Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemkumbuka mama mmoja mtu mzima hivi,,,,,kila mara huitikia eimeen....nikaona mmh huyu si bure,,,nikajaribu kumstua,,,aaahh kama unampiga kwenzi kinyago...maha mbeya ya rage,,,,,,,😊Haya makanisa yanayoota kama uyoga yanayojiita ya kiroho yana vituko achilia mbali hiyo miujiza feki. Eimeen ni neno la lugha gani? Siyo neno halisi katika lugha mama za biblia.
Jambo la kukera kabisa. Wastage of time. Karibu makanisa yote yanayojiita ya kiroho kwenye mahubiri yana huo upumbavu. Hata Wasabato nao wametumbukia huko.Siku hizi wachungaji wamekuja na utaratibu wa kuhubiri wakiwa wawili, moja anatamka maneno mwingine anayarudia yale maneno. Wanawake wakisikia vile huwa wanapandwa na orgasm, duh!
Upumbavu tu. Na taifa letu lina tatizo kubwa la afya ya akili. Watu wanapelekwa machinjoni na hawa matapeli ambao wamejificha kichakani panapoaminika hata mkono wa dola hautawagusa. They have found a cheap green pasture!Nimemkumbuka mama mmoja mtu mzima hivi,,,,,kila mara huitikia eimeen....nikaona mmh huyu si bure,,,nikajaribu kumstua,,,aaahh kama unampiga kwenzi kinyago...maha mbeya ya rage,,,,,,,😊
Hata hilo si wala Kiebrania wala Kigiriki, achilia mbali Kilatini kwenye tafsiri ya Vulgate.Aimeeeeen
Halafu wale wachungaji wanaowaweke watu mikono vichwani wananikera mno. Mchungaji mmoja alikuwa anamwombea demu wangu huku amemwekea mkono kichwani, Sasa demu akawa mgumu wa kuanguka mchunguaji akaamua kumtegea mguu Kwa mbele na kukishika kichwa Cha demu Kwa nguvu Kisha akamsukuma chuni. Demu alianguka mpaka mapaja yakaonekana.Upumbavu tu. Na taifa letu lina tatizo kubwa la afya ya akili. Watu wanapelekwa machinjoni na hawa matapeli ambao wamejificha kichakani panapoaminika hata mkono wa dola hautawagusa. They have found a cheap green pasture!
Yeimeen tena. Duhh🙃mchungaji; Mtu mmoja aseme ni Ni Bwana!
Kondoo; Yeimeeeeen!
Utamkaji wa mbwembwe tu badala ya "amina"/"amen"!Una swali lingine au unawachukia tu?Haya makanisa yanayoota kama uyoga yanayojiita ya kiroho yana vituko achilia mbali hiyo miujiza feki. Eimeen ni neno la lugha gani? Siyo neno halisi katika lugha mama za biblia.
Hawana lugha yoyote zaidi ya ile ya kufokafoka ambayo maneno ni male yale Karaboshoo, shantikalai horoshakabongooo! Sasa watu milioni wanaongea sentensi moja kuna ufunuo wa kimungu hapo? Wanalazimisha vipawa😆😆Ni lugha ya kilokole
Ndio zao hizo. Mwaka fulani wife aliniomba tuende kanisa fulani hivi ilipofika saa ya kuwekewa mikono nikasema hapa haanguki mtu. Yule mhubiri akaanza kunisukuma nikakaza misuli. Mwisho akasema niende kumuona ofisini😆😆😊🤣Halafu wale wachungaji wanaowaweke watu mikono vichwani wananikera mno. Mchungaji mmoja alikuwa anamwombea demu wangu huku amemwekea mkono kichwani, Sasa demu akawa mgumu wa kuanguka mchunguaji akaamua kumtegea mguu Kwa mbele na kukishika kichwa Cha demu Kwa nguvu Kisha akamsukuma chuni. Demu alianguka mpaka mapaja yakaonekana.
Nilikasirika mpaka nikasonya kanisani.
Kuna mchungaji mmoja anatumia maneno yale yale anaponena Kwa lugha lakini nilipofuatilia kunena Kwa lugha nikagundua kuwa yale maneno huwa hayajirudii na yanakuja automatic. Sasa huyu baba mchungaji anayarudia ana maana gani jameni? Au ndo kilatini.Hawana lugha yoyote zaidi ya ile ya kufokafoka ambayo maneno ni male yale Karaboshoo, shantikalai horoshakabongooo! Sasa watu milioni wanaongea sentensi moja kuna ufunuo wa kimungu hapo? Wanalazimisha vipawa😆😆