"Eimeeenn!" ni neno ni la lugha gani?

"Eimeeenn!" ni neno ni la lugha gani?

Utamkaji wa mbwembwe tu badala ya "amina"/"amen"!Una swali lingine au unawachukia tu?
Unajua sayansi ya lugha? Phonetics ina maasna sana. Neno BARABARA lina maana mbili tofauti ka
Ukingana na phonetics. Ni mfano mmoja tu ila iko mingi. Usiwatetee hawa matapeli. I promise you kama wangekuwa katikati ya mahubiri yao halafu ukaja ujumbe kwamba Yesu ameamua kukagua makanisa na anakaribia hapo hao wahubiri wangekuwa wa kwanza kutafuta mlango wa kutokea.
 
Kuna mchungaji mmoja anatumia maneno yale yale anaponena Kwa lugha lakini nilipofuatilia kunena Kwa lugha nikagundua kuwa yale maneno huwa hayajirudii na yanakuja automatic. Sasa huyu baba mchungaji anayarudia ana maana gani jameni? Au ndo kilatini.
Kilatini?? Nipe hayo maneno maana Kilatini nakijua
 
Kuna watu wanatapeliwa na mwamposa huku wanasema "Ameen" itakua ni kinyakyusa
Ndio nasema taifa letu linahitaji sana tiba ya AFYA YA AKILI. Hakuna mtu mwenye afya timamu ya akili anaweza kwenda kwa hawa matapeli wa imani.
 
Walokole wana mambo sana!

Kuna haya makanisa ya mitume na manabii... Haya huwaga siyaelewi aiseee! Mtu hasomi biblia, anasomewa na mtu mwingine ikifika muda wa kuombea akipuliza tu maiki watu wote wanaanguka! Huu si uchawi huu? Na kila mtu ana maji au mafuta yake anayoyauza kwa kisingizio cha kuleta mafanikio kwa watumiaji
 
Walokole wana mambo sana!

Kuna haya makanisa ya mitume na manabii... Haya huwaga siyaelewi aiseee! Mtu hasomi biblia, anasomewa na mtu mwingine ikifika muda wa kuombea akipuliza tu maiki watu wote wanaanguka! Huu si uchawi huu? Na kila mtu ana maji au mafuta yake anayoyauza kwa kisingizio cha kuleta mafanikio kwa watumiaji
Kila siku naomba Serikali ilitupie macho jambo hili. Ni wizi wa mchana kweupe.
 
Good defence anyway. Basi tutumie ipi? We are not Jews after all.
Kutumia lugha haimaanishi wewe ndio unakuwa jew.
Ukisema amina kwa kiswahili sio dhambi,ukisema kwa kiingereza amen sio dhambi na ukisema kwa kiingereza hakukufanyi uwe mzungu.
Ni kuonesha unakubaliana na kilichosemwa/kinachozungumzwa.
 
Eti "shokorobaro rere rere shukorobarorarere".
Kila kikicha ni hayo hayo.
Kila siku naomba Serikali ilitupie macho jambo hili. Ni wizi wa mchana kweupe.
Nilimhoji mwanatheolojia mmoja professor wa Biblical Theology akanijibu eti hiyo ni coded language. Usisikie mtu anaitwa professor, wengine ni hewa tu🥰🤣
 
Kutumia lugha haimaanishi wewe ndio unakuwa jew.
Ukisema amina kwa kiswahili sio dhambi,ukisema kwa kiingereza amen sio dhambi na ukisema kwa kiingereza hakukufanyi uwe mzungu.
Ni kuonesha unakubaliana na kilichosemwa/kinachozungumzwa.
Umenena vema. Kwa nini basi tusitumie lugha zetu instead tunakopa kwa wale tunaowatuhumu kwa kumkataa Yesu kama MASIYA????
 
Upumbavu tu. Na taifa letu lina tatizo kubwa la afya ya akili. Watu wanapelekwa machinjoni na hawa matapeli ambao wamejificha kichakani panapoaminika hata mkono wa dola hautawagusa. They have found a cheap green pasture!
Vipi wala panadol na energy drinks?.
 
Haya makanisa yanayoota kama uyoga yanayojiita ya kiroho yana vituko achilia mbali hiyo miujiza feki. Eimeen ni neno la lugha gani? Siyo neno halisi katika lugha mama za biblia.
😃 😀
Kwa Kiarabu tunasema Aamiiiin.......!
It's one and the same whatever the fvck it might mean.
 
Issue sio amen. Hapa tunaulizwa 'aimeen'
Kwa hiyo ukilivuta neno kidogo tu ndio linafanya mtu anaumia rohoni mwake ,anateseka sana kiasi cha kufungua uzi?
Hilo tu?
Labda kama kuna lingine.
Itakuwa kuna ishu nyingine labda atuambie mleta uzi.
Kwamba maisha yake hajawahi kuvuta neno hata moja ?😂😂
Kwamba wanaosema EIMEENN wanamkwaza kiasi hiko?
Kweli?
NAKATAA.
MTOA MADA SEMA UKWELI KUNA SHIDO MAHALI NA SIO "EIMEEN".
 
Haya makanisa yanayoota kama uyoga yanayojiita ya kiroho yana vituko achilia mbali hiyo miujiza feki. Eimeen ni neno la lugha gani? Siyo neno halisi katika lugha mama za biblia.
Kobazi hujawahi kuwasikia wakiitikia?
 
Unajua sayansi ya lugha? Phonetics ina maasna sana. Neno BARABARA lina maana mbili tofauti ka
Ukingana na phonetics. Ni mfano mmoja tu ila iko mingi. Usiwatetee hawa matapeli. I promise you kama wangekuwa katikati ya mahubiri yao halafu ukaja ujumbe kwamba Yesu ameamua kukagua makanisa na anakaribia hapo hao wahubiri wangekuwa wa kwanza kutafuta mlango wa kutokea.
Kwa hiyo umeanza kumfundisha mwalimu wako?Mfundisi?
 
Siku hizi wachungaji wamekuja na utaratibu wa kuhubiri wakiwa wawili, moja anatamka maneno mwingine anayarudia yale maneno. Wanawake wakisikia vile huwa wanapandwa na orgasm, duh!
Na wanaojua kiingereza ndiyo wanawashika balaa. Unakuta mtu alizamiaga South au Ulaya zamani sasa kiingereza kipo kipo. Anaamua kurudi bongo na kufungua kanisa. Basi anahubiri kwa kiingereza na anakuwa na mtafsiri.
 
Back
Top Bottom