Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikichagua file lingine inaandika wrong pathJaribu kuchagua another folder ili uendelee.
Tuchez3 friendly match naona una moto sanaWakuu iv ndo hakuna mwenye hili game [emoji848]
Jitokezeni basi niwachape Friendly online [emoji23]
SawaNakucheki nikupe code.
Ksbisa mkuuAnyway kila mtu na kipenda roho chake lakini mi sijaona game lenye udambwi zaidi ya DLS ndo maana hata kuna magroup kibao ya telegram na wasapu ya DLS
Kila nikicreate inaandika wrong pathFanya ku create new folder mmkuu.
View attachment 2828909
Tuta panda leo usiku
Sawa mkuu, kila mtu na anachokipendaa👊napendaga game la FM Football Manager
Wewe unakuwa ni kocha unanunua wachezaji na kupanga mfumo na kikosi
Wewe unabaki kuangalia kama kocha hubonyezi popote kucheza wapo automatic ila wanacheza kutokana na maelekezo yako ya mfumo na style ya uchezaji high pressing, counter attack, long pass, etc
Kila msimu unatumia mwezi mmoja na kupanda level na unabadilisha kikosi kizima kwenye dirisha la usajili
Top 4 msimu unaofuata wanacheza champions
5-6 ni cup ligi ina timu 14
Game lenyewe ni la online
Nishafunga Wanigeria na Wairan sanaaaa
Ok shukraniJaribu kwenda utube labda wameelekeza.
Ndo midaPouwa[emoji109]