Tetesi: EFM wajibu mapigo kwa Clouds Media, kuanzisha TV yao

Tetesi: EFM wajibu mapigo kwa Clouds Media, kuanzisha TV yao

Nani alikudanganya BBC wanaajiri wa elimu kubwa? Unamfahamu John Solombi? fuatilia alichukuliwa na BBC akiwa na elimu gani? Huyo Kekeke mwenyewe alijoin BBC akiwa na elimu ya kiwango gani? Mambo usiyoyajua bora kukaa kimya!

Kama hujui Kikeke ni graduate wa SUA kabla hajaanza utangazaji,
Enzi za kina Tido Mhando,Charles Hillary ndio walikuwa hawaangalii elimu siku hizi elimu ni kigezo kikubwa kupata kazi BBC
 
Hiyo efm mbona huku mokoani hawapo?Halafu redio za Tanzania huwa hawapo live stream kwa nini au ni ushamba tu?Mbona kenya wapo sana?Mi nasikilizaga sana Classic fm 105 kenyamoja.com
Zinapatikana TuneIn, download kutoka playstore utazipata za kutosha
 
Kama hujui Kikeke ni graduate wa SUA kabla hajaanza utangazaji,
Enzi za kina Tido Mhando,Charles Hillary ndio walikuwa hawaangalii elimu siku hizi elimu ni kigezo kikubwa kupata kazi BBC
Mkuu usiendelee kupotosha hapa, ni lini Kikeke alisoma SUA? Huyu alisoma diploma chuo cha kilimo nyegezi na alimaliza mwaka 1994
 
Millard alitakiwa sasa kuanza kivyake mana ana jina tayari
 
hizi radio zimekosa watangazaji mpaka wawe wananyang'anyana
 
Hiyo efm mbona huku mokoani hawapo?Halafu redio za Tanzania huwa hawapo live stream kwa nini au ni ushamba tu?Mbona kenya wapo sana?Mi nasikilizaga sana Classic fm 105 kenyamoja.com
Hujaamua kuzitafuta, ingia tunein alafu tafuta kama East Africa Radio utazipata mf mimi niko sehemu ambayo radio haisikiki lakini naweza ipata Kwa njia hii
 
Mkuu usiendelee kupotosha hapa, ni lini Kikeke alisoma SUA? Huyu alisoma diploma chuo cha kilimo nyegezi na alimaliza mwaka 1994

Mkuu usiendelee kupotosha hapa, ni lini Kikeke alisoma SUA? Huyu alisoma diploma chuo cha kilimo nyegezi na alimaliza mwaka 1994

Uko sawa kwenye hili ni kweli alisoma Diploma sio degree. Milard Ayo alifeli form 4 huwezi ukalinganisha na Kikeke aliyekuwa na Diploma miaka ya 90s.BBC /DW miaka ya karibuni ajira zao elimu ni priority ndio mfano Michael Baruti, Anord Kayanda,Zuhura Yunus na Isaac Gamba walioajiriwa miaka ya karibuni wote shule yao huwezi linganisha na Milard Ayo
 
Kwanini wanashindwa kuwatengeneza watangazaji wao ili waje kuwa maarufu na kujivunia?

Kama kutwa nzima kufukuzia watangazaji wa mawingu hii inawapaisha sana mawingu kuwa wao ndio wapishi wa watangazaji maarufu Tz.

Ni vema waanze kuwapika watangazaji wadogo wadogo ambao hawajapata kuwa maarufu.

Hawa wanaowafukuzui ipo siku watazeeka na kufa.
Hujui uandikalo then hufuatilii mambo ya media kabisa waonyeshA
 
Mbona aliondoka Ea radio wakati aliisifu sana

Siku nyingine ukiona naandika post humu halafu mwishoni naandika neno " naomba niishie hapa tafadhali " jua kuna jambo nyeti na la uhakika ambalo nalijua juu yake ila siwezi kuliweka hadharani hapa. Labda nirudie tena kusema kuwa Babie Kabae hapo Clouds Media Group ndiyo ' astaafia ' Kazi yake ya Utangazaji. Naomba niishie hapa tafadhali!
 
Siku nyingine ukiona naandika post humu halafu mwishoni naandika neno " naomba niishie hapa tafadhali " jua kuna jambo nyeti na la uhakika ambalo nalijua juu yake ila siwezi kuliweka hadharani hapa. Labda nirudie tena kusema kuwa Babie Kabae hapo Clouds Media Group ndiyo ' astaafia ' Kazi yake ya Utangazaji. Naomba niishie hapa tafadhali!
Maisha haya bhana
 
Aseeeeeee raymond yule jamaaa ako vzr kwny utangazaj n vle hawamp nafac kubwa
 
UOTE="Iceman 3D, post: 17927693, member: 385104"]Kuna sheria zake mkuu
Wakisha timiza miaka 3 nadhani ndo wana ruhusiwa kwa hiyo by mwakani Efm lazna itaanza kusambaa.
Mimi ni shabiki wa kugalagala wa Efm napenda ijitanue zaid pia[/QUOTE]
Kama una king'amuz cha azam hiyo radio unaipata popote hapa nchini...
 
Kabla ya kufungua hicho kituo cha TV wangehakikisha angalau Radio yao inafika kwenye Majiji ya Tz
Kuanzia january 2017 itafika coz sheria inasema radio inatakiwa ifikishe miaka 3 ndio ianze kutoka mikoani
 
Back
Top Bottom