EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi

EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi

Ila ni kweli tunakopakopa sana.
Kukopa sio kosa Ila kopa unachoweza kurejesha sio unakopa alafu unasubiri msamaha, China yaisamehe Tanzania deni la billion 31.8, Ujuremani yaikopesha Tanzania Billion 900 kwa ajili ya Tehama, alafu tunamsubiri Mjerumani nae asamehe mkopo wake, mwalifyale hio ndio furaha ya kukopa ili tufurahie kusamehewa mikopo?
 
Madhara ya kuwa na rais dhaifu yanajionesha.ikitokea amekosolewa anaanza kuwatisha kwa kuwalazimisha kuomba msamaha.wanapenda wasifiwe kila siku kama vile wamefanya mazuri yote wakati nchi wameivuruga na kuiharibu.
 
MaCHADEMA na mifugo gang yana ropoka sasa. Yes safi
Sana EFM kuomba radhi na kujitenga na ujinga wa Hando. Mtangazaji lazma awe na full details ndio aongee sio kuropoka jambo kubwa kishabiki bila research. Yees Jana Gaidi kakutana tena na Rais wetu Mama Samia MaCHADEMA hoooooiii
 
Pumbavu sana , hii nidhamu ya uoga .
Kwani kutoa maoni binafsi ni kosa , nchi imetumbukia pabaya sana.

Hakuna tena uhuru wa kutoa maoni.
 
Halafu mnahadaa watu eti Samia karejesha uhuru wa kujieleza. Kumbe huo uhuru wa kujieleza ni wa kusifia tu. Sasa hapo tofauti yake na Magufuli ni ipi zaidi ya jinsia?
Samia anahusikaje na biashara za Majizzo? Majizo na mtumishi wake ndio wanapigana misumari
 
Kwani katiba mpya inazuia hivyo visijengwe?
Sisi tumeridhika na hii katiba, nyie walafi wa madaraka ndio mnapanga kuweka vyeo humo mara sijui serikali za majimbo, lengo lenu kula Hela za wananchi kwa mtaji wa kupiga domo
 
Kwenye suala la Serikali "kukopakopa hovyo" kuna sehemu halijakaa vizuri. Kwanini wakopaji wanakuwa "wakali sana" kila linapotamkwa neno "kukopakopa hovyo"? Mh. Ndugai na sasa Gerald Hando wote wamefikiwa na rungu zito kisa kutamka hilo neno.

Kuna nini?
 
Kiukweli nimeshangaa sana ni nini kimemtuma Majizzo kuomba msamaha kwenye public? Kuna jambo lolote baya kutoka kwa Hando? Maana yeye alisema binafsi hafurahishwi na serikali kukopokopa kama raia wa nchi ana haki ya kuishauri serikali na kutoa dukuduku lake kama katiba inavyosema.

Kwani Hando kuna sehemu kadanganya? Si kweli tunakopa? Kama hakuna ubaya kukopa kwanini Majizzo anaomba msamaha? Kama taifa tuna safari ndefu sana.

View attachment 2464611

Connect dots

 
Halafu mnahadaa watu eti Samia karejesha uhuru wa kujieleza. Kumbe huo uhuru wa kujieleza ni wa kusifia tu. Sasa hapo tofauti yake na Magufuli ni ipi zaidi ya jinsia?
Kwani Hando kapewa onyo na Serikali au mmiliki wa Taasisi? Mwenye radio yake na wasikilzaji wa hiyo radio wameona alichokisema Hando akina afya kwa radio yao ndio maana wanataka kumchukulia hatua
 
Kwani Hando kapewa onyo na Serikali au mmiliki wa Taasisi? Mwenye radio yake na wasikilzaji wa hiyo radio wameona alichokisema Hando akina afya kwa radio yao ndio maana wanataka kumchukulia hatua
Onyo halijiijii hovyo.Kuna kitu kimeanza ndiyo limefuata onyo.Beware of hypocrites!
 
Kiukweli nimeshangaa sana ni nini kimemtuma Majizzo kuomba msamaha kwenye public? Kuna jambo lolote baya kutoka kwa Hando? Maana yeye alisema binafsi hafurahishwi na serikali kukopokopa kama raia wa nchi ana haki ya kuishauri serikali na kutoa dukuduku lake kama katiba inavyosema.

Kwani Hando kuna sehemu kadanganya? Si kweli tunakopa? Kama hakuna ubaya kukopa kwanini Majizzo anaomba msamaha? Kama taifa tuna safari ndefu sana.

View attachment 2464611
Anyooshwe huyo Hando na bwana Majizo umefanya vizuri.

Hawa Wapinzani wa Maendeleo sio wa kuchekea ,fukuza..

Eti Nchi imekopa Sana ,taahira Kama Hando anajua nini kuhusu Uchumi?

Kwa hiyo Hawa wanaotuweka grade hizi hapa Ni wajinga Ila Hando ndio mwenye akili?

Fukuza huyo atakuharibia bure 👇
 
Mnapenda sana kusifiwa. Hamtaki kabisa mawazo mbadala. Kama wachawi vile.

Ni Bora mawazo mbadala yakatoka kwa watu wenye credibility na ufahamu kuhusu Uchumi na sio kila mburula anajitokeza kuongea madwala ya Uchumi as if Kuna kitu anajua.

Hando anajua nini kuhusu Uchumi? Hando angekuwa huko Chadema na atumie Hilo jukwaa sawa.

Kati ya Hando na taasisi za Kimataifa zinazoleta takwimu Kama hizi tumuamini Nani? Wewe utamuamini huyo Hando?

 
Back
Top Bottom