Itakuwa anacheza FC MOBILEMkuu hilo game unalocheza labda siyo efootball, kuna wastani wa MB 60+ kwa saa 1 na ndani ya hilo saa haizidi MB 100.
Pamoja mkuu.Nimesha accept
Itakuwa hivyo.Itakuwa anacheza FC MOBILE
Mkuu niajeView attachment 3186654
Nimeanza harakati za kupata hizi pack.
Fresh mkuu, naona tunapishana muda wa kuwa online kwenye game.Mkuu niaje
Mkuu kama utakuwa na nafasi muda wa saa 5:30 tupige hata game 1.Saa 4 usiku ntakucheki jf
Poa.Sawa nitakucheki
Mkuu hao jamaa ilikuwa kila nikijiandaa kupiga pasi nakuta tayari nishapokonywa mpira baada ya game 2 za mwanzo nikasema hapa bora nicheze pira matokeo nikawa natumia mipira mirefu ๐๐๐๐Kawaida mkuu, mara nyingi nakutana nao na Wana block mipira hatare.
Mapema sana mkuu kuna mechi nilisepa, kipindi cha kwanza nimekula 3 na bado kilikuwa hakijaisha ๐๐๐Hukukimbia mkuu
Kupokea 5g hakukimbiliki ukikutana na mpinzani imara ila kipindi cha kwanza umekula 3 na bado kinaendelea kuendelea kukaza fuvu mpaka dakika ziishe itakuwa hatari zaidi ๐๐๐๐ฟUnavumilia tu upokee 5g
๐๐ Leo nineingia division 4 game 3 za mwanzo nikapigwa imenibidi nitulie kwanzaKupokea 5g hakukimbiliki ukikutana na mpinzani imara ila kipindi cha kwanza umekula 3 na bado kinaendelea kuendelea kukaza fuvu mpaka dakika ziishe itakuwa hatari zaidi ๐