Sanyambila
JF-Expert Member
- Jan 24, 2018
- 378
- 510
Majizo na kampuni yake wanatafuta ugali sasa channel ilishakamata halafu mtu mmoja anahoji mikopo wakati hiyo serikali ndo ina TRA, INA BRELA, TCRA, INATAWALA hapo kama Gerald Hando ajitokeze aombe msamaha hadharani na akae nje ya kituo mwezi 1 atakuwa amejirekebisha
Alitakiwa asome maudhui ya radio na TV yao
Alitakiwa asome maudhui ya radio na TV yao