EFM na WASAFI Wanadhalilisha Tasnia ya Habari nchini

EFM na WASAFI Wanadhalilisha Tasnia ya Habari nchini

Kuna mmja nilisikia akisema hiyo hela ukigawanya Kwa watanzania wote kila mtanzania atapata milioni 73,Yani hata mtangazaji hafahamu simple maths za kugawanya
 
Inabidi kabla ya kuwanyooshea vidole EFM & WASAFI lazima ujiulize aina ya wasikilizaji ulio nao. Wasikilizaji waliopo ndo kama wewe unaandika Taakuma badala ya taaluma ukiulizwa unasingizia typing error. Redio haiweza dumu kama haina wasikilizaji. Wasikilizaji wanapokuwa wengi inarahisisha kupata wateja wa matangazo na madili mengine yanayohusiana. Haijalishi kama wasikilizaji ni malaika au mashetani cha muhimu ni kuwe na wasikilizaji. Sasa waliopo ndo wanapenda watangazaji kama Masanja. Mimi nadhani sisi wapenda maadili turudi TBC kumenoga.
Siyo kweli kuna mwananchi.gani.hapendi kusikia
1. Mada za afya
2. Habari za biashara na uchumi.
3.mada mbalimbali Za kibiashara ndani na nje ya nchi..
3. Mada Za Elimu
4. Kujikinga na majanga mbalimbali.
5. Makala Tofauti tofauti zenye kuelimisha kama kilimo na ufugaji etc...
6. Ujenzi , makazi, usafiri etc..
7. Mada za Sheria na wajibu wa RAIA.

8. Maendeleo na mipango ya Serikali

Mambo ya msingi ni mengi tofauti na hizo takataka tunazoziona sasa kwenye runinga na radio umbea 24hrs

Huwezi kukosa wazamini na vipindi kama hivyo
Screenshot_20230501-185852.jpg
 
kitenge mbona fresh tu? Kitenge ni mtangazaji mkubwa, sema alijichanganya kwenda kwenye viredio vidogo vya mitaani ambavyo hata masafa yake yanaishia dar tu. Bora angeenda clouds angebaki kuwa mkubwa kama alivyokuwa redio one. Kama vipi aanzishe redio yake. Kwa masanja bado ni kinda sana kwenye utangazaji wa redio, bado hana expossure kwenye vipindi vya redio/tv kama mtangazaji wa kipindi. Masanja anaingia kwenye utangazaji wa redio kutokana na umaarufu wake wa komedi. Atulize kichwa kwenye fani hiyo japo ana mambo mengi ukiwemo uchungaji kanisani, ukada wa chama na ukomedi wake
Hana ufresh wowote kwa upande wangu namuona mropokaji.
Alikuwa sawa kipindi Yupo ITV anatangaza taarifa ya habari za michezo.
 
Hawangalii taaluma tena ukijua kuongea ongea maneno mengiiii kwa makelelee unalamba ajira....ovyo sana
 
Hawa watu ukifuatilia Kwa ukaribu wanachofanya siyo sahihi kabisaa

Mimi Sina taaluma ya Habari na mawasiliano Kwa uzoefu wangu Katika kufuatilia mambo haws jamaa wako OP kabisaa.

1. Wafanyakazi wao wengi siyo profesional kabisaa ni wa mjomba kamlete

2. Hawako serious Katika kuchambua mambo Kwa umakini..critical reasoning.

3. Ukitenga muda wako kuwasikiliza utaambulia makelele tu Hakuna la maana.

4. Wana uchambuzi wa magazeti na habari Wa hovyo sijawahi ona.
Waachambua magezti matatu shallow Kwa Habari moja moja Baasi Wakati tuna magazeti lukuki. na wanachambua mpira vizuri kuliko magazeti.

5 Kila mtu Anajidai ni comedian, guys simuende Cheka tu Kwa koy mzungu mkafanye stand up comedy. Tunahitaji kufurahi lakini siyo mnavyofanya.

Tunahitaji critical and intelligent radio presenters and journalists not hawa wa kuokota okota akina masanja kufanya hivyo mnakosesha wananchi haki yao kujua vitu Kwa undani.

Mass communication main purpose ni kutoa taarifa na kuelimisha jamii, na elimu itolewa haswa na wenye taaluma husika ya Habari


Tafuteni watu wenye taaluma Zao kuheshimisha Hii Tasnia, vituo vingine kiasi Fulani wanajitahidi critical reasoning japo Kwa asilimia kubwa bado wanajikongoja.
target audience, wenyewe wana enjoy sanaI

Hawa watu ukifuatilia Kwa ukaribu wanachofanya siyo sahihi kabisaa

Mimi Sina taaluma ya Habari na mawasiliano Kwa uzoefu wangu Katika kufuatilia mambo haws jamaa wako OP kabisaa.

1. Wafanyakazi wao wengi siyo profesional kabisaa ni wa mjomba kamlete

2. Hawako serious Katika kuchambua mambo Kwa umakini..critical reasoning.

3. Ukitenga muda wako kuwasikiliza utaambulia makelele tu Hakuna la maana.

4. Wana uchambuzi wa magazeti na habari Wa hovyo sijawahi ona.
Waachambua magezti matatu shallow Kwa Habari moja moja Baasi Wakati tuna magazeti lukuki. na wanachambua mpira vizuri kuliko magazeti.

5 Kila mtu Anajidai ni comedian, guys simuende Cheka tu Kwa koy mzungu mkafanye stand up comedy. Tunahitaji kufurahi lakini siyo mnavyofanya.

Tunahitaji critical and intelligent radio presenters and journalists not hawa wa kuokota okota akina masanja kufanya hivyo mnakosesha wananchi haki yao kujua vitu Kwa undani.

Mass communication main purpose ni kutoa taarifa na kuelimisha jamii, na elimu itolewa haswa na wenye taaluma husika ya Habari


Tafuteni watu wenye taaluma Zao kuheshimisha Hii Tasnia, vituo vingine kiasi Fulani wanajitahidi critical reasoning japo Kwa asilimia kubwa bado wanajikongoja.
Target audience yao wana enjoy, u may be not among....wapishe!!
 
Kazi ya kubwabwaja kwenye radio nayo inahitaji mtu msomi kweli?
 
Siyo kweli kuna mwananchi.gani.hapendi kusikia
1. Mada za afya
2. Habari za biashara na uchumi.
3.mada mbalimbali Za kibiashara ndani na nje ya nchi..
3. Mada Za Elimu
4. Kujikinga na majanga mbalimbali.
5. Makala Tofauti tofauti zenye kuelimisha kama kilimo na ufugaji etc...
6. Ujenzi , makazi, usafiri etc..
7. Mada za Sheria na wajibu wa RAIA.

8. Maendeleo na mipango ya Serikali

Mambo ya msingi ni mengi tofauti na hizo takataka tunazoziona sasa kwenye runinga na radio umbea 24hrs

Huwezi kukosa wazamini na vipindi kama hivyo
View attachment 2606431
Sina haja ya kubishana. Kila kitu kipo wazi
 
Nina mwaka wa Saba sitaki local channels niliondoka huko kitambo sana zilinishindaga
 
Hawa watu ukifuatilia Kwa ukaribu wanachofanya siyo sahihi kabisaa

Mimi Sina taaluma ya Habari na mawasiliano Kwa uzoefu wangu Katika kufuatilia mambo haws jamaa wako OP kabisaa.

1. Wafanyakazi wao wengi siyo profesional kabisaa ni wa mjomba kamlete

2. Hawako serious Katika kuchambua mambo Kwa umakini..critical reasoning.

3. Ukitenga muda wako kuwasikiliza utaambulia makelele tu Hakuna la maana.

4. Wana uchambuzi wa magazeti na habari Wa hovyo sijawahi ona.
Waachambua magezti matatu shallow Kwa Habari moja moja Baasi Wakati tuna magazeti lukuki. na wanachambua mpira vizuri kuliko magazeti.

5 Kila mtu Anajidai ni comedian, guys simuende Cheka tu Kwa koy mzungu mkafanye stand up comedy. Tunahitaji kufurahi lakini siyo mnavyofanya.

Tunahitaji critical and intelligent radio presenters and journalists not hawa wa kuokota okota akina masanja kufanya hivyo mnakosesha wananchi haki yao kujua vitu Kwa undani.

Mass communication main purpose ni kutoa taarifa na kuelimisha jamii, na elimu itolewa haswa na wenye taaluma husika ya Habari

Tafuteni watu wenye taaluma Zao kuheshimisha Hii Tasnia, vituo vingine kiasi Fulani wanajitahidi critical reasoning japo Kwa asilimia kubwa bado wanajikongoja.
Ni wapuuzi na ndiyo maana vijana wengi wasio na elimu ndiyo wasikilizaji wao wakubwa wakiamini kila ujinga hata kama si kweli. EFM sasa hivi wana Masanja Mkandamizaji kama mchambuzi wao wa habari magazetini, seriously......Jamaa anachambua habari kana kwamba yuko na watoto wadogo au anawasomea hadithi watoto wadogo na wenzak kina Masoud na wengineo wanamchekea tu. Huku Wasafi ndiyo uozo kabisaaaaa, wako very useless.
 
kitenge mbona fresh tu? Kitenge ni mtangazaji mkubwa, sema alijichanganya kwenda kwenye viredio vidogo vya mitaani ambavyo hata masafa yake yanaishia dar tu. Bora angeenda clouds angebaki kuwa mkubwa kama alivyokuwa redio one. Kama vipi aanzishe redio yake. Kwa masanja bado ni kinda sana kwenye utangazaji wa redio, bado hana expossure kwenye vipindi vya redio/tv kama mtangazaji wa kipindi. Masanja anaingia kwenye utangazaji wa redio kutokana na umaarufu wake wa komedi. Atulize kichwa kwenye fani hiyo japo ana mambo mengi ukiwemo uchungaji kanisani, ukada wa chama na ukomedi wake
Katika watangazaji wapuuzi yeye ni namba moja kwenye orodha na redio za mtaani zinamaliza credibilty yake kabisaaaa.
 
Yaani kama ukiwasikiliza kina baba levo,seki na yule dada,kwenye kipindi cha MGAHAWA!!Ni aibu yaani upeo wao wa kuchambua mambo ni mdogo sana!!ila ni kutokana na elimu na exposure.Hivi ile sheria ya kuwa waandishi wa habari wanatakiwa kuwa na elimu kuanzia ngazi ya diploma itaanza lini?!
Baba levo kila kipindi anapuyanga balaa bora mwenzie shilole sio mjuaji atoi maboko sana yahn Ni mweupe sio poa sema bongo nimegundua wasikilizia redio asilimia kubwa akili ndogo.....

Kuna kipind kimoja alikuwa ansema ukipewa M50 kuliko kujenga bora ufanye biashara then biashara ikishakuwa ndio ujenge aisee nilivuta waya nilitaka nimuulize biashara gani hiyo anaona uhakika M50 haipotei ila mpka kipindi kinaisha hakuisema nikahitimisha na msemo wa bongo nyosso
 
Taaluma ya habari ubunifu na vipaji tu inatosha, chuoni ni kwenda kubrashiwa ung'ae, ujue media laws, communication skills and public relation na upate cheti uajiriwe. Mambo mengi ni kuwa mbunifu tu kupata wasikilizaji/watazamaji/wasomaji wengi wa makala/kipindi chako. Uandishi na utangazaji ni sanaa ya kipekee. Ndio maana kuna kituo kimoja cha tv na redio maarufu wana mtindo wa kipekee kusoma taarifa ya habari wakijitofautisha na wengine. Unaweza ukapata ma degree mengi lakini ukakosa ubunifu wa kuandika na kuripoti/kutanga habari. Tasnia ya habari ni pana na kubwa, ni kama haina mwisho
Mkuu tatizo bongo kuonekana mpaka kuaminika sio mchezo ila binafsi uchambuzi wa siasa naona sio haba content ninazo za kutosha nipo 74/100 ila nikijua ile Ile kama ndio kazi rasmi napiga hata ka diploma ka political sayance na journalism nitafika mapaka 98,99 ttzo kupata nafasi
 
Hawa watu ukifuatilia Kwa ukaribu wanachofanya siyo sahihi kabisaa

Mimi Sina taaluma ya Habari na mawasiliano Kwa uzoefu wangu Katika kufuatilia mambo haws jamaa wako OP kabisaa.

1. Wafanyakazi wao wengi siyo profesional kabisaa ni wa mjomba kamlete

2. Hawako serious Katika kuchambua mambo Kwa umakini..critical reasoning.

3. Ukitenga muda wako kuwasikiliza utaambulia makelele tu Hakuna la maana.

4. Wana uchambuzi wa magazeti na habari Wa hovyo sijawahi ona.
Waachambua magezti matatu shallow Kwa Habari moja moja Baasi Wakati tuna magazeti lukuki. na wanachambua mpira vizuri kuliko magazeti.

5 Kila mtu Anajidai ni comedian, guys simuende Cheka tu Kwa koy mzungu mkafanye stand up comedy. Tunahitaji kufurahi lakini siyo mnavyofanya.

Tunahitaji critical and intelligent radio presenters and journalists not hawa wa kuokota okota akina masanja kufanya hivyo mnakosesha wananchi haki yao kujua vitu Kwa undani.

Mass communication main purpose ni kutoa taarifa na kuelimisha jamii, na elimu itolewa haswa na wenye taaluma husika ya Habari

Tafuteni watu wenye taaluma Zao kuheshimisha Hii Tasnia, vituo vingine kiasi Fulani wanajitahidi critical reasoning japo Kwa asilimia kubwa bado wanajikongoja.
hizo ni radio za commedians na wavuta bangi. dont expect critical thinking
 
Taaluma ya habari ubunifu na vipaji tu inatosha, chuoni ni kwenda kubrashiwa ung'ae, ujue media laws, communication skills and public relation na upate cheti uajiriwe. Mambo mengi ni kuwa mbunifu tu kupata wasikilizaji/watazamaji/wasomaji wengi wa makala/kipindi chako. Uandishi na utangazaji ni sanaa ya kipekee. Ndio maana kuna kituo kimoja cha tv na redio maarufu wana mtindo wa kipekee kusoma taarifa ya habari wakijitofautisha na wengine. Unaweza ukapata ma degree mengi lakini ukakosa ubunifu wa kuandika na kuripoti/kutanga habari. Tasnia ya habari ni pana na kubwa, ni kama haina mwisho
MM ndo mana nilikataa hii pale tudarco mwaka ulee.. mana unasoma miaka mi 3 unaingia mtaani unakutana na kilaza mmoja eti ana kipaji... ukimsikiliza unaskia "yoooo.... tukiwa sii hapa mjengoni na mata ze-doni ... " PUMBAFFFF
 
Hizo redio zinapendwa na madereva boda boda, watu wa vijiweni na uswahilini. So don't bother yourself!
 
Back
Top Bottom