Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jambo gani au kupelekewa motostori ya huyu jmaa haikubalance,Makonda alifosi ionekane kama inavyoonekana lakini ukweli ni kwamba mtobolewa macho yule bwana ndio mhalifu mkubwa alistahili kwenda jela.....inasemekana eti Makonda alitaka jambo kwa scopion mwamba akachomoa ndo akaundiwa zengwe hadi akafungwa.
kumbeTatizo alietobolewa alikua anafadhili wezi kwa kununua vitu kutoka kwao, alionywa hakusikia.
Ni watu wangapi walidhurika na genge lake la Wizi?
kuna muda kama hutaki kuacha tabia flani, inabidi ulazimishwe kuacha
[emoji23][emoji23]Na kuna mtu ataanza kumwita babe .. bila woga[emoji41]
Scorpion hakufanya tukio lile kwa makusudiIle story ilikuwa one sided! Jamaa alifanya ukatili ila palikuwa na sababu ya yeye kufanya huo ukatili..haikusemwa ama kuonekana wakati ule ila jamii inayowazunguka inatambua ukweli na siku zote anaeanza haonekani ila anayemaliza ndio huonekana mbaya.
Yule jamaa wa yanga anayelia ile inapigwa tano na simba nae nimemkuta bongo movie steven kulialiakesho na keshokutwa atakua star bongo hii
Mbona laikuwa star kiaina kabla hata ya kufungwa..nakumbuka alikuwa kwenye matangazo ya salam Condom huyu jamaakesho na keshokutwa atakua star bongo hii
Hata nyoka anaitwa babe au uongo, je vip aliyeweza kijitoa jela na aliyofanya?Na kuna mtu ataanza kumwita babe .. bila woga[emoji41]
Sheria ya Hammurabi ya JICHO kwa JICHO ilishapitwa na wakati.Mwamba anastahili kutobolewa nayeye
TumepigwaShetan tu hamkumuogopa ple Edeni mkapiga nae story fresh tu...ndio mtamuogopa scorpion!?
Kwenye jinai mlalamikaji na mshitaki ni serikali.Scorpion alishatumikia adhabu basi yuko huru.Alietobolewa alishalalamika kabla huyo Scorpion kutoka. Mwenyewe alilalamika jamaa kutolewa kwa njia ya Parole kama sikosei. Alifuatwa na askari magereza kuombwa aridhie Scorpion atolewe sema alisikitishwa na issue hiyo kwani Usalama wake, na unyama aliotendewa anaona jamaa hastahilj mpaka amalize muda wake
Kuna kpindi alikuwa anafanya kazi azamYule jamaa wa yanga anayelia ile inapigwa tano na simba nae nimemkuta bongo movie steven kulialia
We acha tu bongo tunapenda mambo ya ovyo😅😅😅Kuna kpindi alikuwa anafanya kazi azam
Kifungo kikiisha hutakiwi kuachiwa ?Jina lake halisi ni Salim Njwete Salum, jina maarufu ni 'SCORPION' alijulikana zaidi kutokana na tukio la kumtoboa mtu macho. Alikamatwa na akahukumiwa kifungo. Sasa ametoka yupo mtaani na mengi yamezungumzwa kuhusu
yeye. Na bado wengine wanaendelea kumsema na kumuhukumu mtaani.
Najiuliza Kwa Tukio Alilo lifanya huyu Scorpion La Kumtoboa Mtu Macho na Kumpa Kilema cha Milele cha Kutokuona Yanayo endelea Duniani, Inakuaje ameachiwa huru?
Tuseme usalama wake utakuwaje huku mtaani? Mahakama na magereza Vitawaaminisha vipi wananchi kuwa huyu amestahili kutoka? Huku akimpa mtu Kilema Cha milele na muelekeo mbaya sana wa Maisha?
Lakini Pia EFM walitaka kumfanyia mahojiano leo, hii Radio Wamefikiria kweli?
Kumbe haya mambo yanawezekana unaweza fanya tukio Baya sanaa ukawa huru
View attachment 2059010
View attachment 2059012
Kabisa. Huyu mwamba alionewa tu. Yule aliyetobolewa alikua sio. Watoto wa mjini walinipa full info ya ile ishu kitambo kile. Ni vile tu ndio hivyo tena. Kuna namna fulani mwenzako akikuwahi akapata public sympathy unakua umekwisha.Ile story ilikuwa one sided! Jamaa alifanya ukatili ila palikuwa na sababu ya yeye kufanya huo ukatili..haikusemwa ama kuonekana wakati ule ila jamii inayowazunguka inatambua ukweli na siku zote anaeanza haonekani ila anayemaliza ndio huonekana mbaya.