Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikipata mda nakucheki mkuuNilitaka nishangae humu ndani unakosenaje uzi wa efootball, hatimae nimekuwa mwanachama mpya wa hili game.
View attachment 3181116
Najenga team ya ushindani.
Games napenda ila za offlineHupendi games
Nina experience nalo hili game yaani ndani ya siku moja MB 500+ zinaishaMkuu jaribu ipo vizuri sana wala haipigi mb
Siku nzima unaimalizia kwenye games auNina experience nalo hili game yaani ndani ya siku moja MB 500+ zinaisha
Bado zile update zao za kila siku
Pamoja mkuu, username yako tafadhali tuwe marafiki huko.Nikipata mda nakucheki mkuu
Mkuu hilo game unalocheza labda siyo efootball, kuna wastani wa MB 60+ kwa saa 1 na ndani ya hilo saa haizidi MB 100.Nina experience nalo hili game yaani ndani ya siku moja MB 500+ zinaisha
Bado zile update zao za kila siku
Kabisa mkuu tatizo watu wanakariri kwa kuwa ni online basi wanahisi bando lake linatembea sana 😂Hapana, updates ndo zinapiga mbs ila kawaida hata 100 hazifiki per day
Nimerequest tayari mkuuedokissy