Tetesi: EFM wajibu mapigo kwa Clouds Media, kuanzisha TV yao

Tetesi: EFM wajibu mapigo kwa Clouds Media, kuanzisha TV yao

Wakuu salamu tena mm ndio nilikuwa mtu wa kwanza kuleta habari juu ya Clouds Kumsajili PJ mapema.

Naomba niwaletee na hiii kwa mara ya kwanzaa! Taarifa za kunyapia nyapiaa inasemekana Masaa machache baada ya Clouds kuwachukua watangazaji wa Efm E nao wamejibu mapigo kwa kuwasajili Watangazaji wanne wa Clouds ambao muda wowote watatuaa E media! Watangazaji hao hasa wa Wa TV2 na wa Radio 2! Inasemekana Baby Kabae Casto Dikson Millard Ayo na Raymond Mshana.

Taarifa hizo zinatanabaisha kwamba now E wanajiimalisha kwenye TV yao mpya ambayo ipo hewani now! Nikama mchezo wa kuigizaaa!

Taarifa zaidi nitawaletea
Hiyo tv e inapatikana kingamuzi gani mdau?
 
Hiyo efm mbona huku mokoani hawapo?Halafu redio za Tanzania huwa hawapo live stream kwa nini au ni ushamba tu?Mbona kenya wapo sana?Mi nasikilizaga sana Classic fm 105 kenyamoja.com
Download tune in
 
Millard Ayo hawezi kuondoka Clouds,aligoma kwenda BBC sembuse hao EFM hajafika ata hapo kibaha?

Milard Ayo ni mtangazaji wa habari za burudani huko BBC atatangaza kipindi gani na pia elimu yake ni ndogo kuajiriwa BBC
 
Milard Ayo ni mtangazaji wa habari za burudani huko BBC atatangaza kipindi gani na pia elimu yake ni ndogo kuajiriwa BBC

Kwani ni elimu inatangaza au ni uwezo wa mtu kutangaza? BBC walimtaka,yeye akawatolea nje.
 
Milard Ayo ni mtangazaji wa habari za burudani huko BBC atatangaza kipindi gani na pia elimu yake ni ndogo kuajiriwa BBC
Nani alikudanganya BBC wanaajiri wa elimu kubwa? Unamfahamu John Solombi? fuatilia alichukuliwa na BBC akiwa na elimu gani? Huyo Kekeke mwenyewe alijoin BBC akiwa na elimu ya kiwango gani? Mambo usiyoyajua bora kukaa kimya!
 
Hiyo efm mbona huku mokoani hawapo?Halafu redio za Tanzania huwa hawapo live stream kwa nini au ni ushamba tu?Mbona kenya wapo sana?Mi nasikilizaga sana Classic fm 105 kenyamoja.com
Zipo kadhaa tune in ila TCRA hairuhusu kama huna national broadcasting license huruhusiwi kustream online na waliomo wana national license Kama radio one,rfa,clouds,earadio etc kama unaisikia isiyo national online tafsiri yake wanavunja sheria kenya ni kenya na bongo ni bongo
 
Hivi hamna namna ya kuajiri kizazi kipya? Mbona wenye taaluma kama hizo wako mtaan wengi tu? Inashangaza sana Efm kuwania watangazaj na Clauds wakat vijana kibao wenye taaluma wako mtaan badala yake wanaajiri watu maarufu wasiokuwa na taaluma alaf wanategemea kuongeza wasikilizaji kuna watangazi uchwara wengi sana
 
Wakuu salamu tena mm ndio nilikuwa mtu wa kwanza kuleta habari juu ya Clouds Kumsajili PJ mapema.

Naomba niwaletee na hiii kwa mara ya kwanzaa! Taarifa za kunyapia nyapiaa inasemekana Masaa machache baada ya Clouds kuwachukua watangazaji wa Efm E nao wamejibu mapigo kwa kuwasajili Watangazaji wanne wa Clouds ambao muda wowote watatuaa E media! Watangazaji hao hasa wa Wa TV2 na wa Radio 2! Inasemekana Baby Kabae Casto Dikson Millard Ayo na Raymond Mshana.

Taarifa hizo zinatanabaisha kwamba now E wanajiimalisha kwenye TV yao mpya ambayo ipo hewani now! Nikama mchezo wa kuigizaaa!

Taarifa zaidi nitawaletea
Mleta thread mbona unataka kuogopa kweupe!!? Mpango wa kufungua TV upo lakini iko processed mpka mwakani ila hzo za TV kufanya kaz na kuwasajili watajwa juu Nina mashaka nalo..labda unifahamishe vizuri
 
Mleta thread mbona unataka kuogopa kweupe!!? Mpango wa kufungua TV upo lakini iko processed mpka mwakani ila hzo za TV kufanya kaz na kuwasajili watajwa juu Nina mashaka nalo..labda unifahamishe vizuri

Kuna watu asubuh wakati naongea kuhusu PJ walibishia sana! Lakini mchana kikaelewekaaa! Sasa hata hii nimeipata kwa mfumo ule ule nilio upata mchana! Nadhani ngoja tungoje tuone itakavyo kuwa
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Back
Top Bottom