EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi

EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi

Uongozi wa E-FM umetangaza kumchukulia hatua Gerald Hando kutokana na kauli yake aliyoitoa kupitia E-FM kuwa hapendi Serikali inavyokopakopa hovyo na kusababisha ugumu wa maisha.

Hili suala la Mikopo ya Serikali ni jana tu hapa tulijadili sana kwamba Bunge liitake Serikali ije na maelezo ya mikopo iliyochukua kama ina baraka za Bunge au laa ili wananchi wote pamoja tuwe na picha ya pamoja kuhusu mikopo.

Kwani kuna malalamiko makubwa yaliyo sasa ni kwamba mikopo mingi imechukuliwa nje ya Bajeti iliyopitishwa na Bunge kwa mujibu wa Sheria.

Gerald Hando leo amechukuliwa hatua kwa kuhoji kuhusu Mikopo, Ndugai aliondoka kwenye kiti ya Spika kwa sababu ya kuhoji mikopo, Luhaga Mpina alikatwa jina kugombea NEC kwa sababu alihoji mikopo bungeni.

View attachment 2464630
Wapumbavu kama jf tu siku hizi rostam azizi anamiliki mamlaka hapa jf ...ukisema ukweli unapigwa ban bila ya sababu za msingi.
 
Ni hatari sana kwa Taifa letu.
 

Attachments

  • IMG-20221231-WA0012.jpg
    IMG-20221231-WA0012.jpg
    42.2 KB · Views: 1
Kiukweli nimeshangaa sana ni nini kimemtuma Majizzo kuomba msamaha kwenye public? Kuna jambo lolote baya kutoka kwa Hando? Maana yeye alisema binafsi hafurahishwi na serikali kukopokopa kama raia wa nchi ana haki ya kuishauri serikali na kutoa dukuduku lake kama katiba inavyosema.

Kwani Hando kuna sehemu kadanganya? Si kweli tunakopa? Kama hakuna ubaya kukopa kwanini Majizzo anaomba msamaha? Kama taifa tuna safari ndefu sana.

View attachment 2464611
Majizzo anaogopa tochi la serikali, kwenye kodi, kutakatisha pesa n.k
 
Kiukweli nimeshangaa sana ni nini kimemtuma Majizzo kuomba msamaha kwenye public? Kuna jambo lolote baya kutoka kwa Hando? Maana yeye alisema binafsi hafurahishwi na serikali kukopokopa kama raia wa nchi ana haki ya kuishauri serikali na kutoa dukuduku lake kama katiba inavyosema.

Kwani Hando kuna sehemu kadanganya? Si kweli tunakopa? Kama hakuna ubaya kukopa kwanini Majizzo anaomba msamaha? Kama taifa tuna safari ndefu sana.

View attachment 2464611
KAMA Maoni yake ni MSIMAMO wake kwanini Achukuliwe HATUA?
 
Majizo amfukuze kazi Hando, EFM ni kituo kizuri sana Cha Radio, tatizo Hando anaingia akiwa amelewa chakari halafu anaruhusiwa kuingia hewani, aweke vipimo vya kilevi mlangoni.

Na akianza kuweka kipimo hicho, akipita Hando, kitapiga alarm ambayo itafika mpaka Morogoro, na kipimo kinaweza kupiga shoti hapohapo na kuharibika

Halafu mnahadaa watu eti Samia karejesha uhuru wa kujieleza. Kumbe huo uhuru wa kujieleza ni wa kusifia tu. Sasa hapo tofauti yake na Magufuli ni ipi zaidi ya jinsia?
 
Kipindi Cha kikwet Mambo yalikuwa nafuu. Ila alipoingia mwendazake akaanza kuwa deal akina Horest Kawawu na Salum Mkambala huo UkAWA mwisho
Kipindi cha Kikwete safu ya media personality zetu ilikuwa ni:

Asubuhi: ZEMBWELA BEBERU, professional comedian

Mchana: EPHRAHIM KIBONDE, mshereheshaji wa maharusi

Usiku: Nightly news with CHARLES HILLARY, football presenter from the 80s

Hawa watu hawakuwa scholastically equipped kuwa wachambuzi wa masuala ya kitaifa.

Kama Magufuli aliua media na media landscape yenyewe ndio hii ya waandishi wa JAHAZI show, then he was beating on a dead horse.
 
Kiukweli nimeshangaa sana ni nini kimemtuma Majizzo kuomba msamaha kwenye public? Kuna jambo lolote baya kutoka kwa Hando? Maana yeye alisema binafsi hafurahishwi na serikali kukopokopa kama raia wa nchi ana haki ya kuishauri serikali na kutoa dukuduku lake kama katiba inavyosema.

Kwani Hando kuna sehemu kadanganya? Si kweli tunakopa? Kama hakuna ubaya kukopa kwanini Majizzo anaomba msamaha? Kama taifa tuna safari ndefu sana.

View attachment 2464611
Mwamba wamemchonganisha na serikali
 
Back
Top Bottom