cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na kuna mtu ataanza kumwita babe .. bila woga[emoji41]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na kuna mtu ataanza kumwita babe .. bila woga[emoji41]
Kwani jeshini ndio sehemu ya wahalifu/wehu?Jamaa angeomba kuingia jeshini hata kama umri umeenda 😁
Inasemekana jamaa alietobolewa macho alikua kibaka mzoefu aka panya road.Ile story ilikuwa one sided! Jamaa alifanya ukatili ila palikuwa na sababu ya yeye kufanya huo ukatili..haikusemwa ama kuonekana wakati ule ila jamii inayowazunguka inatambua ukweli na siku zote anaeanza haonekani ila anayemaliza ndio huonekana mbaya.
Well said.Ile story ilikuwa one sided! Jamaa alifanya ukatili ila palikuwa na sababu ya yeye kufanya huo ukatili..haikusemwa ama kuonekana wakati ule ila jamii inayowazunguka inatambua ukweli na siku zote anaeanza haonekani ila anayemaliza ndio huonekana mbaya.
Kuna vitwngo maalumu kwa ajiri ya watu makatili. Vitengo vya watu wasiojulikana au mahojiano ya mateso vinaweza kumfaha huyu mwambaKwani jeshini ndio sehemu ya wahalifu/wehu?
Mimi mwenyewe kuna mxenge kanipiga takribani milion 3.5 kwa nyakati tofauti tofauti, hili suala nimelifikisha kwa mtendaji wa kata, polisi na mpaka kwenye familia ya huyu mxenge ila hakuna hatua zozote zilizochukuliwa, namlia timing tu akijaa kwenye mfumo nitaiachia familia yake simanzi ambayo hawatakuja kunisahau maisha yao yote.Ile story ilikuwa one sided! Jamaa alifanya ukatili ila palikuwa na sababu ya yeye kufanya huo ukatili..haikusemwa ama kuonekana wakati ule ila jamii inayowazunguka inatambua ukweli na siku zote anaeanza haonekani ila anayemaliza ndio huonekana mbaya.
Hamna namnaMimi mwenyewe kuna mxenge kanipiga takribani milion 3.5 kwa nyakati tofauti tofauti, hili suala nimelifikisha kwa mtendaji wa kata, polisi na mpaka kwenye familia ya huyu mxenge ila hakuna hatua zozote zilizochukuliwa, namlia timing tu akijaa kwenye mfumo nitaiachia familia yake simanzi ambayo hawatakuja kunisahau maisha yao yote.