Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 337
- 753
Mkuu unazingua mie ndo kwanza naimarisha kikosi aisee 😂.Nimeangalia nikasema kimoyo moyo niache ujinga hakuna kutoa code😃😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unazingua mie ndo kwanza naimarisha kikosi aisee 😂.Nimeangalia nikasema kimoyo moyo niache ujinga hakuna kutoa code😃😃
We username yako ni ipi??Mkuu unazingua mie ndo kwanza naimarisha kikosi aisee 😂.
Aah zilikuja friend request mbili ile moja nikajua ndo yako kumbe ya mkuu NEGAN 😃😃😃kikosi chake mabek wana boosters mpk unawaza utapita wap...Mkuu unazingua mie ndo kwanza naimarisha kikosi aisee 😂.
Kikosi changu cha kawaida mkuu kuna watu wana vikosi balaa ona kama huyu 😃✋️✋Aah zilikuja friend request mbili ile moja nikajua ndo yako kumbe ya mkuu NEGAN 😃😃😃kikosi chake mabek wana boosters mpk unawaza utapita wap...
Kwa kikosi chako japo kipo vzr ila tunaweza chezaView attachment 3238987
Ushauri wangu kwenye kikosi chakoAah zilikuja friend request mbili ile moja nikajua ndo yako kumbe ya mkuu NEGAN 😃😃😃kikosi chake mabek wana boosters mpk unawaza utapita wap...
Kwa kikosi chako japo kipo vzr ila tunaweza chezaView attachment 3238987
Kheeh huu si ni uuaji sasa😃😃Kina changu cha kawaida mkuu kuna watu wana vikosi balaa ona kama huyu 😃✋️✋View attachment 3238996
Division 1 pa moto sana siku hizi naishia division tu. Watu wana vikosi vya 2200+ strength 😃
Mkuu umenipa hoja kubwa sana kuhusu Caicedo...Ushauri wangu kwenye kikosi chako
Nunua mbappe standard card kwa GP awe CF wako huyo Kvara sio CF lakini pia nunua Tchouameni au Rodri wawe CDM wako wote ni anchorman. Huyo Caicedo ni box to box hafai kuwa CDM
Yeah namba 6 ukiwa huna kiungo kinakua wazi sababu ukimchezesha box box kama no 6 anazurura uwanja mzima😃. Lakini ukitumia anchor man kama no 6 yeye anabaki nyuma mbele ya mabeki anakua anazima mashambulizi.Mkuu umenipa hoja kubwa sana kuhusu Caicedo...
Huwa nachez ile league ya kawaida nipo nakomaa na top player kwanza maana ndo mara yangu ya kwanza kulicheza nizoe zoe kwanza kabla sijaenda live
Nilicheza kwa professional nikachukua league nimekuja kuanza na top player nikamaliza league wa tano shida kubwa ilikuwa nikija kushambuliwa ni kufungwa tuu ikabid nishift kwenda mabek watano ndo kidogo imekuwa ahuen nimecheza mechi 7 nikashinda zote nikaona shida namba sita alikuwa ni Kama Attacking midfielder
Hii akili ya Rodri umenipa ngoja nikamnunue na pep guardiola nilipe tu hiyo afu mbili yao kwa tigo pesa
Mbappe watanipa kesho nitakuwa naye japo huwa napenda striker mrefu ndo maana nikamnunua haalandView attachment 3239008
Kuna watu wangu wapo humu nikiweka username hapa watafahamu ID yangu ya humu ndiyomaana nimekuwa nikiomba username zenu 😂.We username yako ni ipi??
Sijamnunua bado nataka nitengeneze master card tigo kwanza nilipieYeah namba 6 ukiwa huna kiungo kinakua wazi sababu ukimchezesha box box kama no 6 anazurura uwanja mzima😃. Lakini ukitumia anchor man kama no 6 yeye anabaki nyuma mbele ya mabeki anakua anazima mashambulizi.
Guardiola umelamba dume ni Orchestrator anacheza kama Modric analiga pass Vizuri na kukupa option za kufanya build up. Combination ya Anchorman na Orchestrator kwenye midfield weka mbali na watoto.
Nimeshakupata mkuu 👍 nimekuona tayaliKuna watu wangu wapo humu nikiweka username hapa watafahamu ID yangu ya humu ndiyomaana nimekuwa nikiomba username zenu 😂.
Nishamchukua RodriYeah namba 6 ukiwa huna kiungo kinakua wazi sababu ukimchezesha box box kama no 6 anazurura uwanja mzima😃. Lakini ukitumia anchor man kama no 6 yeye anabaki nyuma mbele ya mabeki anakua anazima mashambulizi.
Guardiola umelamba dume ni Orchestrator anacheza kama Modric analiga pass Vizuri na kukupa option za kufanya build up. Combination ya Anchorman na Orchestrator kwenye midfield weka mbali na watoto.
Ushauri wa ziada atumie autopick playars hii inasaidia kupanga kikosi kulingana na formation pamoja na playstyle unayotumia.Ushauri wangu kwenye kikosi chako
Nunua mbappe standard card kwa GP awe CF wako huyo Kvara sio CF lakini pia nunua Tchouameni au Rodri wawe CDM wako wote ni anchorman. Huyo Caicedo ni box to box hafai kuwa CDM
Pamoja mkuu.Nimeshakupata mkuu 👍 nimekuona tayali
Unaiset wap hiiUshauri wa ziada atumie autopick playars hii inasaidia kupanga kikosi kulingana na formation pamoja na playstyle unayotumia.
Nimeshaiona hiiPamoja mkuu.
Nenda kwenye game plan halafu bonyeza nembo ya timu yako yatakuja machaguo hapo utaiona.Unaiset wap hii
Shukran sana chief...Nenda kwenye game plan halafu bonyeza nembo ya timu yako yatakuja machaguo hapo utaiona.
Kama upo free tupashe😃Nenda kwenye game plan halafu bonyeza nembo ya timu yako yatakuja machaguo hapo utaiona.