Itabidi nijifunze maana mie najua vile vyakula vya kawaida kawaida tu
ila vingine nachemka kabisaa siku hizi nashinda huku nizidi kupata maujuzi THANKS
Thank u wii
inabidi upike nyingi wageni kibao
Nakumbuka wakati najifunza kupika sambusa/samosa..basi nikaandaa vitu vyangu..nikazifunga vizuri nkachemsha mafuta,yalivyopata moto nikaweka sambusa zangu,looh zikaanza kufunguka,mchanganyiko wote ukapanda juu...nililiaje? Kumbe ile chapati ilikuwa pana sana.. Kesho yake nikajaribu tena na tena mpaka nikafuzu
Kila kitu ni kujaribu na kutokata tamaa
Tamujee?
Thanks for sharing mammy
Hahaa kumbe hata wewe..mi huwa nakasirika sipiki tena naona like hiki kitu ni kigum
sikiwezi tena..hii imenifanya nisijue kupika mapishi mengi kwa kweli
Ulishanipa huo ujanja ukhti,zilinitesa sana zile makitu kwa kweli!!!Kachori nazo zina upuuzi ila nkupe ujanja mmoja ule uji weka na yai zinakua hazipasuki alafu utamu unazidi
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Nshamwambia apike gunia zima maana mie ntaenda na tumbo tupu nkashibie huko huko lol
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Ulishanipa huo ujanja ukhti,zilinitesa sana zile makitu kwa kweli!!!
Bado mkate wa tambi
Uwiiii!! Umenikumbusha mbali best,wakati najifunza kachori zilivyokuwa zinatawanyika.
Shida yangu mie napenda mno kucheka,ukisikia kicheko na niko mwenyewe jikoni ujue mambo yameshaharibika,nitacheka mpaka nitoe machozi ila kesho niajaribu tena!!!
Kutokata tamaa ndio siri kubwa
Hahahahaha mate yamekujaa lol
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Hahaa kumbe hata wewe..mi huwa nakasirika sipiki tena naona like hiki kitu ni kigum
sikiwezi tena..hii imenifanya nisijue kupika mapishi mengi kwa kweli
uwiiiii mapochopocho mi napenda sana....🙂Ntamwambia kabisa shosti ajiandae aje na sauce ya ukwaju mambo yazidi kunoga.....
Uwiii asante kiwatengu lazma anenepe
uwiiiii mapochopocho mi napenda sana....🙂
Eeeeh na asiponenepa basi ipo namna lol
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Nakumbuka wakati najifunza kupika sambusa/samosa..basi nikaandaa vitu vyangu..nikazifunga vizuri nkachemsha mafuta,yalivyopata moto nikaweka sambusa zangu,looh zikaanza kufunguka,mchanganyiko wote ukapanda juu...nililiaje? Kumbe ile chapati ilikuwa pana sana.. Kesho yake nikajaribu tena na tena mpaka nikafuzu
Kila kitu ni kujaribu na kutokata tamaa
Umenichekesha bibie mie bajia kila nikizidumbukiza kwenye mafuta zinatawanyika..nimeachana nazo kwanza..