Basi kama ni hivyo "wajinga" watakuwa dunia nzima Kwa nyakati Kwa sababu mambo ya burudani yanafuatiliwa zaidi kuliko kitu kingine, hata channel za YouTube zenye subs wengi ni za burudani
en.m.wikipedia.org
Hata nchi iliyoendelea kama USA kuna watangazaji wengi Tu maarufu na hawana taaluma ya uandishi WA habari
Mfano mzuri ni mtangazaji Ryan Seacrest ambaye aliwahi tangaza America Top 40, huyu aliacha chuo akiwa na 19 na kujikita na utangazaji na alianza kutangaza akiwa high school.
Kwangu Mimi hizo redio naziona ni wabunifu Kwa kuwaelewa walengwa wao na nini wanachohitaji wasikilaji wanaowalenga