johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hahaha........leo unafunga mwaka na makasirikoPelekeni ushenzi wenu huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha........leo unafunga mwaka na makasirikoPelekeni ushenzi wenu huko
Dah kweli inafikirisha sana Tangazo la kuchukuliwa hatua litoke Chalinze Msata jirani na Msoga?Tangazo la kuchukuliwa hatua Gerald Hando kuhusu nchi kukopa kopa linatolewa MSATA-CHALINZE- PWANI inafikirisha sana
Common sense is not common, ndio maana huna
Mbowe kalamba asali akiwa London, wewe umelamba ukiwa wapi? Tandale?Aya chawa umesikika nenda kalambe asali
Uhuru wa kujieleza haupo. Tunaishi nchi ya hovyo kabisa. Je, tutaipata katiba mpya kama wananchi hawaruhusiwi kujieleza?Majizo amfukuze kazi Hando, EFM ni kituo kizuri sana Cha Radio, tatizo Hando anaingia akiwa amelewa chakari halafu anaruhusiwa kuingia hewani, aweke vipimo vya kilevi mlangoni.
Na akianza kuweka kipimo hicho, akipita Hando, kitapiga alarm ambayo itafika mpaka Morogoro, na kipimo kinaweza kupiga shoti hapohapo na kuharibika
Katiba ya nini vituo vya afya, mabarabara, madaraja, Kila mahali maendeleo, hayo makaratasi ya katiba hatuyatakiUhuru wa kujieleza haupo.Tunaishi nchi ya hovyo kabisa.Je tutaipata katiba mpya kama wananchi hawaruhusiwi kujieleza?
Kiukweli nimeshangaa sana ni nini kimemtuma Majizzo kuomba msamaha kwenye public? Kuna jambo lolote baya kutoka kwa hando? Maana yeye alisema binafsi hafurahishwi na serikali kukopokopa kama raia wa nchi ana haki ya kuishauri serikali na kutoa dukuduku lake kama katiba inavosema.
Kwani hando kuna sehemu kadanganya? Si kweli tunakopa? Kama hakuna ubaya kukopa kwanini Majizzo anaomba msamaha? Kama taifa tuna safari ndefu sana.
View attachment 2464611
Kuna philosophy inasema hakuna Jambo lisilo na mwisho.Mwisho wa CCM utafika tu ndugu yangu.Sisi tutakuwa tunaongelea tu humu JF .Mungu ibariki Tz mwisho wa CCM unakaribia.Katiba ya nini vituo vya afya, mabarabara, madaraja, Kila mahali maendeleo, hayo makaratasi ya katiba hatuyataki
Nilimpenda Magufuli kwenye mambo mengi lakini kwenye hili la kupenda kusifiwa tu ameharibu Sana mfumo. Nchi imegeuka ya hovyo mtu akikosoa tu anaonekana adui,atasakamwa na kesi za uhujumu nchi atapewa.
Mama amerithi na kuiendeleza tabia mbovu na ya hovyo Sana.
Endelea kuota, bila shaka hujui vyama vyote vya upinzani ni extension ya mkono wa CCM ....they are state apparatus.Kuna philosophy inasema hakuna Jambo lisilo na mwisho.Mwisho wa CCM utafika tu ndugu yangu.Sisi tutakuwa tunaongelea tu humu JF .Mungu ibariki Tz mwisho wa CCM unakaribia.
Jamaa alifunguka, lakini hakuna makosa yoyote kwenye kauli zake.
Mbona nyie hampendi kukosolewaMajizo amfukuze kazi Hando, EFM ni kituo kizuri sana Cha Radio, tatizo Hando anaingia akiwa amelewa chakari halafu anaruhusiwa kuingia hewani, aweke vipimo vya kilevi mlangoni.
Na akianza kuweka kipimo hicho, akipita Hando, kitapiga alarm ambayo itafika mpaka Morogoro, na kipimo kinaweza kupiga shoti hapohapo na kuharibika
Akitaka kukosoa atumie forum zake, sio redio za MajizzoMbona nyie hampendi kukosolewa
Mnataka msifiwe tu
Ova
Yaan unachoongea ,inaonekana hauna ufahamu na uelewa wa philosophy za dunia hii.Kwa ufupi hauna elimu ya kutosha.Unajadili issue sensitive Kama mtoto mdogo w darasa la saba B.Nimeshituka sana kuona material zako zikiwa pointless.Nikwambie Tanzania sio kisiwa.Ipo siku kila kitu kitakuwa sawa.Jaribu kusoma theory za dunia kwenye vitabu usibaki nyuma unaonekana upo empty kabisa.Endelea kuota, bila shaka hujui vyama vyote vya upinzani ni extension ya mkono wa CCM ....they are state apparatus.
Cc::
Mrema.
Lipumba.
Cheyo.
Mbatia.
Selasini.
Endless list