EFM, imekuaje Scorpion (aliyemtoboa mtu macho) kuwa huru?

EFM, imekuaje Scorpion (aliyemtoboa mtu macho) kuwa huru?

Scorpion hakufanya tukio lile kwa makusudi

Mbona,alijua kwanini kafanya

Watu wa kupuyangapuyanga,kukutana na watu

Mbona walishapata kisa,sababu nzima kitambo tu

Ova
Afu yule Side nilimuona kua mshenzi baada ya kupewa zile mali akaanza umalaya mpaka ndo yake ikavunjika...jamaa nae alikua na yake yule sio bure.
 
Kabisa. Huyu mwamba alionewa tu. Yule aliyetobolewa alikua sio. Watoto wa mjini walinipa full info ya ile ishu kitambo kile. Ni vile tu ndio hivyo tena. Kuna namna fulani mwenzako akikuwahi akapata public sympathy unakua umekwisha.
Nipe udau man kinaga ubaga
 
Kabisa. Huyu mwamba alionewa tu. Yule aliyetobolewa alikua sio. Watoto wa mjini walinipa full info ya ile ishu kitambo kile. Ni vile tu ndio hivyo tena. Kuna namna fulani mwenzako akikuwahi akapata public sympathy unakua umekwisha.
Inawezekana kweli, ila hapo ndiyo maana vyombo vya usalama vipo kudeal na watu kama hao. Ikiruhusiwa kila mtu achukue sheria mkononi basi patakuwa hapatoshi. Itabidi tuanze na viongozi wanaotuibia, mtu anapita na pesa kwa ajili ya mradi wa zahanati ya kijiji.
 
Naona mnataka kumsafisha huyo scorpion, the issue is whether alimjeruhi huyo mlalamikaji or not haya mambo mengine hayahusiki mahakamani.

Hata ukiua kibaka na ukakamatwa utapigwa kifungo Cha maisha au kunyongwa Hadi ufe haijalishi alikuwa mwizi.

All in all, huyo jamaa nae alikuwa mhalifu walikutana wote mabingwa wa uhalifu sioni sababu kwa nini apewe umaarufu kisa alikuwa mkabaji maarufu Hadi kutoboa macho watu. Imagine jamaa anatoboa mtu macho aisee huyu ni katili mkubwa sana.
Huyu jamaa ni maarufu hata kabla ya hili tukio, kuna shindano alishiriki na alikuwa mshindi nahisi ni la kondom Kama sijakosea na lilikuwa zuri sana
 
Jina lake halisi ni Salim Njwete Salum, jina maarufu ni 'SCORPION' alijulikana zaidi kutokana na tukio la kumtoboa mtu macho. Alikamatwa na akahukumiwa kifungo. Sasa ametoka yupo mtaani na mengi yamezungumzwa kuhusu
yeye. Na bado wengine wanaendelea kumsema na kumuhukumu mtaani.

Najiuliza Kwa Tukio Alilo lifanya huyu Scorpion La Kumtoboa Mtu Macho na Kumpa Kilema cha Milele cha Kutokuona Yanayo endelea Duniani, Inakuaje ameachiwa huru?

Tuseme usalama wake utakuwaje huku mtaani? Mahakama na magereza Vitawaaminisha vipi wananchi kuwa huyu amestahili kutoka? Huku akimpa mtu Kilema Cha milele na muelekeo mbaya sana wa Maisha?

Lakini Pia EFM walitaka kumfanyia mahojiano leo, hii Radio Wamefikiria kweli?

Kumbe haya mambo yanawezekana unaweza fanya tukio Baya sanaa ukawa huru

View attachment 2059010
View attachment 2059012
Alimtoboa kiongozi wa vibaka wa buguruni na panya road, Scorpion alikuwa anakomesha vibaka.
 
Si walisema yule mwamba alietobolewa alkua anamiliki genge la vibaka kupora vitu mtaani mmoja wao akampora dadake scorpion jamaa akmuendea akamwambia arudishe mzigomwamba akawa mbishi.

Mwenye kukumbuka vzr hii story atukumbushe.
Ni kweli ndio hivyo
 
Kabisa. Huyu mwamba alionewa tu. Yule aliyetobolewa alikua sio. Watoto wa mjini walinipa full info ya ile ishu kitambo kile. Ni vile tu ndio hivyo tena. Kuna namna fulani mwenzako akikuwahi akapata public sympathy unakua umekwisha.
Kweli kabisa
 
Inawezekana kweli, ila hapo ndiyo maana vyombo vya usalama vipo kudeal na watu kama hao. Ikiruhusiwa kila mtu achukue sheria mkononi basi patakuwa hapatoshi. Itabidi tuanze na viongozi wanaotuibia, mtu anapita na pesa kwa ajili ya mradi wa zahanati ya kijiji.
Inabidi ifike wakati sheria ziwe fluid.
Kwa mfano, US ikingundulika umeuwa mtu na let say aliyeuwawa alikua ni paedophile na sababu ya mauaji ni hiyo, basi aliyeua anakua hana hatia.
 
Inabidi ifike wakati sheria ziwe fluid.
Kwa mfano, US ikingundulika umeuwa mtu na let say aliyeuwawa alikua ni paedophile na sababu ya mauaji ni hiyo, basi aliyeua anakua hana hatia.
Kama alikuwa anajilinda, ila kama alikuwa hajilindi mfano aliua kwasababu huyo mtu alimbaka mwanae basi adhabu inakuwa ndogo.
 
Back
Top Bottom