Tetesi: EFM wajibu mapigo kwa Clouds Media, kuanzisha TV yao


Milard Ayo ameshauriwa sana asome na angekuwa mtu wa kusoma angekuwa kishasoma miaka ya nyuma BBC/DW walikuwa hawaangalii shule kipaji ndio ilikuwa priority sana ndio maana kina Tido Mhando,Charles Hillary siku hizi mambo ni tofauti elimu ni priority kubwa sana
 

Unamaanisha kwamba nikiburudisho cha mtu mnene sana pale mawingu. Nimekupata!
 
Hivi nyie mnajua nguvi ya pesa?wacha kabisa kwamlio zaliwa zamani mtamkumbuka princes diana kwa dod ni mpunga tu hata awe nani atakwenda tu maana hakuna namna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…