Tetesi: EFM wajibu mapigo kwa Clouds Media, kuanzisha TV yao

Tetesi: EFM wajibu mapigo kwa Clouds Media, kuanzisha TV yao

Nashukuru kwa kuelewa. Naomba sasa tukubaliane kwamba kufeli form four haimaanishi mtu hawezi kujiendeleza. Ninazo taarifa kwamba Millard amesoma kiwango cha cheti, haiwezi kuwa kajiendeleza baada ya hapo? Kumbuka fursa za kusoma zimekuwa nyingi siku hizi, na wenzetu (Ulaya) ni tofauti na sisi wanatambua na kuzikubali njia nyingi za kujiongezea elimu!

Milard Ayo ameshauriwa sana asome na angekuwa mtu wa kusoma angekuwa kishasoma miaka ya nyuma BBC/DW walikuwa hawaangalii shule kipaji ndio ilikuwa priority sana ndio maana kina Tido Mhando,Charles Hillary siku hizi mambo ni tofauti elimu ni priority kubwa sana
 
Siku nyingine ukiona naandika post humu halafu mwishoni naandika neno " naomba niishie hapa tafadhali " jua kuna jambo nyeti na la uhakika ambalo nalijua juu yake ila siwezi kuliweka hadharani hapa. Labda nirudie tena kusema kuwa Babie Kabae hapo Clouds Media Group ndiyo ' astaafia ' Kazi yake ya Utangazaji. Naomba niishie hapa tafadhali!

Unamaanisha kwamba nikiburudisho cha mtu mnene sana pale mawingu. Nimekupata!
 
Hivi nyie mnajua nguvi ya pesa?wacha kabisa kwamlio zaliwa zamani mtamkumbuka princes diana kwa dod ni mpunga tu hata awe nani atakwenda tu maana hakuna namna
 
Back
Top Bottom