewa alishalalamika kabla huyo Scorpion kutoka. Mwenyewe alilalamika jamaa kutolewa kwa njia ya Parole kama sikosei. Alifuatwa na askari magereza kuombwa aridhie Scorpion atolewe sema alisikitishwa na issue hiyo kwani Usalama wake, na unyama aliotendewa anaona jamaa hastahilj mpaka amalize muda wake
Kwenye jinai mlalamikaji na mshitaki ni serikali.Scorpion alishatumikia adhabu basi yuko huru.
 
Jina lake halisi ni Salim Njwete Salum, jina maarufu ni 'SCORPION' alijulikana zaidi kutokana na tukio la kumtoboa mtu macho. Alikamatwa na akahukumiwa kifungo. Sasa ametoka yupo mtaani na mengi yamezungumzwa kuhusu
yeye. Na bado wengine wanaendelea kumsema na kumuhukumu mtaani.

Najiuliza Kwa Tukio Alilo lifanya huyu Scorpion La Kumtoboa Mtu Macho na Kumpa Kilema cha Milele cha Kutokuona Yanayo endelea Duniani, Inakuaje ameachiwa huru?

Tuseme usalama wake utakuwaje huku mtaani? Mahakama na magereza Vitawaaminisha vipi wananchi kuwa huyu amestahili kutoka? Huku akimpa mtu Kilema Cha milele na muelekeo mbaya sana wa Maisha?

Lakini Pia EFM walitaka kumfanyia mahojiano leo, hii Radio Wamefikiria kweli?

Kumbe haya mambo yanawezekana unaweza fanya tukio Baya sanaa ukawa huru

View attachment 2059010
View attachment 2059012
Kifungo kikiisha hutakiwi kuachiwa ?
 
Ile story ilikuwa one sided! Jamaa alifanya ukatili ila palikuwa na sababu ya yeye kufanya huo ukatili..haikusemwa ama kuonekana wakati ule ila jamii inayowazunguka inatambua ukweli na siku zote anaeanza haonekani ila anayemaliza ndio huonekana mbaya.
Kabisa. Huyu mwamba alionewa tu. Yule aliyetobolewa alikua sio. Watoto wa mjini walinipa full info ya ile ishu kitambo kile. Ni vile tu ndio hivyo tena. Kuna namna fulani mwenzako akikuwahi akapata public sympathy unakua umekwisha.
 
Back
Top Bottom