Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila ikifika hii siku huwa naona jau tu😂.View attachment 3242683the reason why I hate Thursday 😂🙌🏿 Selikavu
Siyo kesho mkuu hiyo chat gpt imezingua hapo.
Mzigo upo hewanSiyo kesho mkuu hiyo chat gpt imezingua hapo.
View attachment 3242804
Ni saa 11:30 jioni kwa saa za EAT.
Beki zako tuu😃zinatisha kila sikuNimeanza kucheza mwezi wa. 8 hatimaye leo kosi langu limekamilika. Nianze kutunza coin sasa
View attachment 3243021
Unapataje hao wachezaji🫢Nimeanza kucheza mwezi wa. 8 hatimaye leo kosi langu limekamilika. Nianze kutunza coin sasa
View attachment 3243021
Huwa sifanyi spin kwa epic😃 na save nanunha packs tu za 1500Unapataje hao wachezaji🫢
Kuna jipya gani kwenye game nina kama week mbili sijacheza. Kuna vitu naviweka sawa week ijayo mambo yakikaa sawa nitarudiNimefika division 5 ila hali ya kikosi changu hairidhishi na nimejaribu mara kadhaa lakini kutoboa hapo imekuwa ngumu, wachezaji wanakuwa wazito katika utendaji.View attachment 3257443
Ngoja nipumzike hapa kwanza kwa muda nijitafute tena.
View attachment 3257446
Ni update mpya tu yenye free coins za kutosha na epic za kibabe.Kuna jipya gani kwenye game nina kama week mbili sijacheza. Kuna vitu naviweka sawa week ijayo mambo yakikaa sawa nitarudi
Safi kabisa mkuu, nimeingia leo nimekukuta unaminyana kwenye division.Wakuu habari