EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi

EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi

Majizo amfukuze kazi Hando, EFM ni kituo kizuri sana Cha Radio, tatizo Hando anaingia akiwa amelewa chakari halafu anaruhusiwa kuingia hewani, aweke vipimo vya kilevi mlangoni.

Na akianza kuweka kipimo hicho, akipita Hando, kitapiga alarm ambayo itafika mpaka Morogoro, na kipimo kinaweza kupiga shoti hapohapo na kuharibika
Uhuru wa kujieleza haupo. Tunaishi nchi ya hovyo kabisa. Je, tutaipata katiba mpya kama wananchi hawaruhusiwi kujieleza?
 
Kiukweli nimeshangaa sana ni nini kimemtuma Majizzo kuomba msamaha kwenye public? Kuna jambo lolote baya kutoka kwa hando? Maana yeye alisema binafsi hafurahishwi na serikali kukopokopa kama raia wa nchi ana haki ya kuishauri serikali na kutoa dukuduku lake kama katiba inavosema.

Kwani hando kuna sehemu kadanganya? Si kweli tunakopa? Kama hakuna ubaya kukopa kwanini Majizzo anaomba msamaha? Kama taifa tuna safari ndefu sana.

View attachment 2464611

 
Nilimpenda Magufuli kwenye mambo mengi lakini kwenye hili la kupenda kusifiwa tu ameharibu Sana mfumo. Nchi imegeuka ya hovyo mtu akikosoa tu anaonekana adui,atasakamwa na kesi za uhujumu nchi atapewa.
Mama amerithi na kuiendeleza tabia mbovu na ya hovyo Sana.


Huu ujinga wa kutaka kuyaficha makosa ya mama yenu kwa JPM, huku yale mazuri mkiplmpa mama yenu mwenyewe, si ujui unatoka wapi?

Kwenye utawala wa SSH tena yeye mwenyewe akiwa rais (karibia miaka miwili), unawezaje kuzitupa hizo lawama kwa JPM?

Kizuri kinafanywa cha SAMIA ila kibaya cha awamu hii kinageuzwa kuwa JPM?
 
Kuna philosophy inasema hakuna Jambo lisilo na mwisho.Mwisho wa CCM utafika tu ndugu yangu.Sisi tutakuwa tunaongelea tu humu JF .Mungu ibariki Tz mwisho wa CCM unakaribia.
Endelea kuota, bila shaka hujui vyama vyote vya upinzani ni extension ya mkono wa CCM ....they are state apparatus.

Cc::

Mrema.
Lipumba.
Cheyo.
Mbatia.
Selasini.

Endless list
 
Majizo amfukuze kazi Hando, EFM ni kituo kizuri sana Cha Radio, tatizo Hando anaingia akiwa amelewa chakari halafu anaruhusiwa kuingia hewani, aweke vipimo vya kilevi mlangoni.

Na akianza kuweka kipimo hicho, akipita Hando, kitapiga alarm ambayo itafika mpaka Morogoro, na kipimo kinaweza kupiga shoti hapohapo na kuharibika
Mbona nyie hampendi kukosolewa

Mnataka msifiwe tu

Ova
 
SAKATA la Gerald Hando kuchukuliwa hatua na uongozi wa E-FM kwa kusema hafurahishwi na Serikali inavyokopa kopa unatupa mashaka makubwa sisi wasikilizaji na wadau wa E-FM na kuanza kujiuliza upya kama kweli Majizo ndiye mmiliki halali wa E-FM


20221231_181825.jpg
 
Endelea kuota, bila shaka hujui vyama vyote vya upinzani ni extension ya mkono wa CCM ....they are state apparatus.

Cc::

Mrema.
Lipumba.
Cheyo.
Mbatia.
Selasini.

Endless list
Yaan unachoongea ,inaonekana hauna ufahamu na uelewa wa philosophy za dunia hii.Kwa ufupi hauna elimu ya kutosha.Unajadili issue sensitive Kama mtoto mdogo w darasa la saba B.Nimeshituka sana kuona material zako zikiwa pointless.Nikwambie Tanzania sio kisiwa.Ipo siku kila kitu kitakuwa sawa.Jaribu kusoma theory za dunia kwenye vitabu usibaki nyuma unaonekana upo empty kabisa.
 
Back
Top Bottom