- Thread starter
- #61
Kristo ni Kigiriki na Kristu ni KilatiniKama vile Kristu na Kristo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kristo ni Kigiriki na Kristu ni KilatiniKama vile Kristu na Kristo
Unajua maana ya Sadukayo??mbona povu sana ewe sadukayo?
Ya wazungu tuwaachie wazungu tu, utakuwa humjui Kenneth Copeland Kenneth wala Benny Hinn hao ndo waasisi wa televangelist na miracle crusades.Ni matapeli tu na kule kwa wenzetu wazungu hakuna mijitu mingi mipambavu kwa hiyo biashara ya utapeli kwa jina la dini kule ni ngumu sana. Ukija hapa Bongo unajizolea maelfu ya watu wasio na afya ya akili.
Nawajua wote vizuri. Wametajirika kwa akili za wapumbavuYa wazungu tuwaachie wazungu tu, utakuwa humjui Kenneth Copeland Kenneth wala Benny Hinn hao ndo waasisi wa televangelist na miracle crusades.
Umenena vizuri tuu ila sasa toa basi jawabu kwa mheshimiwa wa mada hii: Eimeen ni neno la lugha gani?Siku hizi wachungaji wamekuja na utaratibu wa kuhubiri wakiwa wawili, moja anatamka maneno mwingine anayarudia yale maneno. Wanawake wakisikia vile huwa wanapandwa na orgasm, duh!
Alikuwa ananenaje? Hebu weka hapa hayo matamshi tukusaidie tafsiri. Ila "Eimeen" kwa mujibu wa mada husika, hiyo lugha sio kilatini. Neno hilo limekaa "kimtaani" zaidi. Ni colloquial or Informal word or exaggerated pronunciation of "Amen" or "Amina" ikimaanisha "Na iwe hivyo".Kuna mchungaji mmoja anatumia maneno yale yale anaponena Kwa lugha lakini nilipofuatilia kunena Kwa lugha nikagundua kuwa yale maneno huwa hayajirudii na yanakuja automatic. Sasa huyu baba mchungaji anayarudia ana maana gani jameni? Au ndo kilatini.
Neno Eimeen siyo la lugha yoyote bali lineundwa na linatumiwa na wachungaji na waumini wenye mbembwe kanisani, neno ambalo Lina asili ni 'Amen' ambalo jamaa mmoja amelitolea ufafanuzi hapo juu.Umenena vizuri tuu ila sasa toa basi jawabu kwa mheshimiwa wa mada hii: Eimeen ni neno la lugha gani?
Eti "shokorobaro rere rere shukorobarorarere".Alikuwa ananenaje? Hebu weka hapa hayo matamshi tukusaidie tafsiri. Ila "Eimeen" kwa mujibu wa mada husika, hiyo lugha sio kilatini. Neno hilo limekaa "kimtaani" zaidi. Ni colloquial or Informal word or exaggerated pronunciation of "Amen" or "Amina" ikimaanisha "Na iwe hivyo".
Jibu hili 👆 👆 liko vizuri sana ila kama walivyosema wahenga "Mzaha mzaha Izhak kazaliwa au mzaha-mzaha usaha hutumbuka". Hayo mazoea kunyumbulisha maneno kuna mahali huwa yanaweza kuwa ni kero e.g. Badala ya kusema "Aleluya" utasikia "Khaleludjaaa"! (kwa sauti nzito ya kiume) au wengine utasikia "Faya" sasa mtu unajiuliza "Faya" waliopo nao huitika "FAYAAA" hiki kitu kwenye biblia inapatikana wapi.Neno Eimeen siyo la lugha yoyote bali lineundwa na linatumiwa na wachungaji na waumini wenye mbembwe kanisani, neno ambalo Lina asili ni 'Amen' ambalo jamaa mmoja amelitolea ufafanuzi hapo juu.
Ukiona mtu anasema 'Eimeen' basi ujue hayoko katika hali ya kawaida kanisani, yuko katika mshindo mkuu wa kiimani (orgasms) yaani hajitambui.
Siku moja zimamoto waliivamia Kanisa kwa huo upuuzi wa waumini kutamka neno faya. Siku hiyo waumini walikuwa wamejifungia kanisani wakisali sasa gari la zima moto lilikuwa linapita karibu na Kanisa lile, makelele yalisikika "fayaaaa!,fayaaa!". Askari walikata Kona kulielekea Kanisa kuzima moto, kuingia ndani wakakuta kuko salama, wakamkamata mchngaji na kumwajibisha Kwa kuanzisha Kanisa kihokela karibu na makazi ya watu haku waumini wake wakipiga makelele yasiya na msingi.Jibu hili 👆 👆 liko vizuri sana ila kama walivyosema wahenga "Mzaha mzaha Izhak kazaliwa au mzaha-mzaha usaha hutumbuka". Hayo mazoea kunyumbulisha maneno kuna mahali huwa yanaweza kuwa ni kero e.g. Badala ya kusema "Aleluya" utasikia "Khaleludjaaa"! (kwa sauti nzito ya kiume) au wengine utasikia "Faya" sasa mtu unajiuliza "Faya" waliopo nao huitika "FAYAAA" hiki kitu kwenye biblia inapatikana wapi.
Hamna kitu hapo. Uhalisia ni kwamba kaishiwa aseme nini tena ilhali mkutano umetulia na wanamsikiliza. Ni sawa na yule anayesema "ssShika rababa chapass lapa ffunga rrambo sepapapa......" Ukiyasoma maneno hayo kwa taratibu na kujua maana ya kila neno halafu ukaunga dots utaipata maana yake i.e. Shika raba (vaa viatu vyako), chapa lapa (Ondoka) funga rambo (park mzigo wako) halafu sepa (toweka). Ila wao huyatamka haraka sana kiasi kwamba huwezi kudaka alichotamka. Makutano wanaishia kusema eti "amenena kwa lugha".Eti "shokorobaro rere rere shukorobarorarere".
Kila kikicha ni hayo hayo.
Hawa jamaa ni wahuni sana.Hamna kitu hapo. Uhalisia ni kwamba kaishiwa aseme nini tena ilhali mkutano umetulia na wanamsikiliza. Ni sawa na yule anayesema "ssShika rababa chapass lapa ffunga rrambo sepapapa......" Ukiyasoma maneno hayo kwa taratibu na kujua maana ya kila neno halafu ukaunga dots utaipata maana yake i.e. Shika raba (vaa viatu vyako), chapa lapa (Ondoka) funga rambo (park mzigo wako) halafu sepa (toweka). Ila wao huyatamka haraka sana kiasi kwamba huwezi kudaka alichotamka. Makutano wanaishia kusema eti "amenena kwa lugha".
Yan we acha tuu. ndo mana wengine wamewaita ni matapeli . Kwa mfano wanachukua Glycerine (hii hii inayouzwa madukani) na kununua kitu kinaitwa Spanganati (kutoka maduka ya dawa za kisuna - ni poda nyeusi) halafu anaenda kukusanya yy mwenyewe (mchungaji-tapeli) makorokoro (makorokoro yaweza kuwa matambara mabovu mabovu + kamba chakavu tena fupi-fupi hv n.k.). Mchungaji hutoka mbele na kutoa maelezo mafupi kwamba yupo mmoja wetu Neno lilimchoma sana na aliamua kujisalimisha na alileta Uchawi wake na kuomba jina lihifadhiwe ila kuanzia leo ameacha uovu huo na ametaka tuuunguze na kuharibu kabisa kwa moto kutoka "juu" majitu haya kwa mafuta ya upako. (Zingatia kwamba ile glycerine huwa tayari ameibadilisha container na kuiweka kwenye vichupa vidogo(vials) esp. vile vichupa vya dawa za sindano na chupa halisi ya glycerine huwa kesha itupa.Hawa jamaa ni wahuni sana.
Spanganati ni potassium permanganate, nilikuwa naitumia kufanyia fumigation ukiichanganya na formalin unapata formaldehyde gas moshi wake bomu la machozi nanusu.Yan we acha tuu. ndo mana wengine wamewaita ni matapeli . Kwa mfano wanachukua Glycerine (hii hii inayouzwa madukani) na kununua kitu kinaitwa Spanganati (kutoka maduka ya dawa za kisuna - ni poda nyeusi) halafu anaenda kukusanya yy mwenyewe (mchungaji-tapeli) makorokoro (makorokoro yaweza kuwa matambara mabovu mabovu + kamba chakavu tena fupi-fupi hv n.k.). Mchungaji hutoka mbele na kutoa maelezo mafupi kwamba yupo mmoja wetu Neno lilimchoma sana na aliamua kujisalimisha na alileta Uchawi wake na kuomba jina lihifadhiwe ila kuanzia leo ameacha uovu huo na ametaka tuuunguze na kuharibu kabisa kwa moto kutoka "juu" majitu haya kwa mafuta ya upako. (Zingatia kwamba ile glycerine huwa tayari ameibadilisha container na kuiweka kwenye vichupa vidogo(vials) esp. vile vichupa vya dawa za sindano na chupa halisi ya glycerine huwa kesha itupa.
Hayo makorokoro atayaweka bayana mbele ya waumini na atayaelezea na hatimaye atayalundika mbele pale na kuyamwagia kiasi kidogo cha mafuta ya Upako(glycerine) na kwa kificho (wakati wa kugeuza-geuza hayo makorokoro) ata mwaga pia ile Spanganati. Hapo ataendelea kuomba kwa sauti, kukemea na kuamuru moto kutoka Juu ushuke na kuunguza Mavitu ya Uchawi. Kitendo cha kukutanisha au kugusanisha au kuchanganya Glycerine na Spanganati LAZIMA moto utokee- kwanza kwa taratibu halafu baadaye moto mkubwa utakaounguza hayo makorokoro yaliyoletwa. (Ni wajanja sana. makorokoro huchagua yale yatakayoshika moto upesi).
Wapo watakao kuwa wameguswa kiimani; hao watanunua mafuta ya Upako,
Wapo watakaohiari kumchangia Mchungaji baadhi ya mahitaji ili kufikisha Neno kwa wengine n.k. n.k. Tunapigwa sana. Hata ww unaweza kujaribu hivyo ili kuona ukweli wa hiki nilichoandika kuwasha moto a.k.a kutoka juu bila kiberiti.
AimeeeeeHalafu wale wachungaji wanaowaweke watu mikono vichwani wananikera mno. Mchungaji mmoja alikuwa anamwombea demu wangu huku amemwekea mkono kichwani, Sasa demu akawa mgumu wa kuanguka mchunguaji akaamua kumtegea mguu Kwa mbele na kukishika kichwa Cha demu Kwa nguvu Kisha akamsukuma chuni. Demu alianguka mpaka mapaja yakaonekana.
Nilikasirika mpaka nikasonya kanisani.
Mnyaaz Mngu ni lugha gani?Haya makanisa yanayoota kama uyoga yanayojiita ya kiroho yana vituko achilia mbali hiyo miujiza feki. Eimeen ni neno la lugha gani? Siyo neno halisi katika lugha mama za biblia.
AiseeAimeeeeen
Yeah!Aimeeeee