Hawa itakuwa fifa na pes wanpata ugumu kucheza ndomana wanakwambia habari ya dlsSio kweli jaribu hata fifa mobile ujionee
Hawa wa Dls wanashindwa kucheza hizi game nyingine, Dls ata kipofu anaelewa namna ya kuchezaMwanzoni mwenyewe nipipigwa sana ila nilivozoea nikipigwa sana 2
Siku hizi sijui ndio nshazeeka, gemu kwenye simu siweki kabisaGame kwa simu hapana.
Mkuuu utakuwa at 40 labda 😁Siku hizi sijui ndio nshazeeka, gemu kwenye simu siweki kabisa
mkuu ulikua unataka nilifute 😀 😀 😀 😀 😀
basi hiyo itakua shida sana kwangu
Dls nimeanza kucheza 2015 chiefNjoo DLS huto jutia, eFootball ni kwa ajili ya nchi za huko kwenye Internet iliyo stable sio huku.
Mkuu we ni noma unanikumbushq enzi zangu. Ukiona unaweza toa "The match has been abandoned" jua ushakua master". " You have been awarded a WIN since your opponent has conceded the match".Kuna mtu kakimbia hukuu🤣🤣
View attachment 2812877
Tengeneza code na password nijarbu uwezo wakoKuna mtu kakimbia hukuu[emoji1787][emoji1787]
View attachment 2812877
Au majukum nlikuwa napenda sana magemNdo uzee mkuu😂
40 Bado sanaMkuuu utakuwa at 40 labda 😁
Kwangu naona mabadiliko mengi sana hata kuchatSawa mkuu kuna vitu huwa tunaacha automatically.
Bila shaka utakuwa early 20'sNdo utu uzima huo sasa😆 mm bado hata kuanza kuona mabadiliko umri unaruhusu🤣🤣