- Thread starter
- #101
Asante sana kwa mchango wako. Nitafanya utafiti kidogoNi neno linalotokana na mungu wa misri ya kale aliyeitwa Amun Ra ama Amen ra. Ni jina la mungu mkuu wa misri lililochukuliwa na waebrania na baadae waislam na wakristo pia walilichukua na kuanza kulitumia.