vantz
JF-Expert Member
- Apr 22, 2016
- 1,107
- 570
Acha ushamba hujui hata sheria zinasemaje unaropoka tu ka chuchungeHawajaaa nilikuwa nawaspoti sasa wamenichosha wamengangania dar kama kupe waache ushamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ushamba hujui hata sheria zinasemaje unaropoka tu ka chuchungeHawajaaa nilikuwa nawaspoti sasa wamenichosha wamengangania dar kama kupe waache ushamba
Na hiyo ndo itakuwa fursa kubwa sana kujitangaza.Kabla ya kufungua hicho kituo cha TV wangehakikisha angalau Radio yao inafika kwenye Majiji ya Tz
Huenda mtaji wake haujafikia malengo, huwezi jua.Sasa Millard nilifikiri akitoka Clouds ataanzisha TV yake.....why aende ETV?
hata Mimi pia japo sio msikilizaji wa redio sana!Kuna sheria zake mkuu
Wakisha timiza miaka 3 nadhani ndo wana ruhusiwa kwa hiyo by mwakani Efm lazna itaanza kusambaa.
Mimi ni shabiki wa kugalagala wa Efm napenda ijitanue zaid pia
Kuna TV station mpya ipo katka test signal Inaitwa TABIBU,hii sijui ya nani?,au ndiyo ya EFM?
Media ziko nyingi hizi ni mbili tu, na kila mttangazaji tayari ana program yake kwenye media, hao hawawezi kuendesha vipindi vyote. Mtangazaji atakuza kipaji chake kupitia kipindi chake.Na kinaua vipaji vya watangazaji wasiojulikana ambao wanahitaji airtime ya kujulikana na kujipambanua zaidi kwenye tasnia ya habari
Na redio za mikoani vipi? Au Dar ni nchiKwa utaratibu wa tcra huwezi kwenda mikoani bila kufikisha miaka3 hii ni kwa radio yoyote mpya
dj majay!Hivi EFM mmiliki wake ni nan?
Mkuu mbona wanao watangazaji wao walio waibua! But mwisho wa siku ni kama ligi ya mpira lazima ufanye usajili ya vipaji vikali vikali na wazoefu wa mchezo ili uimarishe kikosi chako!Kwanini wanashindwa kuwatengeneza watangazaji wao ili waje kuwa maarufu na kujivunia?
Kama kutwa nzima kufukuzia watangazaji wa mawingu hii inawapaisha sana mawingu kuwa wao ndio wapishi wa watangazaji maarufu Tz.
Ni vema waanze kuwapika watangazaji wadogo wadogo ambao hawajapata kuwa maarufu.
Hawa wanaowafukuzui ipo siku watazeeka na kufa.
Kwanini?Millard ayo hatoki pale wacha kuota kwa sauti
Mkuu hao mawingu wenyewe wanaiba watangazaji kutoka EARadio kama Dj sinyorita, mamy baby wa xxxl na juz wamemsajili kicheko mtata alie kua kwny kundi la zecomedy la EATV! [emoji13]Kwanini wanashindwa kuwatengeneza watangazaji wao ili waje kuwa maarufu na kujivunia?
Kama kutwa nzima kufukuzia watangazaji wa mawingu hii inawapaisha sana mawingu kuwa wao ndio wapishi wa watangazaji maarufu Tz.
Ni vema waanze kuwapika watangazaji wadogo wadogo ambao hawajapata kuwa maarufu.
Hawa wanaowafukuzui ipo siku watazeeka na kufa.
Tanzania ina majiji au Vijiji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabla ya kufungua hicho kituo cha TV wangehakikisha angalau Radio yao inafika kwenye Majiji ya Tz
Kweli jamaa wamepaniki mbaya wanatamani hata kuiua kabisaaa efmMkuu mbona wanao watangazaji wao walio waibua! But mwisho wa siku ni kama ligi ya mpira lazima ufanye usajili ya vipaji vikali vikali na wazoefu wa mchezo ili uimarishe kikosi chako!
Mbona hata mawingu wanachukua sana watangazaji kutoka radio nyingine, mfano Millard Ayo (ITV), Mussa Hussein (EATV), Fredwaa (Radio Free), DJ Sinyorita (EATV), DJ Ziro (Channel ten), Zamaradi Nketema (C2C), kuna huyu dj mpiga visingeli wa Efm wamemchukua juzi kati.. etc etc etc
Ndio mchezo ulivyo mkuu, hauhitaji hasira! Ila dizaini kama mawingu wamepaniki..
Wakuu salamu tena mm ndio nilikuwa mtu wa kwanza kuleta habari juu ya Clouds Kumsajili PJ mapema.
Naomba niwaletee na hiii kwa mara ya kwanzaa! Taarifa za kunyapia nyapiaa inasemekana Masaa machache baada ya Clouds kuwachukua watangazaji wa Efm E nao wamejibu mapigo kwa kuwasajili Watangazaji wanne wa Clouds ambao muda wowote watatuaa E media! Watangazaji hao hasa wa Wa TV2 na wa Radio 2! Inasemekana Baby Kabae Casto Dikson Millard Ayo na Raymond Mshana.
Taarifa hizo zinatanabaisha kwamba now E wanajiimalisha kwenye TV yao mpya ambayo ipo hewani now! Nikama mchezo wa kuigizaaa!
Taarifa zaidi nitawaletea