mpenda pombe
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 1,406
- 711
Kweli huu mchezo hauhitaji hasira... Yule mtangazi bora wa Sports extra ya Clouds FM Leo kasajiliwa rasmi EFM.
Hii vita sijui nani ataishinda...
Hii vita sijui nani ataishinda...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unafki tuuwekeTukiweka unafiki pembeni E FM wataisumbua sana Clouds
Asante mkuu.nilikuwa moshi kili FM inasikilizwa sana kuliko clouds.kuna stesheni za taifa na za mikoa.efm wenzake kili FM,jembe FM na wengine wa mikoani.clouds na EA radio ni redio za taifaEFM ni sehemu yakupumzikia watangazaji wa Clouds,wakimhitaji anytime anarudi.
Clouds inaushindani kama wa EFM kila mkoa kwa hiyo bado wana safari kujilinganisha na Clouds.
Wakiweza mng'oa B12 kile kipindi wakifuteBado Millard ayo na twangala (b12)
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] swalii gumuLini watamsajili Ruge?
Mmmh twangala ngumu ana kula shavu nono mawingu, Millard anasemaga kila ckuu anafungua radio yk lkn naona kimya mpk ssBado Millard ayo na twangala (b12)
Shafii duuu n ngumuBado shafii dauda wakimtoa uyo bc hakuna michezo mtaa wa pili