eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

[emoji23][emoji23][emoji23] ujapigwaa nyingi wee uko unataka kukimbia
Tigo nao wamechangia mimi kupoteza mechi nyingi online sababu hapa nilipo mtandao mzito hivyo wachezaji nao wanakuwa wazito kurespond
 
DLS hata lingekua na GB 3 na ku-update kila mwezi bado watu hawataliacha u know y? Ndio game Bora zaidi kwenye upande wa simu....
"Kizuri ni kizuri lakini chenye ubora ni Bora...." Fid Q
Nimecheza DLS, PES (Efootball) na FIFA kwenye simu nilichoona:

Gameplay- Efootball hana mpinzani
Graphics- FIFA anamzifi e football
DLS- Affordable watu wengi wanalimudu halina gharama
 
🔥
Screenshot_20230624_145537_eFootball.jpg
 
Wakuu iv ndo hakuna mwenye hili game 🤔
Jitokezeni basi niwachape Friendly online 😂
 
Back
Top Bottom