Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Rip Magufuli
Rip Pope Benedict XVI
Rip Pele
Umemsahau Malkia Elizabeth, waliobakia wote sasa hivi ni satanic, Dunia imekwisha, Pope, Malkia Elisabeth ndiyo waliokuwa wanazuia ushetani sasa wote wameenda, satanic system inaongoza, thermal war is coming in Europe hakuna wa kuzuia, wengi hawajui nini kinaendelea Duniani, tunaishi katika wakati mgumu na hatari klk wakati wowote ule, satan in control.
Tanzania haijawahi kuwa hivi tangia kuanzishwa kwake, na bado wengi hawajui what is coming, Diamond kapigwa mamilioni siajabu labda kakataa tu uchawa, na Diamond ni Muislamu hivyo no
one is safe, …