Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,805
- 3,640
Majizo hakuwa na jinsi kwanza EFM wanapata sponsorship kubwa toka wizara ya afya kuhamasisha chanjo ya covid kupitia tamasha lao la mziki mnene. Its a lucrative sponsorship toka kwa serkalini. Serikali ndio mtoa matangazo anayelipa pesa nyingi kwenye media wote hawa hata kina millard ayo, cloudsfm wanategemea mdau mkubwa toka serikalini.
Hando ameongea ukweli na kipindi chao cha asubuhi huwa kina mizaha na kejeli nyingi hata ukimsikiliza kijana wa serikali chumvi kitenge naye huwa anamizaha minhi kufurahisha wasikilizaji. Wangekuwa wenye akili wangeliacha kama lilivyo likajulikana ni mizaha ile ya joto la asubuhi. Kilichomponza hando ni wanazengo kukata ile clip na kuisambaza kwa manufaa yao binafsi.
Hando ameongea ukweli na kipindi chao cha asubuhi huwa kina mizaha na kejeli nyingi hata ukimsikiliza kijana wa serikali chumvi kitenge naye huwa anamizaha minhi kufurahisha wasikilizaji. Wangekuwa wenye akili wangeliacha kama lilivyo likajulikana ni mizaha ile ya joto la asubuhi. Kilichomponza hando ni wanazengo kukata ile clip na kuisambaza kwa manufaa yao binafsi.