Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 337
- 753
Kikosi chako kinawatu aisee.View attachment 3218103kosi halikui daa ๐
๐ huko nimesema sirudi kwa sasa mpaka niimarike na kuimarisha kikosi ipasavyo๐๐ Leo nineingia division 4 game 3 za mwanzo nikapigwa imenibidi nitulie kwanza
Sasahivi nakusanya coins tu ili nije imarisha kikosi baadaeHakuna, Kuna mshikaj ana 3160๐๐ฟ, Hadi huwa naogopa kucheza naye. Wewe kina ngapi?
Nimepoa kwenye division 5 kwanza nakusanya nguvu mkuuHuko ndo kwa kuimarika na sio kwenye events
Mkuu kama unazo coins za kutosha nenda kachukue manager kulingana na playstyle yako utakuja nishukuru, achana na hao managers wakununua kwa kutumia GP.View attachment 3218103kosi halikui daa ๐
View attachment 3218103kosi halikui daa ๐
Nilikuwa nazo na nilikuwa nawaza hivyo ila nimeunua hiyo premium kwa tamaa ya palmer๐.Mkuu kama unazo coins za kutosha nenda kachukue manager kulingana na playstyle yako utakuja nishukuru, achana na hao managers wakununua kwa kutumia GP.
Ahsante kwa ushauri.View attachment 3218153View attachment 3218154
Kamchukue huyu jamaa hao wachezaji wote watapanda na strength ya team itaongezeka
Coins nazitafuta sana kwa kucheza events nataka nitimize lengo ๐Nilikuwa nazo na nilikuwa nawaza hivyo ila nimeunua hiyo premium kwa tamaa ya palmer๐. View attachment 3218155ebu nitafute wiki lijalo nimnunue.
Kama huyo messi anapanda mpaka 101
Naona umetoka kwenye game mkuuNianze upya kuttafuta, Naina unakaribia 1800 udake pack๐๐๐๐ฟ, gusa code hiyo
Tukiwashe tu nataka challenge kidogo kuongeza uzoefu.Tukiwashe au mpaka uboreshe kikosi๐ค