maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,311
- 15,640
Hawa jamaa wa EFM jogging ipo siku watatulaumu na jogging zao. Halafu kwanini inakua jioni mida watu tunastress za kazini na bado mtuongezee jam wakati mnaweza fanya mazoezi maeneo ya wazi au beach?
Halafu hii kitu mbona kama iliwahi kukatazwa mbona nyie mnakomaa tu?
Halafu hii kitu mbona kama iliwahi kukatazwa mbona nyie mnakomaa tu?