eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Mie ndo naitumia hiyo sitaki kupanga wachezaji mwenyewe maana nitapanga kwa mapenzi binafsi badala ya kupanga kwa mahitaji ya timu.
Kwa division games autopick haifai inatakiwa uchague wachezaji kutokana na form zao kuna A B C D na kuangalia arrow. Mchezaji akiwa na form chini ya C na down arrow hutakiwi kumpanga anacheza vibaya.

Ndio maana ni muhimu kuwa na kikosi kipana
 
Kwa division games autopick haifai inatakiwa uchague wachezaji kutokana na form zao kuna A B C D na kuangalia arrow. Mchezaji akiwa na form chini ya C na down arrow hutakiwi kumpanga anacheza vibaya.

Ndio maana ni muhimu kuwa na kikosi kipana
Nimekupata.
 
Sijawai cheza hili gemu kwa hiyo sijui vitu vingi..

Kwa hiyo nikikwama nitakuwa nakuja huku chap maana hata kuunganisha sijawai
IMG-20250217-WA0016.jpg

Mkuu nimekusubiri tupige game ya pili kumbe ukawa umetoka tayari, nimeshinda lakini sijafurahia 😂.
 
Kwa division games autopick haifai inatakiwa uchague wachezaji kutokana na form zao kuna A B C D na kuangalia arrow. Mchezaji akiwa na form chini ya C na down arrow hutakiwi kumpanga anacheza vibaya.

Ndio maana ni muhimu kuwa na kikosi kipana
Hii nilikuwa sijui nimeona kumbe kuna game unafungwa kisa wachezaji hawakuwa form

Mkuu nataka nimchukue Joshua Kimmich kama Another Dm vip anaweza akawa Anchorman au nae ni box to box Dm...??
 
Hii nilikuwa sijui nimeona kumbe kuna game unafungwa kisa wachezaji hawakuwa form

Mkuu nataka nimchukue Joshua Kimmich kama Another Dm vip anaweza akawa Anchorman au nae ni box to box Dm...??
Kimmich ni Orchestrator kama guardiola anacheza pembeni ya namba 6 ni kama namba 8. Atakua sub ya Guardiola
 
Back
Top Bottom