EFM, imekuaje Scorpion (aliyemtoboa mtu macho) kuwa huru?

EFM, imekuaje Scorpion (aliyemtoboa mtu macho) kuwa huru?

Ile story ilikuwa one sided! Jamaa alifanya ukatili ila palikuwa na sababu ya yeye kufanya huo ukatili..haikusemwa ama kuonekana wakati ule ila jamii inayowazunguka inatambua ukweli na siku zote anaeanza haonekani ila anayemaliza ndio huonekana mbaya.
Inasemekana jamaa alietobolewa macho alikua kibaka mzoefu aka panya road.
 
Ile story ilikuwa one sided! Jamaa alifanya ukatili ila palikuwa na sababu ya yeye kufanya huo ukatili..haikusemwa ama kuonekana wakati ule ila jamii inayowazunguka inatambua ukweli na siku zote anaeanza haonekani ila anayemaliza ndio huonekana mbaya.
Well said.
 
Ile story ilikuwa one sided! Jamaa alifanya ukatili ila palikuwa na sababu ya yeye kufanya huo ukatili..haikusemwa ama kuonekana wakati ule ila jamii inayowazunguka inatambua ukweli na siku zote anaeanza haonekani ila anayemaliza ndio huonekana mbaya.
Mimi mwenyewe kuna mxenge kanipiga takribani milion 3.5 kwa nyakati tofauti tofauti, hili suala nimelifikisha kwa mtendaji wa kata, polisi na mpaka kwenye familia ya huyu mxenge ila hakuna hatua zozote zilizochukuliwa, namlia timing tu akijaa kwenye mfumo nitaiachia familia yake simanzi ambayo hawatakuja kunisahau maisha yao yote.
 
Mimi mwenyewe kuna mxenge kanipiga takribani milion 3.5 kwa nyakati tofauti tofauti, hili suala nimelifikisha kwa mtendaji wa kata, polisi na mpaka kwenye familia ya huyu mxenge ila hakuna hatua zozote zilizochukuliwa, namlia timing tu akijaa kwenye mfumo nitaiachia familia yake simanzi ambayo hawatakuja kunisahau maisha yao yote.
Hamna namna
 
Back
Top Bottom