Corona imefanyaje?
Dalili za uchoyo hizoKutokualikana kipindi hiki ni sawa na "social distancing".
kwani kale kakifaranga hakajanenepa bado?π π πKaribu, ila hamna pilau
kumbe mkuki kwa .............. kwa depal mchunguπππDalili za uchoyo hizo
Tatizo me naitwa Janeth πππkumbe mkuki kwa .............. kwa depal mchunguπππ
Bado kembamba mno, hakafaikwani kale kakifaranga hakajanenepa bado?π π π
sijaona ukigusia pilau au au ndo "tumshukuru mungu kwa kila jambo"[emoji23][emoji23]
[emoji110][emoji97]
Pilau liko huku, karibuu sana mkuusijaona ukigusia pilau au au ndo "tumshukuru mungu kwa kila jambo"ππ
βπ¦
"senki yu"ππIts given usiwaze. .si pilau tu. .mapochopocho kama yoteee
Eid Mubarak once again mai furend
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Make vyakula ni vingi sana na mialiko ni mingi mnooooPilau liko huku, karibuu sana mkuu
Cc Smart911"senki yu"[emoji23][emoji23]
Kuna vitu unataka kuninyima wewe, wakati Smart911 amhatoa ruhusa nipeweThank you dear bebeake Depal. ..
Eid Mubarak to you two!
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakua ni huyu Depal huyujamani nani ameangusha viungo kwenye sredi yetu maana pua inaweweseka.
Kazi kwakeAandae tumbo flagily na magnesium tu!
Make vyakula ni vingi sana na mialiko ni mingi mnoooo Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app