EFM na WASAFI Wanadhalilisha Tasnia ya Habari nchini

EFM na WASAFI Wanadhalilisha Tasnia ya Habari nchini

Juzi kati Masanja kuna vazi alitinga sikulielewa kabisa[emoji1787]. Blouse mikono ya nguva.
Hafu eti ni mchungaji wa kanisa ila nchi hii ku control maadili imeshindikana mno na hata wamiliki wa hizi walikuwa watu wahuni tu so hawataki ueledi ukishakuwa maarufu tayari umefuzu kuwa mtangazaji
 
Hawa watu ukifuatik8a Kwa ukaribu wsnachofanya siyo sahihi kabisaa

Mimi Sina taakuma ya Habari na mawasiliano Kwa uzosfu wangu Katika kufuatilia mambo haws jamaa wako OP kabisaa.

1. Wafanyakazi wao wengi siyo profesional kabisaa ni wa mjomba kamlete

2. Hawako serious Katika kuchambua mambo Kwa umakini..critical reasoning.

3. Ukitenga muda wako kuwasikiliza utaamambulia makelele tu Hakuna la maana.

4. Wana uchambuzi wa magazeti na habari Wa hovyo sijawahi ona.
Waachambua magezti matatu shallow Kwa Habari moja moja Baasi Wakati tuna magazeti lukuki. na wanachambua mpira vizuri kuliko magazeti.

5 Kila mtu Anajidai ni comedian, guys simuende Cheka tu Kwa koy mzungu mkafanye stand up comedy. Tunahitaji kufurahi lakini siyo mnavyofanya.

Tunahitaji critical and intelligent radio presenters and journalists not hawa wa kuokota okota akina masanja kufanya hivyo mnakosesha wananchi haki yao kujua vitu Kwa undani.

Mass communication main purpose ni kutoa taarifa na kuelimisha jamii, na elimu itolewa haswa na wenye taaluma husika ya Habari


Tafuteni watu wenye taaluma Zao kuheshimisha Hii Tasnia, vituo vingine kiasi Fulani wanajitahidi critical reasoning japo Kwa asilimia kubwa bado wanajikongoja.
Umesema kweli. Kimsingi vyombo vya habari Tanzania ni janga kuu. Ila sasa watanzania wenye kujitambua na kujua kuwa hivyo vyombo havina ubora ni wachache sana. Wengi ni binadamu wenye vichwa vya nyumbu.
 
Yaani kama ukiwasikiliza kina baba levo,seki na yule dada,kwenye kipindi cha MGAHAWA!!Ni aibu yaani upeo wao wa kuchambua mambo ni mdogo sana!!ila ni kutokana na elimu na exposure.Hivi ile sheria ya kuwa waandishi wa habari wanatakiwa kuwa na elimu kuanzia ngazi ya diploma itaanza lini?!
Imewekwa kapuni.
 
kitenge mbona fresh tu? Kitenge ni mtangazaji mkubwa, sema alijichanganya kwenda kwenye viredio vidogo vya mitaani ambavyo hata masafa yake yanaishia dar tu. Bora angeenda clouds angebaki kuwa mkubwa kama alivyokuwa redio one. Kama vipi aanzishe redio yake. Kwa masanja bado ni kinda sana kwenye utangazaji wa redio, bado hana expossure kwenye vipindi vya redio/tv kama mtangazaji wa kipindi. Masanja anaingia kwenye utangazaji wa redio kutokana na umaarufu wake wa komedi. Atulize kichwa kwenye fani hiyo japo ana mambo mengi ukiwemo uchungaji kanisani, ukada wa chama na ukomedi wake
Masanja Hana u comedy wowote awe tu serious u comedy amwachie mpoki
 
Hafu eti ni mchungaji wa kanisa ila nchi hii ku control maadili imeshindikana mno na hata wamiliki wa hizi walikuwa watu wahuni tu so hawataki ueledi ukishakuwa maarufu tayari umefuzu kuwa mtangazaji
Mkuu ni hivi. Mpumbavu akifanya upumbavu wake na watu wakifurahia basi ataendelea kufanya akidhani kuwa ana akili kubwa. Hili ndilo tatizo la vyombo vya habari vya Tanzania. Wananchi wangekuwa wanawapuuza wala wasingedumu kuwepo kwa mwezi mmoja. Ila nchi ndiyo hii, raia ni fuata mkumbo anayehoji vitu vya maana anaonekana ndiye mjinga.
 
Mkuu ni hivi. Mpumbavu akifanya upumbavu wake na watu wakifurahia basi ataendelea kufanya akidhani kuwa ana akili kubwa. Hili ndilo tatizo la vyombo vya habari vya Tanzania. Wananchi wangekuwa wanawapuuza wala wasingedumu kuwepo kwa mwezi mmoja. Ila nchi ndiyo hii, raia ni fuata mkumbo anayehoji vitu vya maana anaonekana ndiye mjinga.
Kama taifa Kuna mahali tumekosea wajinga ndio wanasifiwa sikuhizi mwerevu anaonekana hamnazo na jinsi serikali inavoongeza shule na vyuo na level ya ujinga inaongeza Kwa taifa sijui tumekwama wapi?
Ila I think CCM inafurahi hyo hali mana ujinga na kutoku reason ni mitaji mizuri ya wanasiasa na manabii uchwara
 
Inabidi kabla ya kuwanyooshea vidole EFM & WASAFI lazima ujiulize aina ya wasikilizaji ulio nao. Wasikilizaji waliopo ndo kama wewe unaandika Taakuma badala ya taaluma ukiulizwa unasingizia typing error. Redio haiweza dumu kama haina wasikilizaji. Wasikilizaji wanapokuwa wengi inarahisisha kupata wateja wa matangazo na madili mengine yanayohusiana. Haijalishi kama wasikilizaji ni malaika au mashetani cha muhimu ni kuwe na wasikilizaji. Sasa waliopo ndo wanapenda watangazaji kama Masanja. Mimi nadhani sisi wapenda maadili turudi TBC kumenoga.
 
Mzee ukitambua kwamba tuko kwenye nyakati ambazo ukijizima data unafanikiwa mapema kuliko ukijifanya profeshino basi wala hutahangaisha akili yako na kusononeka.
 
Mzee ukitambua kwamba tuko kwenye nyakati ambazo ukijizima data unafanikiwa mapema kuliko ukijifanya profeshino basi wala hutahangaisha akili yako na kusononeka.
[emoji2][emoji2]kwahyo taifa Zima tujizime data?
 
[emoji2][emoji2]kwahyo taifa Zima tujizime data?
Sasa we hutaki mshahara na madili ya matangazo? 😀 Hata usipojizima data raisi wako tu mwenyewe kajizima data. Mtapiga makelele wee wao wanajenga mahoteli na ma apartment duniani huko. 🤣 🤣 🤣
 
Sasa we hutaki mshahara na madili ya matangazo? [emoji3] Hata usipojizima data raisi wako tu mwenyewe kajizima data. Mtapiga makelele wee wao wanajenga mahoteli na ma apartment duniani huko. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Heri kujenga mahoteli huko duniani na mambo ya msingi na sio porojo honestly Mimi nilishaachaga kufatilia redio za bongo Huwa nafatilia tu habari usiku kama maZoea au ziara za Rais basi hayo maujinga ya kina kitenge, sijui baba level hapana
 
Basi kama ni hivyo "wajinga" watakuwa dunia nzima Kwa nyakati Kwa sababu mambo ya burudani yanafuatiliwa zaidi kuliko kitu kingine, hata channel za YouTube zenye subs wengi ni za burudani

Hata nchi iliyoendelea kama USA kuna watangazaji wengi Tu maarufu na hawana taaluma ya uandishi WA habari
Mfano mzuri ni mtangazaji Ryan Seacrest ambaye aliwahi tangaza America Top 40, huyu aliacha chuo akiwa na 19 na kujikita na utangazaji na alianza kutangaza akiwa high school.

Kwangu Mimi hizo redio naziona ni wabunifu Kwa kuwaelewa walengwa wao na nini wanachohitaji wasikilaji wanaowalenga
Yaani uoo serious" kabisa unalinganisha Marekani Amerikà!?
 
Radio zimegawanyika radio za burudani ni wasafi,efm,clouds


Habari nenda tbc,Itv,radio one.....

But nahic labda ww ndio muda umekuacha saizi burudani ndio pesa ilipo ndio maana baada ya miaka kadhaa lazma watu wajiswitch taarifa za habari na magazeti havitokuwa na umuhimu
Labda Tanzania. BBC na DW Wana miaka zaidi ya 50 kuna sehemu unasikia Ujinga Ujinga.
 
Kitenge huwa ana makelele,mimi magazeti naangalia TBC au Clouds media. Hawa wasafi na Efm wamelenga majority wale wa mtaani ,mjini waliochoka na maisha wao wanataka Burudani, vichekesho katika kila kitu.Na ndiyo walio wengi.
Radio za uswahilini siyo?
 
Juzi kati Masanja kuna vazi alitinga sikulielewa kabisa[emoji1787]. Blouse mikono ya nguva.

Wenzako anaona pale eti ni ubunifu basi hua nacheka sana mara avae magauni kama wehu vile
 
Back
Top Bottom