EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi

EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi

Majizo amfukuze kazi Hando, EFM ni kituo kizuri sana Cha Radio, tatizo Hando anaingia akiwa amelewa chakari halafu anaruhusiwa kuingia hewani, aweke vipimo vya kilevi mlangoni.

Na akianza kuweka kipimo hicho, akipita Hando, kitapiga alarm ambayo itafika mpaka Morogoro, na kipimo kinaweza kupiga shoti hapohapo na kuharibika
Amfukuze kisa kashindwa kuabudu Mama?
 
Mkuu,

Haya mambo yalikuwapo tangu enzi za Nyerere.

Watu walifungwa kwa kumkosoa rais. Mpaka vyama vingi vikafutwa.

Haya hayakuanza na Magufuli.

Magufuki kaja kufanya kijinga tu mpaka kipofu kaona.
Literature za wakati wa Nyerere zinaonesha hali ilikuwa mbaya ila wengi hawakiwa wasomi kwa hiyo hawakusense kwamba hawana uhuru. Tena walisakwa wakakimbia nchi... mfano ni Ludovick Mwijage
 
Majizo amfukuze kazi Hando, EFM ni kituo kizuri sana Cha Radio, tatizo Hando anaingia akiwa amelewa chakari halafu anaruhusiwa kuingia hewani, aweke vipimo vya kilevi mlangoni.

Na akianza kuweka kipimo hicho, akipita Hando, kitapiga alarm ambayo itafika mpaka Morogoro, na kipimo kinaweza kupiga shoti hapohapo na kuharibika
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo aliyo kunywa sio pombe itakua nyongo ya mamba[emoji1787][emoji1787][emoji1787] duh!!
 
Hivi Hando alitukana? Ameua au? Msimamo wa taasisi ni upi?

George Orwell kwnye kitabu cha 1984 alisema

"And if all others accepted the lie which the Party imposed—if all records told the same tale—then the lie passed into history and became truth"

Ukweli umekua uongo,na uongo ukweli.
 
Hivi Hando alitukana? Ameua au? Msimamo wa taasisi ni upi?

George Orwell kwnye kitabu cha 1984 alisema

"And if all others accepted the lie which the Party imposed—if all records told the same tale—then the lie passed into history and became truth"

Ukweli umekua uongo,na uongo ukweli.
Always, Big Brother is watching
 
Mkuu,enzi ya kikwete angalau Uhuru ulikuwepo tofauti na alipoingia Magufuli,japo haikuwa kwa % Mia ila angalau wakosoaji hawakupata misukosuko Kama enzi za jiwe na mwendelezo Hadi Sasa enzi ya mama.

Katika Hilo angalau tuseme ukweli. Nakuhakikishia kwa alichosema Hando na Ndugai ingekuwa enzi ya kikwete Wala kusingetokea yaliyotokea.

Sawa, lakini hoja yangu ni kwamba hata wakati ambapo kuna ka uhuru hakunaga mtu anachambua mikopo ya serikali redioni kwa dhati....

vipindi vyenyewe really ni vya burudani, hizo opinion za hard core issues wanachomekea tu...

Huyo Hando juzi kamchana Makamba kwamba amuulize Kalemani aliwezaje kazi.. Unajua nani alikuwa host anaemhoji ? MAULIDI KITENGE!
Mwandishi wa michezo, mizaha na burudani.

Huyu anawezaje ku host kipindi cha kuchambua uchumi wa nchi ???
 
Kiukweli nimeshangaa sana ni nini kimemtuma Majizzo kuomba msamaha kwenye public? Kuna jambo lolote baya kutoka kwa Hando? Maana yeye alisema binafsi hafurahishwi na serikali kukopokopa kama raia wa nchi ana haki ya kuishauri serikali na kutoa dukuduku lake kama katiba inavyosema.

Kwani Hando kuna sehemu kadanganya? Si kweli tunakopa? Kama hakuna ubaya kukopa kwanini Majizzo anaomba msamaha? Kama taifa tuna safari ndefu sana.

View attachment 2464611
Kwani uongo?!
Mwamvua atauza Tanganyika muda wowote...
 
Itoshe tu kusema Nchi iko pabaya[emoji34][emoji34][emoji45][emoji46]
 
Back
Top Bottom