Egg chops

Egg chops

Je nisipokata yai vipande viwili kama ulivyosema ktk step one itakuwaje. Na nikiangalia step 4 baada ya kupakaza unga ..kuna kuweka mayai... halafu tena step 6 kuna kuchovya ktk mayai tena. Msaada tafadhali Fakhrina.....swali halijaisha....
 
Je nisipokata yai vipande viwili kama ulivyosema ktk step one itakuwaje. Na nikiangalia step 4 baada ya kupakaza unga ..kuna kuweka mayai... halafu tena step 6 kuna kuchovya ktk mayai tena. Msaada tafadhali Fakhrina.....swali halijaisha....

Usipoweka yai mama zitakua zinafanana na katlesi....

Step no 1 ni mayai mayai yaliyochemshwa

Na number 6 ni mabichi ili upate kukaanga egg chops zako

Soma tena number 4 nime edit pengine utaelewa


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Asante dada. Hapo kwenye kukata vipande viwili vya mayai..je nikiweka zimaa? na vipi kuhusu bread scrumbs zinawekwa wapi na wakatu gani
 
Asante dada. Hapo kwenye kukata vipande viwili vya mayai..je nikiweka zimaa? na vipi kuhusu bread scrumbs zinawekwa wapi na wakatu gani

Yai Ukiweka zima pia hamna tatizo....bread crumbs unatumia mbadala wa unga wa ngano

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Hahaaaa mmenikumbusha mbali wakati tunajifunza mapishi shule fulani...kuna best yangu alipika egg chop ya nyama ya kusaga kwa haraka haraka ya mtihani akasau kutoa maganda ya yai...msimamizi kashajaza marks mtihani muda umeisha tunakula muda huo c akagundua hilo...akikasirika nusu ampunguzie marks.

Ahsante nimepata somo leo la egg chop ya viazi...nilikuwa cjawahi kupika...ahsanteni.
 
Mahitaji

1)Mayai yaliochemshwa (kata pande 2 kila yai)
2)Viazi
3)Mayai mabichi
4)Garam massala
5)Pilipili manga
6)Pilipili ya kuwasha
7)Limao au ndimu
8)Bread crumbs au unga wa ngano
9)Chumvi kiasi
10)Mafuta ya kupikia



Namna ya kutaarisha


1)Chemsha viazi hadi kuwiva then bonda bonda hadi iwe laini

2)Add chumvi,garam masala,pilipili na ndimu...changanya vizuri

3)Then tengeza duara kwa hivo viazi then weka kipande cha yai kati...weka pembeni

4)Pakaa unga hizo round za viazi na mayai....
5)Weka mafuta katika karai jikoni yapate moto


6)Vunja mayai then yachanganye vizuri....then chukua hizo round tia kwenye mayai hakikisha mayai yanaenea vizuri

7)Dumbukiza katika karai na kaanga hadi ziwe brown


8)Egg chops tayari kwa kuliwa

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Vp kama nitakosa hiyo garam massala pishi halitapendeza?
 
Hahaa kumbe hata wewe..mi huwa nakasirika sipiki tena naona like hiki kitu ni kigum
sikiwezi tena..hii imenifanya nisijue kupika mapishi mengi kwa kweli

hahaaaa, tupo wengi mama, mie kachori walaaaa cna hamu tena kitu kilichonitenda, cthubutu tena
 
Uwiiii!! Umenikumbusha mbali best,wakati najifunza kachori zilivyokuwa zinatawanyika.
Shida yangu mie napenda mno kucheka,ukisikia kicheko na niko mwenyewe jikoni ujue mambo yameshaharibika,nitacheka mpaka nitoe machozi ila kesho niajaribu tena!!!
Kutokata tamaa ndio siri kubwa

Duuh kachori hata mie zilishanifanya mbaya wakati najifunza ila nlikuwa na interest nazo hatimae nkaweza ila hiyo siku zilonifanyia marogo nliudhika mpaka nkatamani kupasuka
 
yaani zinatawanyika tu na kunywa mafuta, nilichoka mwili na roho, hata cjui nlikosea wapi

Umetengeza uji ule wa kuchomea mlaini sana next fanya mzito kiasi then add yai hii inasaidia sizivurugike
 
Santeee kwa hili somo dada farkhina,kwa mbali naanza kumpa upaja wifi atoke jikoni nikae mwenyewe ili nifaidi.
Nalog off
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom